dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,423
- 1,987
Bwan' Sheikh,Mbona bosi wake amepoka madaraka ya bunge na mahakama na hasemi chochote, aache unafiki kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Toka Lini Nyani akaona Kundule?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwan' Sheikh,Mbona bosi wake amepoka madaraka ya bunge na mahakama na hasemi chochote, aache unafiki kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Kweli aisee hilo nimeshaawahi kulionashida halmashauri ikipewa madaraka inapanga kwa rushwa... za ngono na hela
mkuu mbona unaruka ruka nimekuuliza swali lingine, unanijibu kwa viroja. Umezungumzia juu ya mtu mmoja kuhodhi bunge na mahakama nilikuomba ushahidi unabaki unadunda dunda tuliza akili kamanda nipe huo mfanoUnaishi Tanzania ipi kushindwa kujua kuwa hayo yapo?
Bila Shaka hujui kuwa kuna Mtu alipigwa Bakora ya Bichwa akazirai,
Mkosaji akiwa huyohuyo anaelalama kutaka Haki itendeke hapo.
Unajua kilichotokea baada ya tukio hilo?
Wengi hatukuwepo eneo la tukio Ila ushahidi ulisambaa na ndio hivyo mambo yalifinyangwafinyangwa.
mkuu mbona unaruka ruka nimekuuliza swali lingine, unanijibu kwa viroja. Umezungumzia juu ya mtu mmoja kuhodhi bunge na mahakama nilikuomba ushahidi unabaki unadunda dunda tuliza akili kamanda nipe huo mfanoUnaishi Tanzania ipi kushindwa kujua kuwa hayo yapo?
Bila Shaka hujui kuwa kuna Mtu alipigwa Bakora ya Bichwa akazirai,
Mkosaji akiwa huyohuyo anaelalama kutaka Haki itendeke hapo.
Unajua kilichotokea baada ya tukio hilo?
Wengi hatukuwepo eneo la tukio Ila ushahidi ulisambaa na ndio hivyo mambo yalifinyangwafinyangwa.
Na wewe nawe,Nikumbusheni tena mbunge wa kongwa ni nani tena???
Ohooo mekupata... em tuacheni tuwambe ngoma sie... ngozi lazma tuivutie kwetuNa wewe nawe,
Si Yule Yule aliewahi kumtandikaga mshindani wake Bakora ya medula hadharani.
Na likaisha Kiana.
Umeshanza kwani?
ameambiwaje kwani? press reease iko wapi mkuu. mimii naongea vitu vinavyoonekana wala am not basing on hypothesis .
Siamini kama waziri kakurupuka,na siamini kama ndugai kufanya kautafiti hata kadogo tu, mpaka afikie kumpinga waziri
Wewe umetaka ushahidi,mkuu mbona unaruka ruka nimekuuliza swali lingine, unanijibu kwa viroja. Umezungumzia juu ya mtu mmoja kuhodhi bunge na mahakama nilikuomba ushahidi unabaki unadunda dunda tuliza akili kamanda nipe huo mfano
mkuu huna hoja na mifano dhahiri kabisa. tunachozungumza hapa ni kuhodhiwa bunge na mahakama,huo mfano wa panga boi hauna mantiki hapa , kwani bunge siku hizi ndo wanatangaza tenda za serikali? nakushauri ukae kimya hauto onekana mjingaMbona rahisi kuelewa ninacho namaanisha?
Wewe umetaka ushahidi,
Nami nakuambia;
Ushahidi ili uhukumu au ufanyeje?
Je, Ushahidi ukiletwa hapa utakusaidia nini wewe?
Na je, Ni kweli hujui kuwa huko Halmashuri Huwa kuna matukio ya rushwa?
Kweli hujui?
Je, Hufahamu kuwa yapo yanayolalamikiwa kufanyiwa maamuzi Bila kufuata taratibu?
Nakuombe nawe kwa kuwa mambo sikuhizi yapo wazi nawe Ni Mtu unaeenda na ushahidi thabiti;
Ni Lini na wapi ilitangazwa kandarasi ya manunuzi ya 'Panga Boi'?
Wajuvi wanasema wajuvi na mamlaka yalipokwa hapa,
Wewe unasemaje?
Na hilo tukio la 'Bakora' Ni chagizo tu kuwa unaweza kuwa na ushahidi na ushahidi huo usikusaidie pia kutegemeana na unapambana na nani.
Ama naongopa?
Mkuki mtamu kwa nguruwe,kwa binadamu.......vipi yeye anavyotuudhi mamilioni ya watanzania?
mgojwa huyuMbona bosi wake amepoka madaraka ya bunge na mahakama na hasemi chochote, aache unafiki kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Hilo la mbolea.Ohooo mekupata... em tuacheni tuwambe ngoma sie... ngozi lazma tuivutie kwetu