Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo

Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo

Ametoa onyo hilo leo Mjini Dodoma na amemtaka Ulimwengu kuacha mara moja kutoa lugha za dharau dhidi ya Mhimili wa Bunge. Bali hakusema ni hatua gani atachukua ikiwa Jenerali Ulimwengu atakaidi onyo hilo, ila anasema watapambana naye ndani na nje.

----+

Akizungumza katikati ya mjadala wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali uliowasilishwa Bungeni, Spika Ndugai amesema Ulimwengu ambaye ni Mwandishi wa Habari Nguli amekuwa akilikashfu Bunge na Spika apendavyo.

"Jenerali amekuwa akilivunjia heshima Bunge na Spika pia, napenda kumpa onyo kali kuchunga ulimi wake, haipendezi Mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyoovyo, akiendelea na sisi tutaacha ukimya itabidi Watu washughulike naye ndani na nje yaani Mahakamani, habari imfikie uvumilivu wetu umefika mwisho, sisi sio kama anavyodhani" Spika Ndugai
TENA NDUNGAI ULITAKIWA KUWAMBWA MAKOFI
 
Kama ana 'ka-ugonjwa' kanakomlazimisha kutumia "dawa" kila siku ndio inakuwa tabu zaidi!
 
Ndugai Siku hizi anajifanya eti ni Mzee wa Busara. Kila Siku lazima aje na statement ya kushauri.... Sijui hiyo busara kapata wapi..... Labda Ile miezi 6 Apollo alikuwa anafundishwa busara za Kihindi.
Kwani busara huwa zinaota kama majani mkuu 🤣
 
Habari ndiyo hiyo. Thibitisheni wenyewe kwa kutembelea mitandao hiyo. Spika ajitafakari sana.
Ndugaye kachooka mapema naona ni muda muafaka akarudi kibaigwa akachunge mifugo wake
 
Ndugai ajitafakari na kujitathmini kwamba kwanini ktk kipindi chake ndiyo Bunge limezodolewa na watu wengi wenye akili kwamba ni dhaifu?

Badala ya Ndugai kutumia nguvu nyingi sana kupambana na wanaolizodoa bunge lake ni vema angerekebisha makosa yake na akasafisha taswira ya bunge.

Kila mfuatiliaji wa duru za Siasa na kazi za Bunge hapa nchini bunge limegeuka toilet paper ya serikali.

Baadhi ya waliowahi kukumbana na rungu la Ndugai kwa kulizodoa bunge ni pamoja na Prof. Assad na Pascal Mayalla . Na Sasa ameahidi kumshushia rungu Jenerali Ulimwengu.

Ndugai ashauriwe na akubali kuwa amelewa ili aache kuendelea kunywa pombe ya madaraka. Ni kweli bunge lake ni dhaifu.
Wakati wa kura za maonialipiga mtu rungu
 
Habari ndiyo hiyo. Thibitisheni wenyewe kwa kutembelea mitandao hiyo. Spika ajitafakari sana.
Ina maana Job amesahau kwamba alisema mwenyewe "Atake Asitake Mwendazake lazima aongezewe muda". Tena hiyo timu ilikuwa na akina Kessy, Lugola, Nkamia, Bashiru, Polepole, Job, Kabudi, n.k
 
2. Tangu uhuru mpaka leo, Bunge halijawahi kutunga sheria bali linapitisha miswada ya sheria zinazotungwa na Excutives. Ndo maana unasikia wabunge wanasema SERIKALI ILETE SHERIA BUNGENI ili waipitishe.
Niliwahi kusema kuliko kuwa na bunge kama hili la ndugai ni bora lisiwepo mambo yakafanywa na maafisa wa serikali tutakuwa tumeokoa fedha nyingi sana.
 
Ametoa onyo hilo leo Mjini Dodoma na amemtaka Ulimwengu kuacha mara moja kutoa lugha za dharau dhidi ya Mhimili wa Bunge. Bali hakusema ni hatua gani atachukua ikiwa Jenerali Ulimwengu atakaidi onyo hilo, ila anasema watapambana naye ndani na nje.

----+

Akizungumza katikati ya mjadala wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali uliowasilishwa Bungeni, Spika Ndugai amesema Ulimwengu ambaye ni Mwandishi wa Habari Nguli amekuwa akilikashfu Bunge na Spika apendavyo.

"Jenerali amekuwa akilivunjia heshima Bunge na Spika pia, napenda kumpa onyo kali kuchunga ulimi wake, haipendezi Mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyoovyo, akiendelea na sisi tutaacha ukimya itabidi Watu washughulike naye ndani na nje yaani Mahakamani, habari imfikie uvumilivu wetu umefika mwisho, sisi sio kama anavyodhani" Spika Ndugai
NDUNGAI MSHIRIKINA SANA
 
Ndugai aligusia kidogo hatua zinanazoweza kuchukuliwa dhidi ya Jenerali Ulimwengu ikiwa hataacha kumsema

1. HATUA ZA KIBUNGE:
Mara nyingi watu ambao inasemekana wame
likosea Bunge huitwa kwenye kamati ya maa
dila na humo wakitoka huwasikii kuongea
tena. Mfano Pasco, Makonda, Gwajima nk

2. HATUA ZA KIMAHAKAMA:
Hapa ndio sijui kama watamshitaki kama
Bunge au atashitaki Ndugai kama Yustino

Hofu yangu isije kua kama ile kauli ya vitisho aliyowahi kuitoa Heri James tena hadharani kua "sasa hivi hawatatumia risasi bali sindano moja tu pyuuu, basi"
 
Ametoa onyo hilo leo Mjini Dodoma na amemtaka Ulimwengu kuacha mara moja kutoa lugha za dharau dhidi ya Mhimili wa Bunge. Bali hakusema ni hatua gani atachukua ikiwa Jenerali Ulimwengu atakaidi onyo hilo, ila anasema watapambana naye ndani na nje.

----+

Akizungumza katikati ya mjadala wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali uliowasilishwa Bungeni, Spika Ndugai amesema Ulimwengu ambaye ni Mwandishi wa Habari Nguli amekuwa akilikashfu Bunge na Spika apendavyo.

"Jenerali amekuwa akilivunjia heshima Bunge na Spika pia, napenda kumpa onyo kali kuchunga ulimi wake, haipendezi Mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyoovyo, akiendelea na sisi tutaacha ukimya itabidi Watu washughulike naye ndani na nje yaani Mahakamani, habari imfikie uvumilivu wetu umefika mwisho, sisi sio kama anavyodhani" Spika Ndugai

“Huyu mzee hivi karibuni amekuwa akiropoka ropoka sana...” - Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, akitoa onyo aliloliita la mwisho kwa mwanahabari nguli Jenerali Ulimwengu na kumtaka kuacha tabia ya kukashfu watu na kuzivunjia heshima taasisi mbalimbali na kulidharau Bunge.
View attachment 2007798
Tunampongeza Jenerali Ulimwengu kwa kuwakosoa wabunge na viongozi wengine wa serikali wa kitaifa. Jenerali tunamuunga mkono na tutampa ushirikiano kila wakati, Ndugai hana uhalali wa kuwakataza watanzania wasitoe maoni yao, hii nchi ni ya kidemokrasia na sio ya kiimla. Ndugai chunga ulimi wako!
 
Kitendo cha Ndugai kuambiwa yeye kama spika hapaswi kujipendekeza kwa serikali kimemuuma ile mbaya. Analitaja bunge ili kuficha ukweli kuwa suala la kujipendekeza ni yeye aliambiwa, hivyo analitaja bunge kwa ujumla wake ili ionekane ni dharau kwa bunge zima. Lakini ukweli ni kuwa spika anajipendekeza kwa serikali, na bunge lake ni dhaifu kweli.
Ndugai

Sirro

Jaji Ibrahim

Ni vimelea vya ujiweism vilivyobakia
 
Ametoa onyo hilo leo Mjini Dodoma na amemtaka Ulimwengu kuacha mara moja kutoa lugha za dharau dhidi ya Mhimili wa Bunge. Bali hakusema ni hatua gani atachukua ikiwa Jenerali Ulimwengu atakaidi onyo hilo, ila anasema watapambana naye ndani na nje.

----+

Akizungumza katikati ya mjadala wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali uliowasilishwa Bungeni, Spika Ndugai amesema Ulimwengu ambaye ni Mwandishi wa Habari Nguli amekuwa akilikashfu Bunge na Spika apendavyo.

"Jenerali amekuwa akilivunjia heshima Bunge na Spika pia, napenda kumpa onyo kali kuchunga ulimi wake, haipendezi Mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyoovyo, akiendelea na sisi tutaacha ukimya itabidi Watu washughulike naye ndani na nje yaani Mahakamani, habari imfikie uvumilivu wetu umefika mwisho, sisi sio kama anavyodhani" Spika Ndugai

“Huyu mzee hivi karibuni amekuwa akiropoka ropoka sana...” - Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, akitoa onyo aliloliita la mwisho kwa mwanahabari nguli Jenerali Ulimwengu na kumtaka kuacha tabia ya kukashfu watu na kuzivunjia heshima taasisi mbalimbali na kulidharau Bunge.
View attachment 2007798
spika kuna wakati anadhani bado yuko kwenye utawala ule wa siku zile akisema huyu anyamaze au afungwe au akamatwe iwe hivyo., mama samia amejipambanua watu kutoa mawazo yao ikiwemo kukosoa serikali kwa kiwango chochote kile, avumilie tu jeneral ni mwana taaluma
 
Back
Top Bottom