Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo

Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo

Jenerali ni mtu mwelevu, na si aina ya watu wa kutishwa na hoja dhaifu.
Kama kuna sheria kavunja kwanini asichukuliwe hatua za kisheria?
Huu muhimili ni kiini macho tu, kuanzia MPs wengi walivyopatikana ni vigumu ukaheshimika.
 
Kitendo cha Ndugai kuambiwa yeye kama spika hapaswi kujipendekeza kwa serikali kimemuuma ile mbaya. Analitaja bunge ili kuficha ukweli kuwa suala la kujipendekeza ni yeye aliambiwa, hivyo analitaja bunge kwa ujumla wake ili ionekane ni dharau kwa bunge zima. Lakini ukweli ni kuwa spika anajipendekeza kwa bunge, na bunge lake ni dhaifu kweli.
Nimemsikiliza Twaha Halfan Ulimwengu hakuna baya. Sema Job anataka kuvalisha huu udhaifu wake kwa bunge zima kitu ambacho ni kosa.
 
Mbona waliosema Wabunge wanademka hakuwashugulikia?
Subfoofer ana ubaguzi wamatamko.
Aliwahi mwamri Mnyika akajifunze kwa Bashiru
 
Ametoa onyo hilo leo Mjini Dodoma na amemtaka Ulimwengu kuacha mara moja kutoa lugha za dharau dhidi ya Mhimili wa bunge .

Bali hakusema ni hatua gani atachukua ikiwa Jenerali Ulimwengu atakaidi onyo hilo , ila anasema watapambana naye ndani na nje .

----+

Akizungumza katikati ya mjadala wa marekebisho ya Sheria mbalimbali uliowasilishwa Bungeni, Spika Ndugai amesema Ulimwengu ambaye ni Mwandishi wa Habari Nguli amekuwa akilikashfu Bunge na Spika apendavyo.

"Jenerali amekuwa akilivunjia heshima Bunge na Spika pia, napenda kumpa onyo kali kuchunga ulimi wake, haipendezi Mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyoovyo, akiendelea na sisi tutaacha ukimya itabidi Watu washughulike nae ndani na nje yaani Mahakamani, habari imfikie uvumilivu wetu umefika mwisho, sisi sio kama anavyodhani" ——— Spika Ndugai
Kwanini hupendwi kuguswa Ndugai. Wewe Mungu! Jana tu umetoa kauli ya kufoka kwa akina dada wakipewa madaraka, na wewe je ni Mdada?
 
Ametoa onyo hilo leo Mjini Dodoma na amemtaka Ulimwengu kuacha mara moja kutoa lugha za dharau dhidi ya Mhimili wa bunge .

Bali hakusema ni hatua gani atachukua ikiwa Jenerali Ulimwengu atakaidi onyo hilo , ila anasema watapambana naye ndani na nje .

----+

Akizungumza katikati ya mjadala wa marekebisho ya Sheria mbalimbali uliowasilishwa Bungeni, Spika Ndugai amesema Ulimwengu ambaye ni Mwandishi wa Habari Nguli amekuwa akilikashfu Bunge na Spika apendavyo.

"Jenerali amekuwa akilivunjia heshima Bunge na Spika pia, napenda kumpa onyo kali kuchunga ulimi wake, haipendezi Mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyoovyo, akiendelea na sisi tutaacha ukimya itabidi Watu washughulike nae ndani na nje yaani Mahakamani, habari imfikie uvumilivu wetu umefika mwisho, sisi sio kama anavyodhani" ——— Spika Ndugai
Job Ndugai bado anaumwa
 
Ndugai ajitafakari na kujitathmini kwamba kwanini ktk kipindi chake ndiyo Bunge limezodolewa na watu wengi wenye akili kwamba ni dhaifu?

Badala ya Ndugai kutumia nguvu nyingi sana kupambana na wanaolizodoa bunge lake ni vema angerekebisha makosa yake na akasafisha taswira ya bunge.

Kila mfuatiliaji wa duru za Siasa na kazi za Bunge hapa nchini bunge limegeuka toilet paper ya serikali.

Baadhi ya waliowahi kukumbana na rungu la Ndugai kwa kulizodoa bunge ni pamoja na Prof. Assad na Pascal Mayalla . Na Sasa ameahidi kumshushia rungu Jenerali Ulimwengu.

Ndugai ashauriwe na akubali kuwa amelewa ili aache kuendelea kunywa pombe ya madaraka. Ni kweli bunge lake ni dhaifu.
 
Kwa kweli analiabisha Taasisi anayongoza, anajiabisha yeye mwenyewe, na wajumbe wengine wa Taasisi hiyo na wabongo wote kwa Jumla yetu, hata kwa Kiongozi wa Jamuhuri yetu. Kwa mojawapo ya Taasisi Nyeti kuwa kama Kiongozi wa taaluma yake
 
Umeskika ukitoa tambo za vitisho hapo bungeni leo dhidi ya mwana huyu wa Tanzania . Mzalendo asiyeimbwa. Kosa lake ni lipi tuambieni ili tumwambie.
Kosa lake ninini?
Bunge ni taasisi ya watu.
Wewe ni kibaraka wa wawatawala.
Utawatisha wangapi?
 
Bàada ya kumaliza mjadala wenu huko space na kina shangazi Maria mmekuja kumnanga spika wetu
 
Back
Top Bottom