Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Huenda hujui unachokiuliza, wewe unaweza kumiliki mashine ya MRI nyumbani kwako peke yako kwa matumizi binafsi?Mkuu kwani anaimiliki kihalali?
Tatizo lake ni lipi haswaa hadi aishi na hiyo mashine?
huo ndi uzuzu wenu mkiambiwa ukweli unalalama, pumbafuMuhimili wa Bunge unapaswa uheshimiwe, na ambaye anajaribu kuuvunjia heshima atachukuliwa hatua za kisheria.
kama anabisha arudie tena kutumia lugha za kashfa na kebehi kwa viongozi na mhimili alafu ataona tabu atakayo ipata.
Ulimwengu alisemaje kuhusu bunge?
Na sa hivi jf wametoa logo Mpya ya BANNED.Wenzetu mna akaunti nyingi ngoja niende polepole
Wewe ni nani hadi ututajie magonjwa ya mtu?Huenda hujui unachokiuliza, wewe unaweza kumiliki mashine ya MRI nyumbani kwako peke yako kwa matumizi binafsi?
Kusafisha damu kwa mgonjwa wa figo ni mara mbili mpaka 3 kila wiki.
Tuendelee kusubiri hakuna jibu mpaka sasa.Akikujibu nitag mkuu maana baada ya taarifa ya habari nimekuja huku haraka sana nikajua nitakutana na alichosema!
Hii logo wengi wanapendeza nayo.Na sa hivi jf wametoa logo Mpya ya BANNED.
Kongole kwa aliye li design.Hii logo wengi wanapendeza nayo.
Kwa wale tunaomfahamu Ulimwengu kama mfuasi na mwanafunzi mahili wa itikadi za Mwl. Julius Nyerere, Samora Machel na wanamapinduzi wa Cuba, Amerika kusini n.k. tunaamini hawezi kutishwa na yeyote anapo timiza haki yake ya kutoa maoni na kuelimisha umma. Anapokejeli dhana ya "waheshimiwa" hili neno lilishafutika ktk vocabularly na badala yake tukaitana "ndugu". Mengi anayozungumza na kuandika ndugu yetu Ulimwengu pengine yapo mbele ya wengi wetu kwa upeo na wakati. Badala ya kumtolea "onyo kali" ningeshauri bunge wamkaribishe Twaha Jenerali Ulimwengu kwa mjadala ambao naamini utaleta manufaa makubwa.Leo trh 11. 11. 2021 Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai amempa onyo kali kwa Mzee Jenerali Ulimwengu kutokana na tabia yake ya kutoa lugha za kejeli na dharau kwa viongozi mbalimbali na haswa Bunge.
kwa maoni yangu naona,
ni muhimu mzee Jenerali akajitathimini juu ya kauli zake anazo zitoa.
mzee ulimwengu ni mtu maarufu na ana heshimika ktk jamii, hivyo ni bora akaendelea kulinda heshima yake kwa kuwa makini na kauli zake anazo zitoa ambazo hazifai kuwatamkia binaadmu wenzake.
waswahili wanasema, "Heshima ni kitu cha bure"
Tumia sheria ya uhamiaji kwa kurekebisha kakipengele kwenye uraia wa kuandikishwaAmetoa onyo hilo leo Mjini Dodoma na amemtaka Ulimwengu kuacha mara moja kutoa lugha za dharau dhidi ya Mhimili wa Bunge. Bali hakusema ni hatua gani atachukua ikiwa Jenerali Ulimwengu atakaidi onyo hilo, ila anasema watapambana naye ndani na nje.
----+
Akizungumza katikati ya mjadala wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali uliowasilishwa Bungeni, Spika Ndugai amesema Ulimwengu ambaye ni Mwandishi wa Habari Nguli amekuwa akilikashfu Bunge na Spika apendavyo.
"Jenerali amekuwa akilivunjia heshima Bunge na Spika pia, napenda kumpa onyo kali kuchunga ulimi wake, haipendezi Mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyoovyo, akiendelea na sisi tutaacha ukimya itabidi Watu washughulike naye ndani na nje yaani Mahakamani, habari imfikie uvumilivu wetu umefika mwisho, sisi sio kama anavyodhani" Spika Ndugai
Hoja no. 4 unaweza kuitumia kufungua kesi ya kikatiba aisee. Mkuu points zako ni fikirishi sanaSisi wananchi tunashangazwa sana na ubabe wa kishamba unaofanywa kupitia mhimili wa Bunge letu. Ikumbukwe hili Bunge la sasa liliundwa kwa kukiuka taratibu nyingi sana kupitia kitu kinachofananishwa na Uchaguzi mkuu 2020
Tumemsikia Spika akitoa onyo kali dhidi ya Jenerali Ulimwengu kuwa wameishiwa uvumilivu.
1.
Spika anakiuka ibara ya 18 ya Katiba ya sasa
2.
Tangu uhuru mpaka leo, Bunge halijawahi kutunga sheria bali linapitisha miswada ya sheria zinazotungwa na Excutives. Ndo maana unasikia wabunge wanasema SERIKALI ILETE SHERIA BUNGENI ili waipitishe.
3.
Ndugai atupatie ushahidi lini Bunge liliwahi kuiwajibisha serikali kupitia ripoti ya CAG
4.
Je kanuni za kudumu.za Bunge zilifuata utaratibu katika kutungwa na kupitishwa kwake? Kwa nini zinatumika kama sheria wakati hazijakidhi vigezo vya kuwa sheria?
5.
Bunge linatoa wapi mamlaka ya kutishia wananchi?
Bwana Ndugai, wananchi kwa sasa hawafuatilii sessions za Bunge. Haya ni matokeo ya kunajisi sheria za Uchaguzi na ukiukwaji wa maadili ya uongozi.
CCM tuna wakati mgumu sana 2025
Nipinge kwa hoja