Spika Ndugai: TAMISEMI inaniudhi sana; kwanini inapora Madaraka ya Halmashauri?

Spika Ndugai: TAMISEMI inaniudhi sana; kwanini inapora Madaraka ya Halmashauri?

Hakuona halimashauri zinanyanganywa kodi za majengo,na mabango?
Haya yote Ndugu Johnson Mbwambo (yule Mwana Habari NGULI) alisha yasema. Ndugu Gai ASILIE, ajiweke sawa SINDANO iingie vizuri sehemu yake..
Bangladeshi!
 
Ndungai akae kimya hana research yeyote ile kuhusu hili la kupanga watumishi vituo vya kazi kutoka TAMISEMI alitakiwa kuhoji nini ki,esababisha hadi walimu kupngwa moja kwa moja kutika wizarani,

Mfano walimu wamejazana mijin huku shule za vijijini zikikosa walimu kwa sababu halmashauri zilikuwa zinakula rushwa ya PESA ,NGONO na vimemo na maafisa wengine walipata mahawala kupitia deal hilo la vituo vya kazi yaani kipindi cha ajira huwa ni fursa kwa watumish wenye dhamana wasio waadilifu ( nina ushahidi kwa hili.)

naunga mkono TAMISEMI kupanga moja kwa moja, kama ndugai ana ndugu yake kapangwa kijijini huko avumilie tu maana nchi hii ni yetu sote na hakuna aliye andikiwa kushi katika mazingira magumu ya kazi asijifanye leo anataka haki wakati yeye mwenyesi si mtenda haki hasa pale silahi lake linapo guswa.
 
Hakuna tatizo, TAMISEMI wana data zote

Hawa jamaa wa halmashauri ni wabaya kuliko tunavyodhania, wakiwaona watoto wa watu wao wanawaza ulaji tu! Rushwa! Pesa! Ngono

TAMISEMI endeleeni hivyo hivyo ikiwezekana pia fedha zao za kujikimu muwatumie moja kwa moja
Kweli huu mpango wa TAMISEMI uendelee tu, mjini walimu wamejaa vijijin huko walimu hakuna , tena ingekuwa vzr ajira zote mpya wapangwe vivijin asietaka aache kazi, ila ikija halmashaur mmh!
 
Dodoma. Spika wa Bunge, Job Ndugai amepinga mpango wa Serikali wa kuwapangia vituo vya kazi moja kwa moja walimu wanaoajiriwa, akihoji ni kwanini inapoka madaraka ya Halmashauri.

Ndugai ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Desemba 23, 2017 ikiwa ni siku moja baada Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo kutangaza majina ya walimu 3,033 waliopangiwa vituo vya kazi.

Katika kikao cha kamati ya ushauri ya Mkoa wa Dodoma leo, Spika Ndugai amehoji TAMISEMI ni nani hata aweze kujua ikama ya walimu shuleni. Amesema wamekuwa wakijaza walimu maeneo yasiyo na mahitaji.

"Hili jambo linakera, yaani kila mahali sasa ni TAMISEMI hadi napata shaka sasa, hivi hii zana ya D by D (ugatuaji wa madaraka) ina maana haijatafsiriwa vyema au ndiyo kupoka madaraka kwa wengine," alihoji Ndugai.

Spika ametoa mfano wa Shule ya Banyibanyi wilayani Kongwa ambayo amesema ina wanafunzi wanaoingia kidato cha tatu lakini hawajawahi kusoma masomo ya sayansi hata siku moja.

"Lakini juzi hapa mmepanga walimu na nilipita tena hapo hakuna hata mwalimu. Hawajasoma hesabu, fizikia, baiolojia, kemia na jiografia; nauliza tena wanasema Tamisemi, hivi hao walisoma wapi na ninyi mmesoma shule zipi," alihoji.

Ndugai amewatupia mzigo wabunge wa Mkoa wa Dodoma amesema wanatakiwa kuupinga mpango huo bungeni wakati yeye akiongoza vikao vya Bunge.

Pia, amepinga mpango wa utoaji fedha kwa vikundi amesema umepitwa na wakati kwa kuwa zinaliwa bure.

Amesema hakuna umuhimu wa kusema watu waunde vikundi ndipo wapewe fedha au uwezeshwaji, badala yake waangaliwe mtu mmoja mmoja ambao wanakuwa na uwezo wa kuzalisha na kisha wafuatiliwe.

Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde na Meya wa Manispaa ya Dodoma, Profesa Davis Mwamfupe kwa nyakati tofauti waliunga mkono hoja ya kutopeleka fedha kwa vikundi.

Lusinde amesema kumekuwa na utitiri wa vikundi baada ya kusikia kuna fedha wakati uwezo wa uzalishaji haupo.

"Namuunga mkono Spika katika hili, tunaunganisha watu hata wasiokuwa na mbinu za uzalishaji, naomba tuachane na vikundi havina tija kwa kuwa wanagawana fedha tu," amesema Lusinde.

Profesa Mwamfupe amesema Serikali inagawa vibaya rasilimali fedha kwa kauli ya kasungura kadogo tugawane lakini zinaishia kutoleta tija.

Akijibu hoja hizo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge amewaagiza wakurugenzi wa wilaya kuangalia ikama ya walimu na kuwatawanya mara moja.

Kuhusu fedha za vikundi kwa vijana na akina mama amesema jambo hilo liko kisheria. Amesema hakuna ubaya kuwasaidia watu mmoja mmoja ambao wanajiweza katika uzalishaji.
Ndugai please stop that, wewe mbona madaraka ya Buge yameporwa na executive> Keep quiet!
 
Je unao ushahidi? Usiongee kwa mambo usiokuwa na ushahidi, ukipigwa pingu hapo utaanza kulalama.
Mimi ninao ushahidi na tulisha fanya tafiti na tukahoji walimu wenyewe,watumishi wa afya ,kilimo na migugo na watumishi wa halmashauri pamoja na wakuu wa shule rushwa ya ngono ipo sana maafisa elimu,maofisa taaluma na wakuu wa idara na pia rushwa ya fedha ipo pia tena sana kwa kada za AFYA,ELIMU,KILIMO NA MIFUGO

lakin pia kuna kujuana na vimemo nina ushahidi na uhakika na utafiti wetu tulisha uwasilisha TAKUKURU ili na wao walinganishe na tafiti zao na wao pia walifanya tafiti na majibu yakawa sawa na mapendekezo yakatumwa mamlaka ya ajira za watumishi na matokeo ndio hayo

Tatizo ninalo liona hapa ni moja ambalo TAMISEMI wanatakiwa kulizingatia , wanatakiwa wawe wanatumia taarifa ambazi ni valid na za wakati husika maana wanaweza wakawa wanatumia takwimu za nyuma kumbe walimu husika walisha hama nk.
 
Warejeshe kazi ya wizara ya elimu hiyo, hawa watu kwa nini hawaelewi. Hiyo ni kazi ya wizara inayohusika na elimu. Jafo hana kosa, lakini wizara ya elimu ifanye kazi gani
 
Dodoma. Spika wa Bunge, Job Ndugai amepinga mpango wa Serikali wa kuwapangia vituo vya kazi moja kwa moja walimu wanaoajiriwa, akihoji ni kwanini inapoka madaraka ya Halmashauri.

Ndugai ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Desemba 23, 2017 ikiwa ni siku moja baada Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo kutangaza majina ya walimu 3,033 waliopangiwa vituo vya kazi.

Katika kikao cha kamati ya ushauri ya Mkoa wa Dodoma leo, Spika Ndugai amehoji TAMISEMI ni nani hata aweze kujua ikama ya walimu shuleni. Amesema wamekuwa wakijaza walimu maeneo yasiyo na mahitaji.

"Hili jambo linakera, yaani kila mahali sasa ni TAMISEMI hadi napata shaka sasa, hivi hii zana ya D by D (ugatuaji wa madaraka) ina maana haijatafsiriwa vyema au ndiyo kupoka madaraka kwa wengine," alihoji Ndugai.

Spika ametoa mfano wa Shule ya Banyibanyi wilayani Kongwa ambayo amesema ina wanafunzi wanaoingia kidato cha tatu lakini hawajawahi kusoma masomo ya sayansi hata siku moja.

"Lakini juzi hapa mmepanga walimu na nilipita tena hapo hakuna hata mwalimu. Hawajasoma hesabu, fizikia, baiolojia, kemia na jiografia; nauliza tena wanasema Tamisemi, hivi hao walisoma wapi na ninyi mmesoma shule zipi," alihoji.

Ndugai amewatupia mzigo wabunge wa Mkoa wa Dodoma amesema wanatakiwa kuupinga mpango huo bungeni wakati yeye akiongoza vikao vya Bunge.

Pia, amepinga mpango wa utoaji fedha kwa vikundi amesema umepitwa na wakati kwa kuwa zinaliwa bure.

Amesema hakuna umuhimu wa kusema watu waunde vikundi ndipo wapewe fedha au uwezeshwaji, badala yake waangaliwe mtu mmoja mmoja ambao wanakuwa na uwezo wa kuzalisha na kisha wafuatiliwe.

Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde na Meya wa Manispaa ya Dodoma, Profesa Davis Mwamfupe kwa nyakati tofauti waliunga mkono hoja ya kutopeleka fedha kwa vikundi.

Lusinde amesema kumekuwa na utitiri wa vikundi baada ya kusikia kuna fedha wakati uwezo wa uzalishaji haupo.

"Namuunga mkono Spika katika hili, tunaunganisha watu hata wasiokuwa na mbinu za uzalishaji, naomba tuachane na vikundi havina tija kwa kuwa wanagawana fedha tu," amesema Lusinde.

Profesa Mwamfupe amesema Serikali inagawa vibaya rasilimali fedha kwa kauli ya kasungura kadogo tugawane lakini zinaishia kutoleta tija.

Akijibu hoja hizo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge amewaagiza wakurugenzi wa wilaya kuangalia ikama ya walimu na kuwatawanya mara moja.

Kuhusu fedha za vikundi kwa vijana na akina mama amesema jambo hilo liko kisheria. Amesema hakuna ubaya kuwasaidia watu mmoja mmoja ambao wanajiweza katika uzalishaji.
Mh Ndugai sio rahisi hivyo.. Kama ungepata nafasi kuongea na hayati Sita nadhani ungekuwa kimya.
 
Dodoma. Spika wa Bunge, Job Ndugai amepinga mpango wa Serikali wa kuwapangia vituo vya kazi moja kwa moja walimu wanaoajiriwa, akihoji ni kwanini inapoka madaraka ya Halmashauri.

Ndugai ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Desemba 23, 2017 ikiwa ni siku moja baada Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo kutangaza majina ya walimu 3,033 waliopangiwa vituo vya kazi.

Katika kikao cha kamati ya ushauri ya Mkoa wa Dodoma leo, Spika Ndugai amehoji TAMISEMI ni nani hata aweze kujua ikama ya walimu shuleni. Amesema wamekuwa wakijaza walimu maeneo yasiyo na mahitaji.

"Hili jambo linakera, yaani kila mahali sasa ni TAMISEMI hadi napata shaka sasa, hivi hii zana ya D by D (ugatuaji wa madaraka) ina maana haijatafsiriwa vyema au ndiyo kupoka madaraka kwa wengine," alihoji Ndugai.

Spika ametoa mfano wa Shule ya Banyibanyi wilayani Kongwa ambayo amesema ina wanafunzi wanaoingia kidato cha tatu lakini hawajawahi kusoma masomo ya sayansi hata siku moja.

"Lakini juzi hapa mmepanga walimu na nilipita tena hapo hakuna hata mwalimu. Hawajasoma hesabu, fizikia, baiolojia, kemia na jiografia; nauliza tena wanasema Tamisemi, hivi hao walisoma wapi na ninyi mmesoma shule zipi," alihoji.

Ndugai amewatupia mzigo wabunge wa Mkoa wa Dodoma amesema wanatakiwa kuupinga mpango huo bungeni wakati yeye akiongoza vikao vya Bunge.

Pia, amepinga mpango wa utoaji fedha kwa vikundi amesema umepitwa na wakati kwa kuwa zinaliwa bure.

Amesema hakuna umuhimu wa kusema watu waunde vikundi ndipo wapewe fedha au uwezeshwaji, badala yake waangaliwe mtu mmoja mmoja ambao wanakuwa na uwezo wa kuzalisha na kisha wafuatiliwe.

Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde na Meya wa Manispaa ya Dodoma, Profesa Davis Mwamfupe kwa nyakati tofauti waliunga mkono hoja ya kutopeleka fedha kwa vikundi.

Lusinde amesema kumekuwa na utitiri wa vikundi baada ya kusikia kuna fedha wakati uwezo wa uzalishaji haupo.

"Namuunga mkono Spika katika hili, tunaunganisha watu hata wasiokuwa na mbinu za uzalishaji, naomba tuachane na vikundi havina tija kwa kuwa wanagawana fedha tu," amesema Lusinde.

Profesa Mwamfupe amesema Serikali inagawa vibaya rasilimali fedha kwa kauli ya kasungura kadogo tugawane lakini zinaishia kutoleta tija.

Akijibu hoja hizo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge amewaagiza wakurugenzi wa wilaya kuangalia ikama ya walimu na kuwatawanya mara moja.

Kuhusu fedha za vikundi kwa vijana na akina mama amesema jambo hilo liko kisheria. Amesema hakuna ubaya kuwasaidia watu mmoja mmoja ambao wanajiweza katika uzalishaji.

Wote tunashauriwa KUPAMBANA NA HALI ZETU.
 
Wewe unapotumia vibaya madaraka yako make mjengon unadhan wenzio wanafurahishwa? Hapo umlaum RAS wako ktk halmashauri yako sio Mr Jaffo, Jaffo yuko sahihi kabisaaa!
 
Ndungai akae kimya hana research yeyote ile kuhusu hili la kupanga watumishi vituo vya kazi kutoka TAMISEMI alitakiwa kuhoji nini ki,esababisha hadi walimu kupngwa moja kwa moja kutika wizarani,

Mfano walimu wamejazana mijin huku shule za vijijini zikikosa walimu kwa sababu halmashauri zilikuwa zinakula rushwa ya PESA ,NGONO na vimemo na maafisa wengine walipata mahawala kupitia deal hilo la vituo vya kazi yaani kipindi cha ajira huwa ni fursa kwa watumish wenye dhamana wasio waadilifu ( nina ushahidi kwa hili.)

naunga mkono TAMISEMI kupanga moja kwa moja, kama ndugai ana ndugu yake kapangwa kijijini huko avumilie tu maana nchi hii ni yetu sote na hakuna aliye andikiwa kushi katika mazingira magumu ya kazi asijifanye leo anataka haki wakati yeye mwenyesi si mtenda haki hasa pale silahi lake linapo guswa.
Hata mimi ninaushahidi na hili la maafisa kuhongwa ili jamaa wapangiwe mjini hili halina ubishi
 
Pambaneni hukohuko na Serikali yenu.. Sisi hatuna takwimu.
 
Ndungai akae kimya hana research yeyote ile kuhusu hili la kupanga watumishi vituo vya kazi kutoka TAMISEMI alitakiwa kuhoji nini ki,esababisha hadi walimu kupngwa moja kwa moja kutika wizarani,

Mfano walimu wamejazana mijin huku shule za vijijini zikikosa walimu kwa sababu halmashauri zilikuwa zinakula rushwa ya PESA ,NGONO na vimemo na maafisa wengine walipata mahawala kupitia deal hilo la vituo vya kazi yaani kipindi cha ajira huwa ni fursa kwa watumish wenye dhamana wasio waadilifu ( nina ushahidi kwa hili.)

naunga mkono TAMISEMI kupanga moja kwa moja, kama ndugai ana ndugu yake kapangwa kijijini huko avumilie tu maana nchi hii ni yetu sote na hakuna aliye andikiwa kushi katika mazingira magumu ya kazi asijifanye leo anataka haki wakati yeye mwenyesi si mtenda haki hasa pale silahi lake linapo guswa.
acha hizo hautaki tuwafaidi walimu huku halmashauri?
 
Huyu Spika nae naonakaishiwa, Alikwenda Israel NA kuunga mkono Jerusalem kuwa makao makuu ya Israel, Serekali yake imepiga vote ya hapana UN. Sasa kipi kitaamuosha. Tungoje bungeni atakavyochambuliwa NA wabunge
 
Back
Top Bottom