Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

What a cuck ending,😂😂..
Kweli hayati alikua sahihi kusema kuna muhimili mmoja umejichimbia ndani na una ukubwa kidogo kuliko mengine...Yani kiongozi wa muhimili mmoja unaomba msamaha😂😂.hii ni walk of shame...basi Rais anafaa kuburuza hii nchi,,syllabus za masomo ya uraia zirejewe...
Aaaaaaa Ndugai katia aibu ya mwaka. Kalidharirisha bunge na kiti cha u-Spika. Legislature imeufyata kwa Executive 😆😆😆

Naona Ndugai hakumsoma James Montsque aliekuja na dhana ya Seperation of Power and Checks and Balance kati ya; Bunge, Serikali na Mahakama.

Njaa mbaya sana 😆😆😆
 
Baada ya matamko kutoka viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi na serikali dhidi ya kauli ya Spika Job Ndugai kuhusu mikopo, leo Jumatatu saa 5:00 asubuhi, Ndugai anazungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma.

NDUGAI: NIMEUMIA KUOENEKANA NAPINGA MKOPO WA SERIKALI WA TSH. TRILIONI 1.3

Spika Job Ndugai amesema kauli yake aliyoitoa Desemba 26, 2021 alipoalikwa kwenye tukio la makumbusho ya wagogo kuwa imechukuliwa vibaya na kuleta mkanganyiko

Amesema alikuwa anazungumza kuhusu sababu iliyoifanya bunge kukubali na kuipitisha tozo na sio kuwa alikuwa akizungumzia taasisi nyingine yoyote

Ndugai amesema video iliyosambaa ilikatwa bila kuleta ujumbe kamili aliokuwa amekusudia. Ameumia kuonekana anapinga mkopo wa serikali

NDUGAI: TUTENGENEZE MAKUMBUSHO YA BUNGE

Spika wa Bunge Job Ndugai, amesema ni muhimu kwa Bunge kuwa na makumbusho yake ili wanaotembelea ofisi hizo wajue historia ya bunge kwa namna ilivyokuwa

Jambo hilo amesema ni muhimu hata kwa taasisi nyingine kuwa na makumbusho yake ili watu waweze kujua kuhusu historia ya taasisi husika

Amesema hayo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari ofisi za Bunge Dodoma

NDUGAI: NAMUOMBA RADHI RAIS NA WANANCHI WOTE

Spika wa Bunge Job Ndugai amemuomba radhi Rais Samia Suluhu na wananchi wote kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yake

Amesema yeye ni CCM ambao lengo lao ni moja hawawezi kutofautiana. Kuna watu wanaojaribu kuwafarakanisha lakini hawatafanikiwa

Ndugai amesema Rais anafanya vizuri lakini peke yake hawezi kwa hiyo ni jukumu la watu wote kumsaidia
View attachment 2066990
View attachment 2067070
Pia soma;
Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni
Hili la kuweka makumbusho ya bunge namuunga mkono. Tuweke kumbukumbu kwa vizazi vijavyo kwamba tuliwahi kuwa na bunge la ovyo likiongozwa na Zuzu mmoja aitwaye Ndugai.
 
Anajiuzulu au anaita watu kwenye kikao cha kamati ya maadili ya bunge?
Safari hii ataenda mwenyewe kuhojiwa na kamati ya maadili ya bunge,hata hivyo kanishangaza sana,namwona Kama anasoma chekechea.
 
Hivi muda wa kisheria "tenure" wa mtu kuwa spika ni vipindi vingapi. Tuna spika wa ajabu sana hii nchi.
 
Aaaaaaa Ndugai katia aibu ya mwaka. Kalidharirisha bunge na kiti cha u-Spika. Legislature imeufyata kwa Executive 😆😆😆

Naona Ndugai hakumsoma James Montsque aliekuja na dhana ya Seperation of Power and Checks and Balance kati ya; Bunge, Serikali na Mahakama.

Njaa mbaya sana 😆😆😆
🖕🖕 sorry, ni Charles Montesquieu.
 
IMG_20210711_211330.jpg
 
Hahahha .muhimili umeuomba radhi muhimili!
Yaani unamuuliza mwalimu swali Afu kabla hajajibu unamuomba msamaha!!!!!
 
Mama akimsamehe atakuwa amefanya kasa kubwa mno. Ndungai ni nyoka mwenye sumu kali sana anayetafuta timing ya kung'ata

Ila ndugai si ndio kazi yake kufatilia serikali au[emoji23][emoji23][emoji12]
 
Baada ya matamko kutoka viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi na serikali dhidi ya kauli ya Spika Job Ndugai kuhusu mikopo, leo Jumatatu saa 5:00 asubuhi, Ndugai anazungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma.

NDUGAI: NIMEUMIA KUOENEKANA NAPINGA MKOPO WA SERIKALI WA TSH. TRILIONI 1.3

Spika Job Ndugai amesema kauli yake aliyoitoa Desemba 26, 2021 alipoalikwa kwenye tukio la makumbusho ya wagogo kuwa imechukuliwa vibaya na kuleta mkanganyiko

Amesema alikuwa anazungumza kuhusu sababu iliyoifanya bunge kukubali na kuipitisha tozo na sio kuwa alikuwa akizungumzia taasisi nyingine yoyote

Ndugai amesema video iliyosambaa ilikatwa bila kuleta ujumbe kamili aliokuwa amekusudia. Ameumia kuonekana anapinga mkopo wa serikali

NDUGAI: TUTENGENEZE MAKUMBUSHO YA BUNGE

Spika wa Bunge Job Ndugai, amesema ni muhimu kwa Bunge kuwa na makumbusho yake ili wanaotembelea ofisi hizo wajue historia ya bunge kwa namna ilivyokuwa

Jambo hilo amesema ni muhimu hata kwa taasisi nyingine kuwa na makumbusho yake ili watu waweze kujua kuhusu historia ya taasisi husika

Amesema hayo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari ofisi za Bunge Dodoma

NDUGAI: NAMUOMBA RADHI RAIS NA WANANCHI WOTE

Spika wa Bunge Job Ndugai amemuomba radhi Rais Samia Suluhu na wananchi wote kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yake

Amesema yeye ni CCM ambao lengo lao ni moja hawawezi kutofautiana. Kuna watu wanaojaribu kuwafarakanisha lakini hawatafanikiwa

Ndugai amesema Rais anafanya vizuri lakini peke yake hawezi kwa hiyo ni jukumu la watu wote kumsaidia
View attachment 2066990
View attachment 2067070
Pia soma;
Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni
Makumbusho ya bunge ili wapige hela so ndio? Kwani so tuna Hansard zinatunza kila aina ya kumbukumbu hadi hoja za kila mbunge au pia wageni waalikwa?

Sasa kama ndio hivyo Hansard za nini? Jamaa ameshabuni mradi wa kupiga hela. Makumbusho ya Taifa yanaweza kutunza hizo kumbukumbu za Bunge pia hatuna haja ya kuqjiri librarians aunwatu wa archives wakati tuna Makumbusho ya Taifa.
 
Kwa Ndugai kuomba msamaha hadharani kwa matamshi aliyotoa dhidi ya Rais wa JMT, Rais Samia, ni wajibu wa watanzania kumsamehe.
Ndugai ana acute pride, na pride hiyo imetikiswa katika siku hizi mbili tatu.
Pengine alikuwa akijitayarisha kuwaita kwenye kamati yake ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, lakini kwa muitikio wa hata idara za Chama, Ndugai najua alianza kuona ukubwa unaanza kuota mbawa.

Kwa kuomba msamaha, and eating the humble pie, Ndugai amejishusha na inabidi asamehewe.
 
Hamna kitu. Hamna la maana la kujadili.
Distractions za kishamba tu.
 
Kwa Ndugai kuomba msamaha hadharani kwa matamshi aliyotoa dhidi ya Rais wa JMT, Rais Samia, ni wajibu wa watanzania kumsamehe.
Ndugai ana acute pride, na pride hiyo imetikiswa katika siku hizi mbili tatu.
Pengine alikuwa akijitayarisha kuwaita kwenye kamati yake ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, lakini kwa muitikio wa hata idara za Chama, Ndugai najua alianza kuona ukubwa unaanza kuota mbawa.

Kwa kuomba msamaha, and eating the humble pie, Ndugai amejishusha na inabidi asamehewe.
Kwani Ndugai kumfokea mama Samia kwa mchezo wake wa kukopa ovyo alikuwa amemkosea nani?
 
Mbona amechukua muda sana kuomba radhi?
Ndani ya CCM wana utaratibu wao wa kumaliza mambo.Na huyu Speaker Ndugai yawezakana wamemfanyia blackmail,waanajua madhambi yake ,na mishemishe zake.
Eti clip imekarabatiwa he failed to prove it.
Bora angenyamaza tu,kawatupa pembeni akina James Mbatia waliomuunga mkono kwa jazba wakidhani their reading on the same page.
Hapana chezea Queen Cleopatra aka SSH,mama wa shoka.
 
Back
Top Bottom