Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Wao wameenda kukaa kwa dada zao kama mimi ninavyokaa kwa dada yangu mwaka wa 3 sasaKwa hiyo wameenda kukaa kwa mashemu au kwa dada zao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao wameenda kukaa kwa dada zao kama mimi ninavyokaa kwa dada yangu mwaka wa 3 sasaKwa hiyo wameenda kukaa kwa mashemu au kwa dada zao?
Amezungumzia ujasiri wa kujiajiri!Kweli tuna viongozi!! Wakilinganishwa wanasema sisi ni nchi huru na tuna namna yetu. Wakijilinganisha - wanakosea kujilinganisha!! Tatizo la ajira Kenya halina unafuu wowote kuliko Tanzania!!
Umesahau signature yako bwashee..
"Maendeleo hayana vyama"!!
Hahahaaaa.......!Hahaaaa
Weee. Nakupia miezi sita tu atakuwa amechakaa mno kama siyo kufa. Unacheza na vya bure anavyokula?Somo la ujasiriamali mbona lipo, lakini mbona yeye alikuwa ana Force ubunge Hadi alitaka kumuua mwenzake na rungu kichwani. Yeye ka mfano ajiuzulu ubunge na u speaker aanze ujasiriamali Ili kufundisha vijana kwa mfano
Spika Ndugai amesema ni wakati sasa vijana wetu wakaachana na mawazo ya kuajiriwa na badala yake wajikite kwenye shughuli za ujasiamali na kilimo.
Ndugai amesema vijana waliomaliza darasa la saba ni mfano mzuri wa kuigwa kwa sababu wao hawachagui kazi tofauti na wale wanaojiita wasomi ambao wanazeeka wakiwa bado wanatafuta ajira ambazo hazipo.
Amevitaka vyuo vikuu viwaige wenzao wa Kenya.
Source TBC 2
Maendeleo hayana vyama!
Ndugai,Ndugai,ndugai!!!Mungu anakuona.Spika Ndugai amesema ni wakati sasa vijana wetu wakaachana na mawazo ya kuajiriwa na badala yake wajikite kwenye shughuli za ujasiamali na kilimo.
Ndugai amesema vijana waliomaliza darasa la saba ni mfano mzuri wa kuigwa kwa sababu wao hawachagui kazi tofauti na wale wanaojiita wasomi ambao wanazeeka wakiwa bado wanatafuta ajira ambazo hazipo.
Amevitaka vyuo vikuu viwaige wenzao wa Kenya.
Source TBC 2
Maendeleo hayana vyama!
Hizo nchi ulizoorodhesha tunafanana na kwa lipi!Idadi ya watu,raslimali,utawala,aina ya siasa zao na yetu au?Hii ngoma ni nzito mkuu na ni global issue..sio Tanzania pekee
Ukitaka kuamini nenda
Haiti
Algeria
Senegal
Burkina Faso
Syria
Albania bila kusahau
Afghanistan
Kila mahali tabu tupu! tusione kwamba hii ngoma ni kwa bongo pekee!
Sio miezi sita hata mitatu akitumbuliwa na asiwe na bima ya kumpeleka India na kutumia mabillion ya Kodi za watanzaniaWeee. Nakupia miezi sita tu atakuwa amechakaa mno kama siyo kufa. Unacheza na vya bure anavyokula?
Kama tunataka kuondoa tatizo kila wilaya iwe na vyuo viwili vya ufundi na kila kata iwe na shule ya ufundi, tuache kufundisha watoto milima na mito mirefu Africa.Spika Ndugai amesema ni wakati sasa vijana wetu wakaachana na mawazo ya kuajiriwa na badala yake wajikite kwenye shughuli za ujasiamali na kilimo.
Ndugai amesema vijana waliomaliza darasa la saba ni mfano mzuri wa kuigwa kwa sababu wao hawachagui kazi tofauti na wale wanaojiita wasomi ambao wanazeeka wakiwa bado wanatafuta ajira ambazo hazipo.
Amevitaka vyuo vikuu viwaige wenzao wa Kenya.
Source TBC 2
Maendeleo hayana vyama!
Vinaja kukosa kazi ndo dalili za uchumi wa kati!Spika Ndugai amesema ni wakati sasa vijana wetu wakaachana na mawazo ya kuajiriwa na badala yake wajikite kwenye shughuli za ujasiamali na kilimo.
Ndugai amesema vijana waliomaliza darasa la saba ni mfano mzuri wa kuigwa kwa sababu wao hawachagui kazi tofauti na wale wanaojiita wasomi ambao wanazeeka wakiwa bado wanatafuta ajira ambazo hazipo.
Amevitaka vyuo vikuu viwaige wenzao wa Kenya.
Source TBC 2
Maendeleo hayana vyama!
HahahahahahhahahahahaKwa haya matamko mfululizo ya Job, na kwakuwa ile Hospitali yetu iko hapohapo Dodoma, basi naomba wenye mamlaka wamuwahishe mapema Job kabla mambo hayajawa mabaya zaidi!
Hivi wakinga,wapemba,wachaga wa rombo etc,Mbona ujasiriamali unafundishwa sana vyuoni, labda Mh. Spika hana taarifa sahihi na alipaswa kuuliza kwa wakuu wa vyuo kabla ya kutoa tamko hili.
"Entrepreneurial Spirit" nayo ni kipaji kama soccer. Sio kila mtu anaweza kuwa mfanyabiashara.
Ndio maana kuna wafanyabiashara wazuri ukiwapeleka katika soccer nao wanashindwa.
Tatizo mtaani hakuna pesa, hata ukilima mauzo yatakuwa ni madogo sana.
Njoo huku porini tupambane sema vita vya sahv dah si mchezo ....vikodi kodi + visheria kibaooAjira zipo ila chache mkuu
Kaka usiunge hoja hapo, Kwanza mimi ninakataaaa katu katu,, kwani ujasiliamali sio paka mtu ende chuo kwani hata ukiwa darasa la Saba lazima utaujuwa ujasiliamali kwahiyo hao wanapoteza malengo tuNaunga mkono hoja kwa 100% mbali na ajira baadhi ya maofisi kuna mizigo sana! Yaani mtu anaajiriwa hawezi kujishughulisha kabisa,kuandika hawezi! Kupanga file taabu yaani ni kulalama tuu na kupiga story + kunyoosha miguu...
Na baadhi ninahisi unakuta ni wale watoto wa mama from primary up to university hawajui hata kuku wanakunywa vipi maji.
Pambaneni mpk tone la mwisho [emoji23][emoji23][emoji23]Hakika maisha ni kupambana
Hivi hilo wazo lako linawahusu watu wa huko mjengoni piaKuna kipindi niliwaza tu ianzishwe system mtu akihudumu kwa miaka 10 aachie wengine! Wenye position zenye mishahara 6M+ wao waachie ndani ya miaka mitano tu. Kama wataungana wakafungue biashara wajiendeleze sasa maybe tungepata unafuu!