Spika Ndugai: Nyani wanashangilia kifo cha mkulima wa mahindi wanasahau mwakani hawana pa kula

Ndungai sio kiongozi Wala hana karba ya uongozi, mawazo yake yapo kimipasho na malumbano kuliko kutumia HEKIMA na BUSARA!! Inashanga kuona mkuu wa mhimili muhimu yupo katika kipindi ambacho anahitaji kutoa maneno ya HEKIMA yeye yupo kuwachambua watu.

Huyu ni mpuuzi mkubwa na mimi sio Mungu ila na yeye kwa tabia yake ya roho mbaya atakuwa na mwisho mbaya...
 
Nyani na ngedere hao watalima mahindi yao au watatafuta mbadala ya kuishi. Pole Ndugai kwa kuwafananisha walioumizwa na marehemu kuwa ni nyani au ngedere.
 
Nyani wapo wengi, kuwataja wachache
1. Tundu lissu
2. Fatma karume
3. Binti wa sarungi
4. Zitto kabwe
5. Na genge lao lote na bavicha maji...
Ila siyo mbaya kabaki mwenyewe mtoa shombo. Imagine hapo kabla tulikuwa tunapigwa shombo kwa Ndugai tukitoka hapo tunapokelewa na Jiwe. Tuendelee kunywa mtori. Kama tuliweza kuvumilia shombo dabo dabo tutashindwa hizi singo shombo! Ila ajue tu kuwa ameondoka baba wa shombo yeye amebaki katoto tuu!
 
Spika kuna kitu alitaka kusema kuhusu mfano huo ila kikampotea

Lakini pia nayeye kakazia, akifa azikwe kongwa.
 
That's a phrase you fool, yaani hii sentensi mmeitafsiri neno kwa neno na wala hamjahangaisha bongo zenu au yawezekana ndio uwezo wenu umefika mwisho...chekecha akili wewe mtu mzima, acha kuaibisha utu uzima...
Soma signature phrase hapa chini; inakuhusu
 
Huyo Spika kaigeuza Nchi yetu kuwa Jamhuri ya Wajinga
 
Huo mfano nadhani anamaanisha wale wateule wa Rais ambao wamekuwa kwenye hizo nafasi kwa kiteuliwa na marehemu.

Hawajui kutokana na kifo cha aliyewateua, huenda mwakani wasiwe wateule tena.
 
Nyani wapo wengi, kuwataja wachache
1. Tundu lissu
2. Fatma karume
3. Binti wa sarungi
4. Zitto kabwe
5. Na genge lao lote na bavicha maji...
Wewe kwenye intepretation ni zero. Nyani lazima wawe ni wale wanufaika wa awamu ya 5. Aliwateua lakini wakamchukia kwa sababu aliwazuia kuiba. Wanashangilia kifo chake kimya kimya. Wasichokijua ni kuwa Rais mpya anaweza asiwateua, hivyo hata nafasi za kuweza kuiba, hawatakuwa nazo.

Wengine wapo ndani ya Serikali, wamefurahia kifo kwa vile wanadhani marehemu alikuwa kizuizi cha wao kugombea Urais. Wanajulikana sana. Kwa unafiki wanajifanya wanasikitika.
 
Huyu ndugai alikuwa akimuabudi marehemu kuliko Mungu. Sasa mungu wake amekufa anaanza nb kunwabwaja. Hakuna nyani kuliko yeye aliyetumia mabilioni ya fedha kifisadi katika matibabu huko india
 
Hiyo ni intepretation yako...
 
Nao
Naona Nyani mkubwa kaongea.
😅😅😅😅😅
 
Huyo asamehewe kichwani kuna shida
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…