Panya lenyewe pia ni gonjwa la HIV/AIDS. Limevimba mashavu sababu ya ARVs. Ni suala la muda, atamfuata aliyetangulia kwa corona.Baada ya Paka kufa kwa Corona naona sasa Panya anatawala na kutamba!
Vijana wa kongwa wameona isiwe tabuWanaiga kwa baba zao!!! Baba zao kwa vile ni wezi wanaona kuiba ni jambo la kawaida tu; hawajui kuwa tabia hiyo inaweza kuharibu maisha yao huko mbele!
Vijana mjitathmini, pengine ndiyo maana hamuajiriki pamoja na digrii zenu. Mtasota sana mitaani. Tutaendelea kuajiri wazee na vijana kutoka nchi jirani kwa kuwa wao ni waaminifu. Jambo hili la uaminifu kwa vijana wetu si jambo dogo maana limesemwa bungeni na sisi waajiri na wawekezaji tumelichukua na tutalifanyia kazi. Polenii vijana!!Spika wa bunge Tanzania analalamika namna tatizo la wizi limekidhiri Tanzania mpaka yule asiyeiba anaonwa mjinga, ukiwekeza supermaket wanakufilisi ndani ya miaka mitatu, ni tatizo sugu na limekosa utatuzi.
Ameongea kwa huruma sana kama aliyekata tamaa kwa namna wote wamekua majizi.
Wanasema kupandikiza mtu utumbo Mpya ni ghali sana.Atueleze bilioni 30 alizutumiaje kwenye matibabu?
Mkuu unajisikiaje nafsini kwako kwa hiki ulichokiandika?Panya lenyewe pia ni gonjwa la HIV/AIDS. Limevimba mashavu sababu ya ARVs. Ni suala la muda, atamfuata aliyetangulia kwa corona.
labda hajui kuwa huu nao wizi kama wizi mwingine. Kibaya zaidi utakuta ni magonjwa aliyoyafanyia 'booking' mwenyewe.Atueleze bilioni 30 alizutumiaje kwenye matibabu?
Au mkwewe Lijualikali kamliza?Itakuwa kuna vijana wake wame mliza visenti kadhaa sasa akaona aje a generalize
Atueleze bilioni 30 alizutumiaje kwenye matibabu?