Spika Ndugai: Wabunge watoro warejeshe fedha zote walizolipwa kuanzia Mei 1-17 jumla ya Tsh. Milioni 110

Hata walioko bungeni nao lazima wapimwe ili wachangamane na waliopimwa.
 
Unamaanisha mbunge akiwa bungeni anakuwa nje ya kituo chake cha kazi?!
Haya yatakuwa maajabu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hofu ya Ndugai moja ni kuendelea kuwa mbunge wa Kongwa, pili ambayo ndio kubwa zaidi ni kuendelea kuwa Spika kwa awamu ijayo.

Hata hivyo wanasahau kuwa Corona nayo inamipango yake.
Spika ni zamu ya mwanamke!
 
mean while mbele wanamuita genius. sasa upumzike tu usipate presha

 
Mkuu hyo Ni posho ya kikao au makalio au sitting allowance.Kiujumla Ni makosa kulipa watu bila kufanya kazi.hili bunge linafilisi tu wananchi kweli spika analipwa 500,000/= eti kwa kuongoza kikao.Huo Ni wizi
 

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kwa mtizamo wangu Ndugai kapanga kuwadhalilisha wabunge Wa upinzani, Na inaonekana Ni maelekezo toka juuu.Kwa maoni yangu ile pesa wairudishe ila wasirudi bungeni maana muda ushaisha.Wakutane Novemba kwa wale watakaorudi.
 
Sitasahau nikiwa ugenini nikaonyeshwa clip ya albino wa Tanzania wakiwa OThambo airport wakielekea Marekani kwenda kuishi wakikimbia kuuwawa Tz! Mbaya zaidi walikuwa wameshakatwa mikono tayari. Siku hiyo sikuomba hata K

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri hoja nikwamba wamelipwa pesa kwa kazi ambayo hawafainyi hivyo wairudishe.
Ni jambo rahisi Kama Mtu kalipwa kwa kazi ambayo hajaifanya anarudisha fedha sioni tatizo kwa hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia Bunge liko tupu. Sio wa Chadema peke yao ambao hawapo. Alitakiwa kusema wale wote ambao hawahudhurii vikao wanatakiwa kurudisha posho za vikao. Kwa jinsi alivyozungumza amewalenga waliojiweka karantini peke yao. Hiyo sio haki na ni dalili ya kutaka kukomoana na kuchafuana.
Mtu akilipwa kimakosa au isivyo stahili yake, anayetakiwa kuwadai ni Accounting Officer na sio Speaker.
Btw. Hata kama una kibali cha kutokuwa Bungeni bado haustahili kulipwa posho ya vikao. Kwa hali inavyoonekana ni wengi mno ambao wanatakiwa kurudisha pesa.

Amandla.....
 
ni wazi umemsikia spika akiongea ila HAUJAMSIKILIZA.
 
time will tell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…