Ila Allah kampenda zaidi, waliweza kuficha ugonjwa sijui kwanini hawakuficha na kifoupinzani hauna jipya,kweli nyota ya mzee maghu ni kali si kwakupendwa huko na wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Allah kampenda zaidi, waliweza kuficha ugonjwa sijui kwanini hawakuficha na kifoupinzani hauna jipya,kweli nyota ya mzee maghu ni kali si kwakupendwa huko na wananchi
Tutangulize ubinadamu kwenye utendaji maana mwisho wote ni maiti.Nani ambae zamu yake haitafika?
nyani ni nyani tu hata umvishe suti.Waislam wengi ni watu waungwana sana (though mimi sio Muslim). Kwenye hotuba ya Speaker wa baraza la wawakilishi na yule mbunge (mwislam) aliyeenda kusoma dua wamemeombea Hayati Magufuli msamaha kwa kuwa wanatambua kuwa Magufuli alikuwa binadamu hivyo kuna watu aliwakosea. Hawa wa kwetu wameanza kuita wenzao manyani. Inasikitisha sana.
Utende wema ama usitende wema mwisho wote ni mauti.Tutangulize ubinadamu kwenye utendaji maana mwisho wote ni maiti.
huenda ni kwasababu za kiusalama si unajua bongo kuna wapigaji wengiIla Allah kampenda zaidi, waliweza kuficha ugonjwa sijui kwanini hawakuficha na kifo
Hawa jamaa Hawaja wahi kuwa na akiliKwani Tanzania ilivyokuwa shamba la bibi.... hivi chama tawala kilikuwa ni Chadema?
Anafikiri ile nguvu aliyokuwa amepewa akiwa ni KIBARAKA wa huyo MKULIMA, ataendelea kuwa nayo!Nyani ni ccm wenzake maana hakuna mpinzani kwenye serekali!!
Angalizo kwake Wahenga wanasema Usitukane mamba kabla ya kuvuka mto!
Walikuwa wana ongoza nchi kama vile familia ya babu yao!Anafikiri ile nguvu aliyokuwa amepewa akiwa ni KIBARAKA wa huyo MKULIMA, ataendelea kuwa nayo!
Kuna sababu nyingi sana za kutenda wema hata kama mwisho wake ni mauti. Bila wema dunia haikaliki. Promote wema.Utende wema ama usitende wema mwisho wote ni mauti.
Hana sifa ya kuwa MALAIKA!Huyu tulimsamehe bure ila yeye hataki kusamehewa.
Ngoja tumuombee dua nayeye akawe malaika
Walikuwa akina job ndugaiKwani Tanzania ilivyokuwa shamba la bibi.... hivi chama tawala kilikuwa ni Chadema?
MmhhhhWaislam wengi ni watu waungwana sana (though mimi sio Muslim). Kwenye hotuba ya Speaker wa baraza la wawakilishi na yule mbunge (mwislam) aliyeenda kusoma dua wamemeombea Hayati Magufuli msamaha kwa kuwa wanatambua kuwa Magufuli alikuwa binadamu hivyo kuna watu aliwakosea. Hawa wa kwetu wameanza kuita wenzao manyani. Inasikitisha sana.
Kwa hiyo hatazikwa wala kunuka na kuoza?upinzani hauna jipya,kweli nyota ya mzee maghu ni kali si kwakupendwa huko na wananchi
Kwani jamaa ni mkomamkoma bora akae kimya tu.
Tehe teheHaya wote tuimbe
Nyani nyanii
nyani mkindu tumkindure