Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Aibu sana kula mata....!!! Hakuna cha kutengenezwa umeongea waaazi na ikaeleweka!!!
MTU anajidai anajua kucheza na siasa eti wamekatakata????
Watz sio malofa!
Haifai mtu waakili hii kuongoza mjengo ndomana anaruhusu mamp wasio navyama!
AIBU,AIBU,AIBUUUU KAMA TAIFA NIAIBU TAASISI KUUUBWA,MUHIMU NA NYETI KUONGOZWA NA HUYU MTU.
Nabado tunaomba Mungu uvurugikiwe na uharibu kazi yaani tunakuombea mabalaa kazini yakuandame maana ulifanyia watu hila mbaya sana!! Mizimu ya ulowaumiza ikuandame mwanzo mwisho.
 
Hivi Nduguyo ni mgogo
 
Siajiuzulu akajiajiri aachie wengine nao wafaidi huo mshahara au anaogopa kufa njaa!!
Profesa Assad ndio alionesha uanaume na utimamu.
Prof. Kirengased aliwahi sema mgonjwa waakili ndiyo hula matapishi yake mtu timamu hawezi!!
 
Ukishaona speaker wa Bunge ambae ni mhimili wa dola unaojitegemea ametoa msimamo wake juu ya jambo fulani halafu ghafla akamuomba msamaha Rais kwa msimamo aliotoa, jua hilo Taifa limefika mwisho na limekufa.

Kwenye hili mtu asipoona tena umuhimu wa katiba mpya basi huyo mtu ni maiti inayotembea.
 
Nampongeza spika kwa kuomba msamaha badala ya utamaduni wa kulaumu. Hii ni hatua nzuri hasa kwa wale viongozi wenyewe upungufu wa kuwa na hasira za haraka kama spika. Badala ya kukuza hili jambo tulimalize

Spika kukosoa ni muhimu lakini huu ni mkopo mzuri sana miaka 20 bila riba!. Mkopo mbaya ni ule wa treni $1.5 B kwa miaka 6 na riba ya 8% huu sio mkopo mzuri kabisa. Muda sio mzuri lakini riba ingetakiwa isizidi 5% .
 
Dawa ya meno kubwa ni sh 4000 kwa sasa kutoka sh 3000.


Hatujui tunaenda wapi wakubwa...
 
Hahaaaa !!!hapana chezea mhimili uliojichimbia chin zaid.
Huwa nikiona mihimili ya Kenya ikifanya kazi mpaka raha
 
ndugai wala hajaomba msamaha bali kacheza na akili za watu tu, muda ni mwalimu mzuri utajibu.
 
Wewe ni mpuuzi kweli kweli. Kwa taarifa yako ni kuwa kafanya kosa kubwa sana la kiufundi na hili litauchafua sana mhimili wa bunge.
 
Kuna watu walikuwa wakituma meseji usiku wa manane kuomba msamaha,wengine walipiga magoti ikulu mbele ya JPM.Kuna wazee wa chama Kinana,Makamba baba na mwana,Nape hawa waulize walionja cha Moto.Tanzania ukiwa rais Ni kila kitu ht ukiwa na ukweli rais haguswi.Sasa Ni zamu ya Ndugai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…