johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ndiyo itakuwa mkono wa kwaheri baada ya kulivunja bungeHeheee si tulikubaliana anahutubia bunge tu sasa hiyo kudamka na futari imetoka wapi
Mzee Mgaya Mbowe na J J Mnyika ndani ya nyumba!Mzee mgaya amealikwa au atazamia
Akienda mwambie abebe na ndizi za kuiva
[emoji23][emoji23]
Ova
Sema KUDEMKA, sio KUDAMKAHeheee si tulikubaliana anahutubia bunge tu sasa hiyo kudamka na futari imetoka wapi
Kulivunja bunge tenaNdiyo itakuwa mkono wa kwaheri baada ya kulivunja bunge
Mmawia ni moja ya viazi wakubwa sana pale ufipaKulivunja bunge tena
Hayati Magufuli alikuwa anafuturisha pale Magogoni!Sina kumbukumbu sana,
Hili jambo lilifanyika kuoe awamu ya 5?
Au ndo undava undava ilikuwa....
Huyo mmakonde hana lolote!Mmawia ni moja ya viazi wakubwa sana pale ufipa
Hivi maana ya huu msemo ni nini?Sema KUDEMKA, sio KUDAMKA
Duh patachimbika basiMzee Mgaya Mbowe na J J Mnyika ndani ya nyumba!