NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Nyani wapo wengi tu,makao makuu ya Nyani ni Pale Ufipa kwenye banda lao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kauli ya Spika wa bunge mh Ndugai inafikirisha sana.
Hao nyani wanaofurahia kifo cha hayati Magufuli ni akina nani?
Je, ni Ufipa?
Na kwanini mwakani watakosa chakula?
Hata hivyo Ndugai amesema wanaoshangilia wanajidanganya Tanzania haitarejea kuwa shamba la bibi kamwe.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Tanzania ilivyokuwa shamba la bibi.... hivi chama tawala kilikuwa ni Chadema?
Hahaha MajambawaziYeye mwenye jizi, limetumia mabilion kujitibu jizi kubwa
Acha uduanzimkoma bora akae kimya tu.
Maneno haya yanatamkwawna mgonjwa wa gharama kuliko wagonjwa wote ndani ya JMT.
Waliiba shamba gani?Nyani wapo wengi, kuwataja wachache
1. Tundu lissu
2. Fatma karume
3. Binti wa sarungi
4. Zitto kabwe
5. Na genge lao lote na bavicha maji...
Malezi na mazingira ya kimaskini.Huyu mzee sijui kwa nini huwa hana hekma katika matamshi yake...
Sio mzuri sana kwenye kutoa hotuba/matamshi yenye kujawa hekima hata kwa kulazimisha...
Message sent and delivered....Hii kauli ya Spika wa bunge mh Ndugai inafikirisha sana.
Hao nyani wanaofurahia kifo cha hayati Magufuli ni akina nani?
Je, ni Ufipa?
Na kwanini mwakani watakosa chakula?
Hata hivyo Ndugai amesema wanaoshangilia wanajidanganya Tanzania haitarejea kuwa shamba la bibi kamwe.
Maendeleo hayana vyama!
Na yako pia, ni swala la muda tu.Naye zamu yake itafika ni muda tu!
Yes hasa huyo no. 1.Nyani wapo wengi, kuwataja wachache
1. Tundu lissu
2. Fatma karume
3. Binti wa sarungi
4. PZitto kabwe
5. Na genge lao lote na bavicha maji...
Hata yako itafika tu huna namna,Naye zamu yake itafika ni muda tu!
Kauli za kijinga toka kwa wajinga...Hii kauli ya Spika wa bunge mh Ndugai inafikirisha sana.
Hao nyani wanaofurahia kifo cha hayati Magufuli ni akina nani?
Je, ni Ufipa?
Na kwanini mwakani watakosa chakula?
Hata hivyo Ndugai amesema wanaoshangilia wanajidanganya Tanzania haitarejea kuwa shamba la bibi kamwe.
Maendeleo hayana vyama!