Kuna muda huwa namsikiliza Ndugai, namsikilizaaaaa, halafu nabaki kumtizama tu, sijawahi kumuelewa.
Huwezi kumuelewa yule mwehu wa milembeKuna muda huwa namsikiliza Ndugai, namsikilizaaaaa, halafu nabaki kumtizama tu, sijawahi kumuelewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bunge na kulfi bora kuangalia kulfi..
Mnataka tuwadharau vipi ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndugai ,Ulimwengu sio saizi yako .Utazidi kuliabisha bunge na wabunge wake.ULIMWENGU sio PASCHAL MAYALlA
Huwezi kumuelewa yule mwehu wa milembe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikuja kukuomba wewe?
Kwa taarifa yako ,huyu mzee anaweza akawafuga ukoo wenu wote.
Kuna muda huwa namsikiliza Ndugai, namsikilizaaaaa, halafu nabaki kumtizama tu, sijawahi kumuelewa.
Kabisa Chief, tuna viongozi wa ajabu hata sijui wametoka wapi? Yani ghafla bin Vuu! inasikitisha sana.Na wanaogonga meza ndio wanaostaajabisha zaidi
😂😂😂😂 inawezekana kweli, Spika wa hovyo kuwahi kutokea.Hadi unywe pombe ndipo utamuelewa 🤣.
Acha kumdharau Pascal Mayalla ndugai labda umfananishe na Gentamycin[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heshima ya bunge inajengwa na matendo ya wabunge, kama matendo yao ni hovyo wataachaje kuambiwa ukweli!? Ati mtu umpige mwenzako na mpini wa jembe halafu tuseme ulimfunika na blanketi ina sound kweli!?"Jenerali amekuwa akilivunjia heshima Bunge na Spika pia,
Bora hao watakuwa na akili, kuliko kuongozwa na wenye mtindio wa ubongoutakuja kuongozwa na watu uliowazidi akili..
Huo muhimili unajiheshimu na kujitambua? hoja ya Tozo walivyoishangaa kuwa nani kapitisha? na ile ya kuwapokea wasiokuwa wananachama wa chama chochote ilitosha kulidharau na ndiyo maana hakuna anayehangaika nalo.Likapewa jina la MAZUZU.Hivi maana yake ni nini.Muhimili wa Bunge unapaswa uheshimiwe, na ambaye anajaribu kuuvunjia heshima atachukuliwa hatua za kisheria.
kama anabisha arudie tena kutumia lugha za kashfa na kebehi kwa viongozi na mhimili alafu ataona tabu atakayo ipata.
Atathubutu?Atamweza? Je ana hoja? Ya Gwaji yaliishaje. Atafute namna ya kuvuna maarifa kutoka kwa ulimwengu kama bado...............kuna mahali pa kuweka na kama hakuna its better to find another alternative.Mlio karibu na Spika mwambieni ahangaike na Slow Slow kwanza.
Msikilize kwa makini zaidi huenda ukamwelewa.Kuna muda huwa namsikiliza Ndugai, namsikilizaaaaa, halafu nabaki kumtizama tu, sijawahi kumuelewa.
Huyo jenerali huwa akifilisika tu anatukana hovyo,alimfanyia marehemu mkapa hivyo na mkapa akamnyang'anya uraia wakeAmetoa onyo hilo leo Mjini Dodoma na amemtaka Ulimwengu kuacha mara moja kutoa lugha za dharau dhidi ya Mhimili wa bunge .
Bali hakusema ni hatua gani atachukua ikiwa Jenerali Ulimwengu atakaidi onyo hilo , ila anasema watapambana naye ndani na nje .
----+
Akizungumza katikati ya mjadala wa marekebisho ya Sheria mbalimbali uliowasilishwa Bungeni, Spika Ndugai amesema Ulimwengu ambaye ni Mwandishi wa Habari Nguli amekuwa akilikashfu Bunge na Spika apendavyo.
"Jenerali amekuwa akilivunjia heshima Bunge na Spika pia, napenda kumpa onyo kali kuchunga ulimi wake, haipendezi Mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyoovyo, akiendelea na sisi tutaacha ukimya itabidi Watu washughulike nae ndani na nje yaani Mahakamani, habari imfikie uvumilivu wetu umefika mwisho, sisi sio kama anavyodhani" ——— Spika Ndugai