Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Kuna kila dalili huyu spika hatomaliza huu muhula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutokuwepo kwao ndio kujifukuzisha.Watu wasiokuwepo wanakuwaje wamejifukuzisha?
Huyu ni Spika Kama Spika tu,Mbona ndugai anaonekana ana madaraka makubwa kuliko hata huo uspika Nini kipo nyuma yake huyu jamaa?
Watalipwaje wakati hawajaapishwa?! Hao ni wabunge wateule tu...wasipoonekana bungeni mpaka wakati huo watakuwa wamejiondoa wenyewe...Mishahara watakuwa wanalipwa Hadi watakapojifukuzisha April 2021?
Kama wore wameweza kupotezwa hao itashindikana nini,ili hats uhuru kamili upatikane?Spika wa Bunge Job Ndugai amesema kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za Bunge, wabunge 19 wa viti maalumu kutoka CHADEMA endapo hawatohudhuria mikutano mitatu ya Bunge, watakuwa wamejifukuzisha ubunge wenyewe.
Spika Ndugai amesema mkutano wa kwanza ni huu wa pili Januari na wa tatu Aprili.
My take.
Toka Sasa hadi April ni mbali sana, tutashudia vituko na mgawanyiko mkubwa Sana hapa katikati...huu ni mtihani mwingine ndani ya CHADEMA.
Nyie ndio mnaakili basiAkili zenyewe mnazo basi?
Kuna wabunge wa CHADEMA ambao amewaapisha alafu hawaingii bungeni?
Hawa wazee hawashindwi kuwa na mungu wao[emoji3]Hivi kumbe unaweza kushiriki uharamia wa hali ya juu tena kwa kumshirikisha shetani halafu 'kula kiapo' ukaapa kwa jina la Mungu? Au ni 'mungu' mwingine ila sio huyu Mungu muumba wa mbingu na nchi!
Ama kweli hizi kufuru sijui siku ya kiyama itakuwaje!
Wakienda kuapa! Mwenzio kauliza walioapishwaSubiri uone kina Mdee na Bulaya wakienda kuapa ndio utajua hujui.
Hakuna haja kushiriki ushenzi wa awamu hii.Spika wa Bunge Job Ndugai amesema kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za Bunge, wabunge 19 wa viti maalumu kutoka CHADEMA endapo hawatohudhuria mikutano mitatu ya Bunge, watakuwa wamejifukuzisha ubunge wenyewe.
Spika Ndugai amesema mkutano wa kwanza ni huu wa pili Januari na wa tatu Aprili.
My take.
Toka Sasa hadi April ni mbali sana, tutashudia vituko na mgawanyiko mkubwa Sana hapa katikati...huu ni mtihani mwingine ndani ya CHADEMA.
Watakuwa wamemrahisishia kazi Ndugai maana alikuwa anahangaika sana kuwafukuza bunge lililopitaKutokuwepo kwao ndio kujifukuzisha.
Watu hata hawajaapa unawaitaje kuwa wamejifukuzisha. Anafukuzwa unayemjua au kumuona. Daah na huyu mzee bas tu hatuna cha kufanya tumuonee huruma tuWatu wasiokuwepo wanakuwaje wamejifukuzisha?
😂😂😂😂Hio viti maalumu wapewe polisi maana nao ni chama cha siasa wamefanya kazi nzuri Sana ya kuiweka CCM madarakani wapewe hata viti 10
Mtu hajajisajili na hajahapishwa kuwa mbunge anachukuliwa vipi hatua na kanuni za bunge ambazo kwenye sehemu ya adhabu zinamhusu Mbunge na wala sio mbunge mteuleWatalipwaje wakati hawajaapishwa?! Hao ni wabunge wateule tu...wasipoonekana bungeni mpaka wakati huo watakuwa wamejiondoa wenyewe...
Kwa kutumia kanuni ipiWatalipwaje wakati hawajaapishwa?! Hao ni wabunge wateule tu...wasipoonekana bungeni mpaka wakati huo watakuwa wamejiondoa wenyewe...