Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Halafu jambo jingine, nitamshangaa sana ndugai asipojiuzulu.......maana si kwa spana zile alizoshushiwa kutoka kule pande za njombe.....
Hawezi kujizulu kwa sasa watampangia muda muafaka.Wakati issue hiyo imesahaulika.
 
Hapo kawafundisha nini wabunge kama spika tu ndio hivyo wabunge wake itakuwa wanasikitisha sana
Lakini akina Polepole, Gwajima na Slaa wameonyesha wako ngangali kuliko Spika.

Mkuu wa Mhimili hatakiwi aonyeshe such weakness. Hata kama alikosea angeapologize kiaina siyo direct kihivyo kama mtoto wa shule au raia wa kawaida.
 
Ujumbe wa Ndugai umefika, sote Kama Watanzania tunalo hitaji la Katiba Bora. Ni aibu kiongozi wa mhimili wa Bunge, kuzodolewa namna Ile na kushawishiwa kuomba msahaha kwa mawazo yake mbadala.
 
Amegongana na mhimili uliojishindilia zaidi, saizi bunge limetolewa fizi kabisa, maana wakati wa hayati liling'olewa meno.......saizi itakuwa praise teams mpaka 2025
Your browser is not able to display this video.
 
kuna wasio na jema ambao wao aombe asiombe msamaha ni taarabu tu na kuchamba...hao hata kama ndugu asingefanya chochote wangemshambulia tu....
 
Kama amekosa,ajiuzulu nafasi ya uspika kuonyesha uwajibikaji.
Kama anaamini hajakosa,apige kimya.asubiri wanaomshukia waje apambane.
 
Lakini akina Polepole, Gwajima na Slaa wameonyesha wako ngangali kuliko Spika.

Mkuu wa Mhimili hatakiwi aonyeshe such weakness. Hata kama alikosea angeapologize kiaina siyo direct kihivyo kama mtoto wa shule au raia wa kawaida.
Hao uliowataja hawana privaledge kama za Spika, kama mlikuwa mnadanganyika Ndugai ni mzalendo mlipotea, hapo ni Boss tumbo ndio issue, hayuko tayari kuupoteza uraji wa uspika, kuna pesa ya kufa mtu hapo ofisi ya bunge.
 
MH. NGUGAI AJIUZULU. Baada ya yote haya yaliyo jitokeza baada ya kauli yake atafanyaje kazi na waziri mkuu kwa mfano?
 
Kwa hiyo ulitaka nduga afe!!??
acha wivu ww dada
 
Ndugai ni mzee wa maboko, atatoa tu boko jingine...
 
Your browser is not able to display this video.
 
Bunge linaiomba radhi Serikali ambayo inafuja fedha za mikopo
 
Huyo hata haeleweki. Ninaona hana tofauti na anaesema kupiga bruce lee kama Van Damme, au wale wanaosema tangu nione sijazaliwa. Fulu kugeuzageuza kauli.
 
Kiongozi wa CCM akiwa nje ya mfumo ni mwepesi kuliko karatasi laini ya chooni.
Rejea Kina Mzee Kinana,Mzee Makamba walivyohenyeshwa na Sukuma Gang,na sasa kina Polepole na Bashiru ni kama watoto yatima.
Ndungai aliliona Hilo akarudi kusujudu mapema asamehewe.Alivyokuwa anatubu ni kama vile alikuwa mbele ya baba paroko!
 
Hili lijamaa ni ng'ombe kweli kweli. Majitu kama hili ndiyo inasababisha wagogo tuendelee kudharauliwa hapa nchini. Bora tu lingekaa kimya kuliko kujidhalilisha kiasi hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…