Spika Ndugai: Wabunge watoro warejeshe fedha zote walizolipwa kuanzia Mei 1-17 jumla ya Tsh. Milioni 110

Spika Ndugai: Wabunge watoro warejeshe fedha zote walizolipwa kuanzia Mei 1-17 jumla ya Tsh. Milioni 110

Am confused; kama wametoroka kwanini wanataka waje na vipimo vya Covid 19?

Kama unataka vipimo vya Covid19 kuonesha wako negative hili warudi bungeni basi lazima ukubali wako karantini na sio kwamba wametoroka.

Na ukikubali wako karantini inabidi ukubali kuwalipa.
Hata walioko bungeni nao lazima wapimwe ili wachangamane na waliopimwa.
 
SPIKA Amesema Perdiem. Yani posho ya kujikimu ukiwa nje ya kituo chako cha kazi. Hata Serikalini, mtumishi hawezi kusafiri bila kulipwa posho ya kujikimu nje ya KITUO cha kazi. Siyo SITTING ALLOWANCE au posho ya kuhudhuria kikao. Perdiem hulipwa kabla ya safari ili mtumishi akatekeleze jukumu fulani. Rejea. Rais aliwahi kufuta sherehe flani, na watumishi wa Umma wakaambiwa warejeshe Perdiem.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha mbunge akiwa bungeni anakuwa nje ya kituo chake cha kazi?!
Haya yatakuwa maajabu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hofu ya Ndugai moja ni kuendelea kuwa mbunge wa Kongwa, pili ambayo ndio kubwa zaidi ni kuendelea kuwa Spika kwa awamu ijayo.

Hata hivyo wanasahau kuwa Corona nayo inamipango yake.
Spika ni zamu ya mwanamke!
 
Maccm sijui huwa yanalogana akili
Mbona wana mambo ya ovyo ovyo sana

Hawa ndio wanatufanya tukiwa ugenini tuone aibu kusema tunatokea Tanzania.
Unakuta mtu anakuuliza , Rais wenu ndio yule mpima mapapai ?
Unabaki kusema ni rais wa club ya jangwani huyo
mean while mbele wanamuita genius. sasa upumzike tu usipate presha

 
SPIKA Amesema Perdiem. Yani posho ya kujikimu ukiwa nje ya kituo chako cha kazi. Hata Serikalini, mtumishi hawezi kusafiri bila kulipwa posho ya kujikimu nje ya KITUO cha kazi. Siyo SITTING ALLOWANCE au posho ya kuhudhuria kikao. Perdiem hulipwa kabla ya safari ili mtumishi akatekeleze jukumu fulani. Rejea. Rais aliwahi kufuta sherehe flani, na watumishi wa Umma wakaambiwa warejeshe Perdiem.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hyo Ni posho ya kikao au makalio au sitting allowance.Kiujumla Ni makosa kulipa watu bila kufanya kazi.hili bunge linafilisi tu wananchi kweli spika analipwa 500,000/= eti kwa kuongoza kikao.Huo Ni wizi
 
Maccm sijui huwa yanalogana akili
Mbona wana mambo ya ovyo ovyo sana

Hawa ndio wanatufanya tukiwa ugenini tuone aibu kusema tunatokea Tanzania.
Unakuta mtu anakuuliza , Rais wenu ndio yule mpima mapapai ?
Unabaki kusema ni rais wa club ya jangwani huyo

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Ndugai anawataka wabunge wote wa upinzani kurudi bungeni kwa sababu ni watoro na pia wameshalipwa posho za karibia wiki mbili,Sasa nnachojiuliza inaama bunge linalipa watu kabla ya kufanya kazi na pia Ina maana rwakatale,mahiga na ndassa walishalipwa na pia Kuna libunge lingine wamelidaka na silaha kibao Kama Chuck Norris anaenda Vietnam nalo limeshalipwa posho ambazo ni kodi zetu sisi malofa, bunge ni sehemu ya kazi kwa wabunge hilo ni sawa sasa kuna mtu mmoja tena kiongozi mkubwa tunamgaramia kwa kila kitu sasa iweje na yeye nae kaacha ofisi ambayo tunagharamia kaenda kujificha kwake lakini kwa gharama zetu, huyu nae tumfanyeje? Nataka jibu ndugai

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtizamo wangu Ndugai kapanga kuwadhalilisha wabunge Wa upinzani, Na inaonekana Ni maelekezo toka juuu.Kwa maoni yangu ile pesa wairudishe ila wasirudi bungeni maana muda ushaisha.Wakutane Novemba kwa wale watakaorudi.
 
Maccm sijui huwa yanalogana akili
Mbona wana mambo ya ovyo ovyo sana

Hawa ndio wanatufanya tukiwa ugenini tuone aibu kusema tunatokea Tanzania.
Unakuta mtu anakuuliza , Rais wenu ndio yule mpima mapapai ?
Unabaki kusema ni rais wa club ya jangwani huyo
Sitasahau nikiwa ugenini nikaonyeshwa clip ya albino wa Tanzania wakiwa OThambo airport wakielekea Marekani kwenda kuishi wakikimbia kuuwawa Tz! Mbaya zaidi walikuwa wameshakatwa mikono tayari. Siku hiyo sikuomba hata K

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri hoja nikwamba wamelipwa pesa kwa kazi ambayo hawafainyi hivyo wairudishe.
Ni jambo rahisi Kama Mtu kalipwa kwa kazi ambayo hajaifanya anarudisha fedha sioni tatizo kwa hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia Bunge liko tupu. Sio wa Chadema peke yao ambao hawapo. Alitakiwa kusema wale wote ambao hawahudhurii vikao wanatakiwa kurudisha posho za vikao. Kwa jinsi alivyozungumza amewalenga waliojiweka karantini peke yao. Hiyo sio haki na ni dalili ya kutaka kukomoana na kuchafuana.
Mtu akilipwa kimakosa au isivyo stahili yake, anayetakiwa kuwadai ni Accounting Officer na sio Speaker.
Btw. Hata kama una kibali cha kutokuwa Bungeni bado haustahili kulipwa posho ya vikao. Kwa hali inavyoonekana ni wengi mno ambao wanatakiwa kurudisha pesa.

Amandla.....
 
Spika wa bunge akihitimisha bunge jioni hii amesema kuwa wabunge watoro wote warudishe pesa walizolipwa kwa ajili ya kuwatumikia wananchi ambazo ni kuanzia tarehe 1 Mei mpaka 17 Mei, vinginevyo hawatapokelewa bungeni baada ya wiki mbili ambazo wanadai wapo quarantine
ni wazi umemsikia spika akiongea ila HAUJAMSIKILIZA.
 
Ukiangalia Bunge liko tupu. Sio wa Chadema peke yao ambao hawapo. Alitakiwa kusema wale wote ambao hawahudhurii vikao wanatakiwa kurudisha posho za vikao. Kwa jinsi alivyozungumza amewalenga waliojiweka karantini peke yao. Hiyo sio haki na ni dalili ya kutaka kukomoana na kuchafuana.
Mtu akilipwa kimakosa au isivyo stahili yake, anayetakiwa kuwadai ni Accounting Officer na sio Speaker.
Btw. Hata kama una kibali cha kutokuwa Bungeni bado haustahili kulipwa posho ya vikao. Kwa hali inavyoonekana ni wengi mno ambao wanatakiwa kurudisha pesa.

Amandla.....
time will tell
 
Back
Top Bottom