Spika Ndugai: Nyani wanashangilia kifo cha mkulima wa mahindi wanasahau mwakani hawana pa kula

Spika Ndugai: Nyani wanashangilia kifo cha mkulima wa mahindi wanasahau mwakani hawana pa kula

Kwisha habari yake huyu.Hakuna linalopaki kwa kuondokewa na dereva,sote wapitaji, aliondoka Nyerere na atujayumba.
 
Hii kauli ya Spika wa bunge mh Ndugai inafikirisha sana.

Hao nyani wanaofurahia kifo cha hayati Magufuli ni akina nani?

Je, ni Ufipa?

Na kwanini mwakani watakosa chakula?

Hata hivyo Ndugai amesema wanaoshangilia wanajidanganya Tanzania haitarejea kuwa shamba la bibi kamwe.

Maendeleo hayana vyama!
Nyani wengi wapo hapa JF
 
na wale wakimbizi wataambiwa warudi kwao.na misaada ndo bye bye.
 
Hii kauli ya Spika wa bunge mh Ndugai inafikirisha sana.

Hao nyani wanaofurahia kifo cha hayati Magufuli ni akina nani?

Je, ni Ufipa?

Na kwanini mwakani watakosa chakula?

Hata hivyo Ndugai amesema wanaoshangilia wanajidanganya Tanzania haitarejea kuwa shamba la bibi kamwe.

Maendeleo hayana vyama!
Tatizo mkulima wa mahindi alikuwa anamiliki bunduki, nyani akikatiza tu risasi kwa mwili wa nyani unategemea nyani wasifurahi kweli?
 
Hii kauli ya Spika wa bunge mh Ndugai inafikirisha sana.

Hao nyani wanaofurahia kifo cha hayati Magufuli ni akina nani?

Je, ni Ufipa?

Na kwanini mwakani watakosa chakula?

Hata hivyo Ndugai amesema wanaoshangilia wanajidanganya Tanzania haitarejea kuwa shamba la bibi kamwe.

Maendeleo hayana vyama!
Mjinga tu huyo.. alikuwa anategemea amuongezee jamaa yake muda wa kutawala Mungu akamfyekelea mbali. Sasa kwa ubaya aliomtendea Tundu Lissu kumfukuza kama mbwa na kumyima stahiki zake.. Karma inamfata yeye, sasa zamu yake na yeye..
 
Huyu mzee sijui kwa nini huwa hana hekma katika matamshi yake...

Sio mzuri sana kwenye kutoa hotuba/matamshi yenye kujawa hekima hata kwa kulazimisha...
 
Hawa yanga-utopolo wanazidi laaniwa kutoka kwa mmiliki wao ccm.
 
Nataka nikuandalie maumivu makali, ili kila unachokiona kiwe kinafanya ukumbuke ni hatari.../

Inaitwa zoea nanga kabla bado haija ng'oa, maana hukuiheshimu mvua kwakua ulikuwa bado hujaloa.../

Hii itawafanya muanze kutumia pombe na ganja tunayajua haya yote maana ndio tulikotoka, mtasimama kijasiri na mwisho mtadondoka.../

Skia mtaleta daktari mjue nini shida hamtapata jawabu kabisa, mtamleta sheikh mtamleta mchungaji wa kanisa mtasahau kua moyo uliovunjika hauna tiba.../

Kiasi mtaijua dini, mtaijua harufu ya sakafu maana mtakuwa chini.../

Mtatupamba majina ya kikafiri, hatutaskia maana tutakuwa mbali tushasafiri.../

Mtatunga nahau kukanda mwili, na huo wakati hamkuwahi kuutabiri../

Mtaumia mtashindwa kusimulia, okoteni vipande vya mioyo yenu nendeni zenu mkaandike tanzia.../

Mtatutukana wanaharamu mara sisi wabaya, rafiki zenu kuu watakua ni kumbukizi ya maneno yake mkifarijiwa na riwaya.../

Natamani niwaambie kuwa tulifurahi tulipopata taarifa juzi, maana mnaskia na hamjifunzi.../

Tuwaumize kama tulivyoumia sisi mwaka juzi, ili mjifunze kuiona njia ya haki na msipagawe kwa miluzi.../
 
Hii kauli ya Spika wa bunge mh Ndugai inafikirisha sana.

Hao nyani wanaofurahia kifo cha hayati Magufuli ni akina nani?

Je, ni Ufipa?

Na kwanini mwakani watakosa chakula?

Hata hivyo Ndugai amesema wanaoshangilia wanajidanganya Tanzania haitarejea kuwa shamba la bibi kamwe.

Maendeleo hayana vyama!
Aliyetumia bajeti ya wizara kwa mwaka mzima kutibu gonjwa lake la kujitakia na wale walioambiwa hawatapelekewa maendeleo hadi wakome ni nani aliyeigeuza Tanzania kuwa shamba la bibi ?
 
Back
Top Bottom