Spika Ndugai: TAMISEMI inaniudhi sana; kwanini inapora Madaraka ya Halmashauri?

Aiseeeeh,
Huyu naye akili imeanza kumrudia..

Nini kimempata au ametokewa na mtume au nabii!?

Maana, tangia awe mbunge na kiongozi wa mjengoni naona hizi ndiyo points na hoja za kwanza kabisa ameiziongea.
 
Akili zake zimeanza kumrudia taratibu

popoma ,
Mkuu
Binafsi, hadi nimeogopa maana , isijekuwa ametokewa na vya kutokewa hadi akili zimemrudia kiasi hiki.

Tangia, awe madarakani hizi ndiyo points mbili (2) ameongea.

Eeeh, mola rejesha akili za wengine pia.
 
popoma ,
Mkuu
Binafsi, hadi nimeogopa maana , isijekuwa ametokewa na vya kutokewa hadi akili zimemrudia kiasi hiki.

Tangia, awe madarakani hizi ndiyo points mbili (2) ameongea.

Eeeh, mola rejesha akili za wengine pia.
CCM KUNA KANUNI ZINARUHUSU KUSEMA KWELI DAIMA, SASA SIJUI KAMA VYAMA VINGINE KUNA HILO JAMBO. Maana sijawahi wasikia nyumba ya jirani wakiongea mapungufu yao hadharani, hila utasikia tu huyu jamaa ni msaliti ,ha ha ha
 
hii sidhani kama ni sahihi kuiterm kama ajira bali ni replacement ya watumishi (walimu) ambao walitumbuliwa thus allocation ni kule kwenye magap yaliyoachwa (though minor alteration might be made)
 
Ilo la upande wa walimu kwa mm naona tamisemi hapo sawa,,mana mfumo wa kupangiwa wilayani ulikuwa na ukilitimba mkubwa jamani tena sana,,unakuta shule zingine zina wlimu kibao shule za ndani kama ya huyo sipka walimu 4 vpindi kibao,mshahara ule ule lakini mzigo mnaokula hatr,,unakutana na mwalimu anakwambia ana vipindi 6 kwa wiki harfu wee una vipindi 45 kwa wiki,,tatizo wapi kwenye upangaji wa ajila mpya,,utasikia kuna kijana wangu hapo muweke barabarani sasa makolongoni akae nani???[emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
HALMASHAURI kwa Madiwani!?!, hapana kwa kweli bora ibaki huko huko wizarini
 
CCM KUNA KANUNI ZINARUHUSU KUSEMA KWELI DAIMA, SASA SIJUI KAMA VYAMA VINGINE KUNA HILO JAMBO. Maana sijawahi wasikia nyumba ya jirani wakiongea mapungufu yao hadharani, hila utasikia tu huyu jamaa ni msaliti ,ha ha ha

baruti 1
Mkuu,
You're making "makosa ya kimkakati" jiangalie sana uandikavyo...
Nape ameambiwaje baada ya kukosoa sana serikali yake ya CCM!?
 
Tamisemi wana mfumo wa takwimu za shule zote kutoka halmashauri unaitwa 'BEMIS' basic Education managemebt information System..ambao kila mwaka halmashauri hujaza takwimu za shule zotee nchin na kuzituma tamisemi, hivyo tamisemi wanajua kila shule Tanzania ina walimu wangapi na mahitaji kiasi gani, mfumo huo hujazwa kila kitu hadi idadi za wanafunzi walemavu, watoro, idadi ya vitabu vilivyopo na upungufu kwa kila shule nchini..hivyo tamisemi wao wanajua wapi pana upungufu katika halmashauri, ..
 
Afadhali angalau na yeye imuudhi.kidogo kama anavyotufanyia, huko kongws kuna ombwe la viongozi
 
Je unao ushahidi? Usiongee kwa mambo usiokuwa na ushahidi, ukipigwa pingu hapo utaanza kulalama.
Unaishi Tanzania ipi kushindwa kujua kuwa hayo yapo?
Bila Shaka hujui kuwa kuna Mtu alipigwa Bakora ya Bichwa akazirai,
Mkosaji akiwa huyohuyo anaelalama kutaka Haki itendeke hapo.
Unajua kilichotokea baada ya tukio hilo?
Wengi hatukuwepo eneo la tukio Ila ushahidi ulisambaa na ndio hivyo mambo yalifinyangwafinyangwa.
 
baruti 1
Mkuu,
You're making "makosa ya kimkakati" jiangalie sana uandikavyo...
Nape ameambiwaje baada ya kukosoa sana serikali yake ya CCM!?
ameambiwaje kwani? press reease iko wapi mkuu. mimii naongea vitu vinavyoonekana wala am not basing on hypothesis .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…