Spika Ndugai: Vijana wa Tanzania hawaaminiki, wakiachiwa biashara bila kuiba wanajiona wajinga

Hujielewi. Tafakari tena. Kuna ujumbe mzito kwenye post yangu usiyoifahafahamu.
 
Hujielewi. Tafakari tena. Kuna ujumbe mzito kwenye post yangu usiyoifahafahamu.
Panya lenyewe pia ni gonjwa la HIV/AIDS. Limevimba mashavu sababu ya ARVs. Ni suala la muda, atamfuata aliyetangulia kwa corona.
Kwamba mkuu wewe una uhakika 100% na afya yako kuwa ni mardhawa, na una uhakika mheshimiwa atakufa kabla wewe hujafa au ujumbe gani mwingine?
 
Maskini ni maskini tu.
Madini hamuibiwi?
Makato ya Riba ya nchi ni hela ya juu ya misaada mnayopewa na world bank na mikopo fake ya nchi siyo wizi??
Tena wa wazi kabisa.
Ila umeona vijana wa kitanzani??

Ok! Labda umeenda bungeni umewaachaje hao wanao kuuzia??
Anae jua strategies za biashara ni wewe au ni wao??
Lazima waibe sababu hauko serious!!

Km ni wezi.wenzako mbona mabilionea wako mbali kwa kutumia hao hao watanzania mfano
Gula mali
shubash
Mengi
wewe ndo unaibiwa tu unadhani wote!sababu kimeo tu! Unalinda wanyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…