johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Tupo kwenye jumuiya ya madola!Ni vyema kuwepo na utaratibu wa kuchagua vya kuiga na visivyoigwa kwani chadema na upinzani wakitolea mfano chochote tokea ulaya America huitwa wametumwa na mabeberu lakini ccm wakitolea mifano ya wazungu wao hujiona wapo sawa tu