Hawezi kujizulu kwa sasa watampangia muda muafaka.Wakati issue hiyo imesahaulika.Halafu jambo jingine, nitamshangaa sana ndugai asipojiuzulu.......maana si kwa spana zile alizoshushiwa kutoka kule pande za njombe.....
Lakini akina Polepole, Gwajima na Slaa wameonyesha wako ngangali kuliko Spika.Hapo kawafundisha nini wabunge kama spika tu ndio hivyo wabunge wake itakuwa wanasikitisha sana
Hiyo ndio kazi yao, kama walivyomuandalia press Dr Slaa pale Serena hotel 2015.Je tuamini Political Desk wamefanya yao?
Kumbe hata mimi naweza kuwa spika.
Kuna watu wana maswali ya kipuuzi sanaKwani Ndugai kumfokea mama Samia kwa mchezo wake wa kukopa ovyo alikuwa amemkosea nani?
Hao uliowataja hawana privaledge kama za Spika, kama mlikuwa mnadanganyika Ndugai ni mzalendo mlipotea, hapo ni Boss tumbo ndio issue, hayuko tayari kuupoteza uraji wa uspika, kuna pesa ya kufa mtu hapo ofisi ya bunge.Lakini akina Polepole, Gwajima na Slaa wameonyesha wako ngangali kuliko Spika.
Mkuu wa Mhimili hatakiwi aonyeshe such weakness. Hata kama alikosea angeapologize kiaina siyo direct kihivyo kama mtoto wa shule au raia wa kawaida.
Kwa hiyo ulitaka nduga afe!!??Kama siyo Uspika huyu kichaa angekuwa ameshafukiwa kabulini siku nyingi tu.
Hana jeuri hiyo, hata kuropoka kwake ni sababu ya kunyimwa mgao na mama.
Alivyopewa dollar laki moja alikuwa akimsifu mama, leo za Covid hajapewa mgao ndio hasira zake.
Kinachonikera mimi ni Magufuli kutumia pesa za umma kumnunulia mashine ya dayalisis mtu mmoja tena ipo nyumbani kwake, hii ndio siri ya Ndugai kuwa house boy wa Meko.
Kwani kwenye app yako huoni edit button?🖕🖕 sorry, ni Charles Montesquieu.
Kwani Ndugai kumfokea mama Samia kwa mchezo wake wa kukopa ovyo alikuwa amemkosea nani?
Kwa Ndugai kuomba msamaha hadharani kwa matamshi aliyotoa dhidi ya Rais wa JMT, Rais Samia, ni wajibu wa watanzania kumsamehe.
Ndugai ana acute pride, na pride hiyo imetikiswa katika siku hizi mbili tatu.
Pengine alikuwa akijitayarisha kuwaita kwenye kamati yake ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, lakini kwa muitikio wa hata idara za Chama, Ndugai najua alianza kuona ukubwa unaanza kuota mbawa.
Kwa kuomba msamaha, and eating the humble pie, Ndugai amejishusha na inabidi asamehewe.
Huyo hata haeleweki. Ninaona hana tofauti na anaesema kupiga bruce lee kama Van Damme, au wale wanaosema tangu nione sijazaliwa. Fulu kugeuzageuza kauli.Baada ya matamko kutoka viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi na serikali dhidi ya kauli ya Spika Job Ndugai kuhusu mikopo, leo Jumatatu saa 5:00 asubuhi, Ndugai anazungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma.
NDUGAI: NIMEUMIA KUOENEKANA NAPINGA MKOPO WA SERIKALI WA TSH. TRILIONI 1.3
Spika Job Ndugai amesema kauli yake aliyoitoa Desemba 26, 2021 alipoalikwa kwenye tukio la makumbusho ya wagogo kuwa imechukuliwa vibaya na kuleta mkanganyiko
Amesema alikuwa anazungumza kuhusu sababu iliyoifanya bunge kukubali na kuipitisha tozo na sio kuwa alikuwa akizungumzia taasisi nyingine yoyote
Ndugai amesema video iliyosambaa ilikatwa bila kuleta ujumbe kamili aliokuwa amekusudia. Ameumia kuonekana anapinga mkopo wa serikali
NDUGAI: TUTENGENEZE MAKUMBUSHO YA BUNGE
Spika wa Bunge Job Ndugai, amesema ni muhimu kwa Bunge kuwa na makumbusho yake ili wanaotembelea ofisi hizo wajue historia ya bunge kwa namna ilivyokuwa
Jambo hilo amesema ni muhimu hata kwa taasisi nyingine kuwa na makumbusho yake ili watu waweze kujua kuhusu historia ya taasisi husika
Amesema hayo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari ofisi za Bunge Dodoma
NDUGAI: NAMUOMBA RADHI RAIS NA WANANCHI WOTE
Spika wa Bunge Job Ndugai amemuomba radhi Rais Samia Suluhu na wananchi wote kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yake
Amesema yeye ni CCM ambao lengo lao ni moja hawawezi kutofautiana. Kuna watu wanaojaribu kuwafarakanisha lakini hawatafanikiwa
Ndugai amesema Rais anafanya vizuri lakini peke yake hawezi kwa hiyo ni jukumu la watu wote kumsaidia
View attachment 2066990
View attachment 2067070
Pia soma;
Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni
Ndugai ni kiburi sana.
Hili lijamaa ni ng'ombe kweli kweli. Majitu kama hili ndiyo inasababisha wagogo tuendelee kudharauliwa hapa nchini. Bora tu lingekaa kimya kuliko kujidhalilisha kiasi hiki.Baada ya matamko kutoka viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi na serikali dhidi ya kauli ya Spika Job Ndugai kuhusu mikopo, leo Jumatatu saa 5:00 asubuhi, Ndugai anazungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma.
NDUGAI: NIMEUMIA KUOENEKANA NAPINGA MKOPO WA SERIKALI WA TSH. TRILIONI 1.3
Spika Job Ndugai amesema kauli yake aliyoitoa Desemba 26, 2021 alipoalikwa kwenye tukio la makumbusho ya wagogo kuwa imechukuliwa vibaya na kuleta mkanganyiko
Amesema alikuwa anazungumza kuhusu sababu iliyoifanya bunge kukubali na kuipitisha tozo na sio kuwa alikuwa akizungumzia taasisi nyingine yoyote
Ndugai amesema video iliyosambaa ilikatwa bila kuleta ujumbe kamili aliokuwa amekusudia. Ameumia kuonekana anapinga mkopo wa serikali
NDUGAI: TUTENGENEZE MAKUMBUSHO YA BUNGE
Spika wa Bunge Job Ndugai, amesema ni muhimu kwa Bunge kuwa na makumbusho yake ili wanaotembelea ofisi hizo wajue historia ya bunge kwa namna ilivyokuwa
Jambo hilo amesema ni muhimu hata kwa taasisi nyingine kuwa na makumbusho yake ili watu waweze kujua kuhusu historia ya taasisi husika
Amesema hayo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari ofisi za Bunge Dodoma
NDUGAI: NAMUOMBA RADHI RAIS NA WANANCHI WOTE
Spika wa Bunge Job Ndugai amemuomba radhi Rais Samia Suluhu na wananchi wote kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yake
Amesema yeye ni CCM ambao lengo lao ni moja hawawezi kutofautiana. Kuna watu wanaojaribu kuwafarakanisha lakini hawatafanikiwa
Ndugai amesema Rais anafanya vizuri lakini peke yake hawezi kwa hiyo ni jukumu la watu wote kumsaidia
View attachment 2066990
View attachment 2067070
Pia soma;
Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni