Uchaguzi 2020 Spika Ndugai: Wabunge wa CHADEMA (Viti Maalum) wasipohudhuria mikutano mitatu wamejifukuzisha

Uchaguzi 2020 Spika Ndugai: Wabunge wa CHADEMA (Viti Maalum) wasipohudhuria mikutano mitatu wamejifukuzisha

Mishahara watakuwa wanalipwa Hadi watakapojifukuzisha April 2021?
Watalipwaje wakati hawajaapishwa?! Hao ni wabunge wateule tu...wasipoonekana bungeni mpaka wakati huo watakuwa wamejiondoa wenyewe...
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amesema kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za Bunge, wabunge 19 wa viti maalumu kutoka CHADEMA endapo hawatohudhuria mikutano mitatu ya Bunge, watakuwa wamejifukuzisha ubunge wenyewe.

Spika Ndugai amesema mkutano wa kwanza ni huu wa pili Januari na wa tatu Aprili.


My take.
Toka Sasa hadi April ni mbali sana, tutashudia vituko na mgawanyiko mkubwa Sana hapa katikati...huu ni mtihani mwingine ndani ya CHADEMA.
Kama wore wameweza kupotezwa hao itashindikana nini,ili hats uhuru kamili upatikane?
 
Anajifukuzaje mtu ambaye hayupo wala hajateuliwa? Ndugai angesema tu mbunge yeyote mteule ambaye atakuwa hajaapishwa by end of November, asiende tena Bungeni na aendelee tu na mishe zake

Hii haitokuwa mara ya kwanza kwenda kinyume na Katiba na Kanuni za Bunge. Afterall, CHADEMA hawavitaki hivyo viti 19, presumably!😊

Sijui Aida keshafukuzwa uanachama? Siasa hizi zina wenyewe.
 
Hivi kumbe unaweza kushiriki uharamia wa hali ya juu tena kwa kumshirikisha shetani halafu 'kula kiapo' ukaapa kwa jina la Mungu? Au ni 'mungu' mwingine ila sio huyu Mungu muumba wa mbingu na nchi!
Ama kweli hizi kufuru sijui siku ya kiyama itakuwaje!
Hawa wazee hawashindwi kuwa na mungu wao[emoji3]
 
Pelekeni hao wabunge endapo mnaona wanaenda kufaidi basi mpelekeni Mbowe
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amesema kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za Bunge, wabunge 19 wa viti maalumu kutoka CHADEMA endapo hawatohudhuria mikutano mitatu ya Bunge, watakuwa wamejifukuzisha ubunge wenyewe.

Spika Ndugai amesema mkutano wa kwanza ni huu wa pili Januari na wa tatu Aprili.


My take.
Toka Sasa hadi April ni mbali sana, tutashudia vituko na mgawanyiko mkubwa Sana hapa katikati...huu ni mtihani mwingine ndani ya CHADEMA.
Hakuna haja kushiriki ushenzi wa awamu hii.
 
Duuuh hatari sana

Vipi wabunge wa CCM walisemaje ndioooooooooooo au walishabgilia tu baada ya kaka mkubwa kuongea.
 
Watalipwaje wakati hawajaapishwa?! Hao ni wabunge wateule tu...wasipoonekana bungeni mpaka wakati huo watakuwa wamejiondoa wenyewe...
Mtu hajajisajili na hajahapishwa kuwa mbunge anachukuliwa vipi hatua na kanuni za bunge ambazo kwenye sehemu ya adhabu zinamhusu Mbunge na wala sio mbunge mteule
 
Back
Top Bottom