Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Madaraka umlevya mtu mshamba thus masikini afai kupewa uongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaelewa kuwa katiba ya Tanzania hairuhusu wabunge kuapishwa nje ya bunge?Wameapishwa kwa mujibu wa kanuni na wanaweza kutenguliwa kabla ya kuingia bungeni.
Nitajie kifungu kinachokataza!Unaelewa kuwa katiba ya Tanzania hairuhusu wabunge kuapishwa nje ya bunge?
Hapana hawaigi Mabeberu bali anawaonesha ya kwamba hata Mabeberu wanafanya kama yeye na hamlalamiki!Kwahiyo anawaiga Mabeberu
Kwa nn mfanye Kama mabeberu?Hapana hawaigi Mabeberu bali anawaonesha ya kwamba hata Mabeberu wanafanya kama yeye na hamlalamiki!
Soma ibara ya 68 ya katiba ya TanzaniaNitajie kifungu kinachokataza!
Sasa katazo liko wapi?Soma ibara ya 68 ya katiba ya TanzaniaView attachment 1639637
Wewe ulivyowaona ni wazima wale?Kwani hao kina Mdee walikuwa wagonjwa kiasi kwamba wasingeweza kufika bungeni kuapishwa? kuna mambo mengine speaker ni aibu hata kuyajadili, wewe ongoza bunge ujipatie mkate wako tu sio Kulazimisha mambo ambayo hayapo.
Kwani hawa Covid 19 walikuwa wanaumwa au wanadharula gani? Kwa nini asisubiri kikao kinachokuja? Any way nahisi kuna kamati walikuwa wanatakiwa kupangiwa. Lakini sio kuforce king namna hii.Mwaka 1972 Senator Joe Biden (Rais mteule wa USA) aliapishwa akiwa hospitalini akiwauguza watoto wake wawili walionusurika kwenye ajali mbaya ya gari iliyochukua maisha ya mke wake na binti yake mdogo! Suala la wapi mtu anaapishwa linategemea na mazingira kulingana na kanuni zilizopo.