Spika Ndugai: Wabunge watoro warejeshe fedha zote walizolipwa kuanzia Mei 1-17 jumla ya Tsh. Milioni 110

Spika Ndugai: Wabunge watoro warejeshe fedha zote walizolipwa kuanzia Mei 1-17 jumla ya Tsh. Milioni 110

ndiyo maana Spika akamkandia sana CAG Prof Assad maana kuna madudu yanaendelea Bungeni Spika hataki yajulikane, kama hili la kulipa watu posho kabla hawajafanya kazi, this is total misuse of Public funds
Chadema wao kama walipwaji waliwahi kuongea lolote kwamba siyo sawa?

Tukiwaambia chadema na ccm hakuna tofauti mnatokwa mishipa kuwatetea viongozi wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh, Mr Speaker is absolutely under the spell of confusion....!!

Kwa nini Spika awaite wabunge wenzake "wezi" kana kwamba fedha hizo waliomba na kuishia nazo mitini?

Hivi huyu Spika amefikia hatua hii ya kiwango cha ya kukosa uvumilivu na staha kabisa hata kutumia lugha isiyo na staha kuzungumza na watu wazima, wabunge wenzake???

Hivi Spika Ndugai anadhani hao anaowakashfu hivi hawana midomo ya kumjibu kwa kutumia lugha hiyo hiyo aliyotumia yeye? Na ikifanyika hivyo, sisi tutakuwa binadamu wa namna gani eti???

Si zimelipwa kwa utaratibu halali?

Na kwanini kama anataka fedha hizo zirudishwe kwa kuwa zimelipwa kimakosa ama isivyo halali asitumie kauli ya kistaarabu tu na wakati huohuo akifuata utaratibu wa kawaida wa kiutumishi kuwaandikia barua kila mmoja kumtaka arudishe hizo fedha anazodhani si halali yao huku akikwoti na vifungu vya kanuni na sheria inayompa nguvu kuchukua uamuzi wako??

Hizi ni siasa gani za kijinga na kudhalilishana hivi zinaendelea Tanzania kwa sasa??

I really don't get it...!!

Ninavyo fahamu Mimi, mbunge ama wabunge kutoka nje ya kikao kuonesha kutoridhishwa na jambo fulani ni sehemu na haki ya kikatiba na naamini hata kwenye kanuni zao litakuwa lipo. Kwanini jambo hili limekuwa kama nongwa kwa viongozi wa serikali to the extent that wanatumia "fimbo ya fedha" kudhalilishana na kukomoana wao kwa wao??

Hata hivyo yapo maswali mengine hata;

1. Na kwanini Mhasibu wa Bunge alipe posho ya kukaa (sitting allowance) ya wiki mbili mbele kabla mtu hajafanya wala kukaa ama kufanyika kwa kikao husika??

2. Ndiyo utaratibu wa malipo ya fedha za umma unataka hivyo??

3. Mhasibu anapomlipa mtu posho ya kikao ya wiki mbili mbele kabla ya kikao chenyewe anakuwa na uhakika gani kama kikao kitafanyika na kama mtu huyo (aliyelipwa) atakuwepo na hata kuwa hai hadi tarehe 17/05/2020??

4. Kwa hiyo wale wabunge watatu waliokwisha kufa (Rwakatare, Mahiga na Ndassa) wamezikwa na pesa za posho za hadi 17/05?? Watazirudisha toka kaburini, right??

NB;
å Kumbe hawa ndugu zetu CCM wameumia sana kuachwa bungeni peke yao wakiendelea na vikao vyao....

å Nafsi yangu yanishuhudia kuwa hizi ni dalili za tukio kubwa la kihistoria linalokwenda kutokea huko mbele kubadilisha majira na nyakati katika siasa za nchi yetu...!!

å Kwa hakika kabisa pasipo chenga hii "frustration" ya viongozi wa serikali kwa mihimili yote kuanzia MAHAKAMA, EXECUTIVE na PARLIAMENT si ya kawaida hata kidogo....!!
Umejipinda kuandika yote haya kuwatetea watu waliobeba milion tatu tau na kutokomea, huku wewe wakati ukiandika andishi hili la kuwatetea hata hela ya chai huna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika Job Ndugai amesema wabunge wa CHADEMA ambao hawashiriki vikao vya bunge kwa madai kuwa wapo karantini wanahesabika kama watoro na wanatakiwa kurejesha fedha zote walizolipwa kwa kipindi ambacho hawatakuwepo bungeni.

Pia wamepaswa kufanya kipimo cha Covid19 kabla hawajaingia bungeni
==

TAARIFA ZAIDI
Spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai leo Mei 6, 2020 amewataka wabunge wa CHADEMA waliosusia vikao vya bunge kwa kisingizio cha Corona kurudi haraka bungeni

Spika Ndugai amesema endapo watakaidi agizo hilo la kurudi Bungeni basi itawalazimu siku watakayo rudi wawe na cheti kinachoonesha kuwa wamepima ugonjwa wa Corona na majibu yake na kurudisha pesa walizolipwa ambazo ni posho za vikao la sivyo hatua zaidi zitachukuliwa.

"Wabunge hawa ambao ni watoro walipokuwa wanaondoka walilipwa fedha za kuanzia Mei 1-17 Jumla ya zaidi Tsh. Milioni 110, nawaagiza kuanzia Freeman Mbowe kurudisha Tsh. Milioni 2 na elfu 40 na wenzake wote hao, huu ni utoro wa hiari kwa lugha rahisi huu ni wizi na wale wengine wamelipwa Milioni 3 warudishe" amesema Spika Ndugai.

Aidha Spika Ndugai ameongeza kuwa; "Nimeshangazwa na kusikitishwa sana na tangazo hilo kwa sababu Mbowe hana mamlaka ya kuitisha utoro wa wiki mbili kwa Wabunge, anajaribu kuwa kama Prefect wa Shule ya Sekondari, japo wameambiana kubaki Dodoma lakini wanazurura nchi nzima, wabunge hao popote walipo warudi bungeni haraka sana kuendelea na kazi zao".

Ubaya ubaya tu
 
Kwa tulipofikia naiona chuki ya waziwazi Kati ya pande hizi mbili
Hata kwa hizi comment za humu ndani naona Kuna pande mbili zenye hasira Kali
Najiuliza hivi akitokea mjinga mmoja akasema shugulikianeni Nani atabaki salama ? .
NB.
Siasa za chuki hazitatufikisha popote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
\
Spika Job Ndugai amesema wabunge wa CHADEMA ambao hawashiriki vikao vya bunge kwa madai kuwa wapo karantini wanahesabika kama watoro na wanatakiwa kurejesha fedha zote walizolipwa kwa kipindi ambacho hawatakuwepo bungeni.

Pia wamepaswa kufanya kipimo cha Covid19 kabla hawajaingia bungeni
==

TAARIFA ZAIDI
Spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai leo Mei 6, 2020 amewataka wabunge wa CHADEMA waliosusia vikao vya bunge kwa kisingizio cha Corona kurudi haraka bungeni

Spika Ndugai amesema endapo watakaidi agizo hilo la kurudi Bungeni basi itawalazimu siku watakayo rudi wawe na cheti kinachoonesha kuwa wamepima ugonjwa wa Corona na majibu yake na kurudisha pesa walizolipwa ambazo ni posho za vikao la sivyo hatua zaidi zitachukuliwa.

"Wabunge hawa ambao ni watoro walipokuwa wanaondoka walilipwa fedha za kuanzia Mei 1-17 Jumla ya zaidi Tsh. Milioni 110, nawaagiza kuanzia Freeman Mbowe kurudisha Tsh. Milioni 2 na elfu 40 na wenzake wote hao, huu ni utoro wa hiari kwa lugha rahisi huu ni wizi na wale wengine wamelipwa Milioni 3 warudishe" amesema Spika Ndugai.

Aidha Spika Ndugai ameongeza kuwa; "Nimeshangazwa na kusikitishwa sana na tangazo hilo kwa sababu Mbowe hana mamlaka ya kuitisha utoro wa wiki mbili kwa Wabunge, anajaribu kuwa kama Prefect wa Shule ya Sekondari, japo wameambiana kubaki Dodoma lakini wanazurura nchi nzima, wabunge hao popote walipo warudi bungeni haraka sana kuendelea na kazi zao".

Nimesikitika sana kwa hili jambo, kuna taasisi ziko hoi kifedha, kuna taasisi za Elimu zinahitaji fedha ili kusomesha wahadhiri, kuna mahospitali yanahitaji vifaa tiba, kuna madaktari wako mstari wa mbele ili kupambana na maradhi ya COVID-19 lkn kuna mtu mmoja analipa watu in advance halafu hawatimizi wajibu wao.
 
Dogo ''per diem'' hulipwa ''in advance'' ili kukuwezesha kujikimu. Ulitaka walipwe baada ya kuishi? watamudu vipi malazi?tulizeni akili msikurupuke.
Yaani wabunge walipwe per diem, kisha posho ya makalio duh.huu kweli wizi Wa mchana kweupe.Hili bunge Ni genge LA wizi Wa kodi zetuu.
 
#NipasheBUNGENI Spika wa Bunge, Job Ndugai, amewataka wabunge wa upinzani waliotii amri ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Freeman Mbowe, kwenda na fomu za daktari zinazothibitisha kuwa hawana maambukizi ya virusi vya corona, pindi wabunge hao watakapoamua kurudi tena bungeni.
 
Ni cheti na pesa walizochukua za siku zote ambazo hawakuhudhuria vikao bungeni .Wa attach kwenye vyeti na pesa
 
Ni cheti na pesa walizochukua za siku zote ambazo hawakuhudhuria
Mzee wa kazi ameshaangusha tena huko. Chezea mzee wa kazi weye. Full kula minofu ya weshimiwa 👋👋👋
 
Kwa Sheria Ipi Ya Bunge?
..
-500853126-414390571.jpg


Jr[emoji769]
 
Spika Job Ndugai amesema wabunge wa CHADEMA ambao hawashiriki vikao vya bunge kwa madai kuwa wapo karantini wanahesabika kama watoro na wanatakiwa kurejesha fedha zote walizolipwa kwa kipindi ambacho hawatakuwepo bungeni.

Pia wamepaswa kufanya kipimo cha Covid19 kabla hawajaingia bungeni
==

TAARIFA ZAIDI
Spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai leo Mei 6, 2020 amewataka wabunge wa CHADEMA waliosusia vikao vya bunge kwa kisingizio cha Corona kurudi haraka bungeni

Spika Ndugai amesema endapo watakaidi agizo hilo la kurudi Bungeni basi itawalazimu siku watakayo rudi wawe na cheti kinachoonesha kuwa wamepima ugonjwa wa Corona na majibu yake na kurudisha pesa walizolipwa ambazo ni posho za vikao la sivyo hatua zaidi zitachukuliwa.

"Wabunge hawa ambao ni watoro walipokuwa wanaondoka walilipwa fedha za kuanzia Mei 1-17 Jumla ya zaidi Tsh. Milioni 110, nawaagiza kuanzia Freeman Mbowe kurudisha Tsh. Milioni 2 na elfu 40 na wenzake wote hao, huu ni utoro wa hiari kwa lugha rahisi huu ni wizi na wale wengine wamelipwa Milioni 3 warudishe" amesema Spika Ndugai.

Aidha Spika Ndugai ameongeza kuwa; "Nimeshangazwa na kusikitishwa sana na tangazo hilo kwa sababu Mbowe hana mamlaka ya kuitisha utoro wa wiki mbili kwa Wabunge, anajaribu kuwa kama Prefect wa Shule ya Sekondari, japo wameambiana kubaki Dodoma lakini wanazurura nchi nzima, wabunge hao popote walipo warudi bungeni haraka sana kuendelea na kazi zao".

ANAANDIKA MHE. ESTHER MATIKO (MB) AKIFAFANUA KWENYE KUNDI LA WHATSAPP LA TARIME ISHI NA MIMI

Bora ucheke Mdogo wangu..!
Hii nchi ni ya ajabu sana...! Juzi niliandika hapa posho zetu kama Michango nikaweka ( Perdiem 120,000/= n sitting 220,000/=) jumla 340,000/=. Maana hatuingii bungeni tupo karantini jamani pamoja Na kujichunguza afya..!

Mhe Spika anasema tumechukua posho...😳!

Posho ya kujikimu wanadai kutuwekea tarehe 1/5/2020 tukiwa karantini? Sijui Nini kipo nyuma ya pazia?

Kwa kawaida posho ya kujikimu huwa tunajaza form ndipo unaingiziwa kwenye account yako..! Na Tumekuwa tunafanya hivyo siku zote. Jana nimeshtuka kusikia eti kuna posho tumeingiziwa Maana sijaenda bank nipo karantini hapa Dodoma sitoki hata nje..! Kwa hiyo sijui kama kweli ama lah.

Kwa hiyo tumeingiziwa posho Za kujikimu bila kusaini? Upendo wa agape huu...! Ambao ghafla tulioingiziwa Fedha Za kujikimu bila kujua tunaitwa wezi? Hapa wanasheria waje watusaidie.

Turudi kwenye uhalisia. Let us assume Yaani tufanye wabunge wa Chadema walijaza form ya posho ya kujikimu( perdiem) Na kusaini labda tarehe 28/4/2020 kwa siku 16. Na hivyo siku 14 kuwa za karantini..! Sasa uhalali wa Mhe Spika kusema turudishe posho ya kujikimu unatoka wapi? Maana sio posho ya kikao kwamba umelipwa bila kuhudhulia? Hii ni posho ambayo unalipwa kulipia hotel/ chakula n.k. Ukiwa kwenye kituo cha Kazi ambacho ni Dodoma. Sote Twajua matumizi ya perdiem..! Na wabunge wapo Dodoma kwenye karantini Lkn wanafanya majukumu yao mengine ya kibunge kwa njia ya mtandao sio lazima wawepo bungeni.

Kuna wabunge wengi sana wa CCM hujaza form Za hii posho siku ya kwanza Na kuondoka..! Je alishawataka kurudisha hizo Fedha tunawajuwa tena kwa majina. Ni dhahiri hajawahi Na hawezi kwakuwa hizi si posho Za kitako ( sitting allowance) bali ni posho ya ambayo hulipia Malazi Na chakula.

Niseme tu nimesikitika sana kwa hili , inaonekana kuna hidden agenda..! Probably more to come as he said it yesterday...!

Binafsi nafuata masharti ya matabibu ( wataalam wa afya)Najitenga na kujichunguza afya yangu. Marehemu Mhe Ndassa alikuwa Kaka yangu Na rafiki wa kweli kwangu , karibia kila siku nilikuwa naenda kwenye kiti jirani na kuteta naye hata siku Mbili kabla ya umauti wake. Hivyo lazima nijitenge kwa Muda.

Kwangu mimi afya yangu Na ya wale ninao wazunguka ni Muhimu sana kuliko hizo posho.! Kwa Miaka miwili tulikuwa kwa asilimia 80 tupo mhakamani wakati wa Bunge la bajeti sikuona walau hata barua ya Bunge ikiomba mahakama walau wazingatie vikao Vya Bunge Na kufanya kila baada ya siku 14 au mwezi..! Tuliweza poteza posho ya vika Zaidi ya siku 200 kwa wabunge Saba wa Chadema tuliokuwa Na kesi ( Mhe Mbowe, Mnyika, Heche, Mdee, Bulaya, Msigwa Na mimi). Ambapo posho Za vikao tu ni 220,000 * 200 ni 44,000,000/= (44ml).

Nilipelekwa gerezani kwa hilasiku 104 hapa napo nilikosa mamilioni ya shilingi, nilikosa fursa ya kuwawakilisha Wananchi wangu bungeni Na nje ya Bunge. Ijulikane tu nilifutiwa dhamana ambapo nilikuwa nimetumwa Na Bunge Kwenda Burundi , lakini sikuona Bunge wakinitetea ? Leo Nipo karantini kwa tahadhari huku nikiendelea na shughuli zangu Za uwakilishi shida ipo wapi? Maana gerezani ni total lockdown hamna hata mawasiliano.

Jana tu tulifanya kikao cha Kamati ya mfuko wa jimbo, ili kupitia bakaa ya 12.5ml ya tuliyopeleka kwenye Ujenzi wa Choo shule ya sekondari Tagota .

Tulifanya Teleconference na wajumbe na kufikia maamuzi kuwa Tshs. 2.5ml ziende kwenye manunuzi ya samani Za ofisi ya walimu ikiwemo partition ya ofisi. Maana nilipotembelea mwezi wa tatu . Nilikuta Walimu wote wapo kwenye darasa moja lilowazi hata Mwl Mkuu. Na Kilio kikubwa kilikuwa uboreshwaji wa Hiyo ofisi.

Hivyo hizi hisia hasi Na kuonekana tupo mikoani tunadhurula sio sahihi..!

Nasikitika tu kuwa hata tukiwa bungeni kwa ufinyu wa muda hatupati fursa ya kuchangia. Maana ya saa 4 tu Za kuwasilisha hotuba ya wizara, Kamati ya Bunge, hotuba ya upinzani , Michango ya wabunge, majibu ya mawaziri, hitimisho la Mtoa Hoja.......?🤔

Hapa nakuachia wewe mwananchi uone kama wawakilishi wako tunakutendea haki. Unakuta upande wa Chadema wanapata watu wawili tu au mmoja wizara labda wagawane dakika tano .

Nilitarajia Bunge liende hadi July na Vikao vifanyike hadi Jumamosi. Maana tulipunguza masaa ya kikao kutoka saa nane kwa siku hadi saa 4 kwa siku .

Hivyo tungeweka wizara ya siku moja ya zamani kuwa siku 2, Na Za siku 2 kuwa siku 4. Lkn imekuwa kinyume ya wizara zilizokuwa Za siku 2( saa 16 sasa ni saa 4 siku 1, siku 3 saa 24 sasa Ni saa 4 siku 1 na ya siku 1 saa 8 zamani ni saa 4 siku 1 ya sasa. Bajeti Kuu ya serikali ilikuwa siku 6 saa 48 sasa Ni siku 2 Yaani saa 8🤔🤔🤔🤔

Nilidhani mngepiga kelele Bunge lisifupishwe ili wawakilishi wenu wajadili draft Za bajeti Za serikali kwa kina kuliko kinachofanyika sasa..’!

Huwa kila siku nashauri humu Tarime Ishi Na Mimi ..! Tuweke itikadi zetu pembeni, ili tuwe Huru kuchambua mambo kwa jicho la tatu. Bila kufanya hivyo tunaliangamiza taifa.

Wana CCM mnauwanja mpana sana kushauri kwenye vikao vyenu. Maana kwa sasa nyie ndo mmpewa ridhaa na wananchi, ya kukusanya kodi Na kupeleka maendeleo. Nawaomba sana mtambue jukumu lenu . Naona Mmekuwa mkikwepa majukumu yenu kwa kuitafutia Chadema ubaya...!

Tushikamane tuijenge Tarime Yetu.!

Mungu awabariki..!

Corona Ipo, Corona inauwa..! Tuchukue tahadhari.!🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

Esther Matiko (Mb)
Tarime Mjini.
 
ANAANDIKA MHE. ESTHER MATIKO (MB) AKIFAFANUA KWENYE KUNDI LA WHATSAPP LA TARIME ISHI NA MIMI

Bora ucheke Mdogo wangu..!
Hii nchi ni ya ajabu sana...! Juzi niliandika hapa posho zetu kama Michango nikaweka ( Perdiem 120,000/= n sitting 220,000/=) jumla 340,000/=. Maana hatuingii bungeni tupo karantini jamani pamoja Na kujichunguza afya..!

Mhe Spika anasema tumechukua posho...[emoji15]!

Posho ya kujikimu wanadai kutuwekea tarehe 1/5/2020 tukiwa karantini? Sijui Nini kipo nyuma ya pazia?

Kwa kawaida posho ya kujikimu huwa tunajaza form ndipo unaingiziwa kwenye account yako..! Na Tumekuwa tunafanya hivyo siku zote. Jana nimeshtuka kusikia eti kuna posho tumeingiziwa Maana sijaenda bank nipo karantini hapa Dodoma sitoki hata nje..! Kwa hiyo sijui kama kweli ama lah.

Kwa hiyo tumeingiziwa posho Za kujikimu bila kusaini? Upendo wa agape huu...! Ambao ghafla tulioingiziwa Fedha Za kujikimu bila kujua tunaitwa wezi? Hapa wanasheria waje watusaidie.

Turudi kwenye uhalisia. Let us assume Yaani tufanye wabunge wa Chadema walijaza form ya posho ya kujikimu( perdiem) Na kusaini labda tarehe 28/4/2020 kwa siku 16. Na hivyo siku 14 kuwa za karantini..! Sasa uhalali wa Mhe Spika kusema turudishe posho ya kujikimu unatoka wapi? Maana sio posho ya kikao kwamba umelipwa bila kuhudhulia? Hii ni posho ambayo unalipwa kulipia hotel/ chakula n.k. Ukiwa kwenye kituo cha Kazi ambacho ni Dodoma. Sote Twajua matumizi ya perdiem..! Na wabunge wapo Dodoma kwenye karantini Lkn wanafanya majukumu yao mengine ya kibunge kwa njia ya mtandao sio lazima wawepo bungeni.

Kuna wabunge wengi sana wa CCM hujaza form Za hii posho siku ya kwanza Na kuondoka..! Je alishawataka kurudisha hizo Fedha tunawajuwa tena kwa majina. Ni dhahiri hajawahi Na hawezi kwakuwa hizi si posho Za kitako ( sitting allowance) bali ni posho ya ambayo hulipia Malazi Na chakula.

Niseme tu nimesikitika sana kwa hili , inaonekana kuna hidden agenda..! Probably more to come as he said it yesterday...!

Binafsi nafuata masharti ya matabibu ( wataalam wa afya)Najitenga na kujichunguza afya yangu. Marehemu Mhe Ndassa alikuwa Kaka yangu Na rafiki wa kweli kwangu , karibia kila siku nilikuwa naenda kwenye kiti jirani na kuteta naye hata siku Mbili kabla ya umauti wake. Hivyo lazima nijitenge kwa Muda.

Kwangu mimi afya yangu Na ya wale ninao wazunguka ni Muhimu sana kuliko hizo posho.! Kwa Miaka miwili tulikuwa kwa asilimia 80 tupo mhakamani wakati wa Bunge la bajeti sikuona walau hata barua ya Bunge ikiomba mahakama walau wazingatie vikao Vya Bunge Na kufanya kila baada ya siku 14 au mwezi..! Tuliweza poteza posho ya vika Zaidi ya siku 200 kwa wabunge Saba wa Chadema tuliokuwa Na kesi ( Mhe Mbowe, Mnyika, Heche, Mdee, Bulaya, Msigwa Na mimi). Ambapo posho Za vikao tu ni 220,000 * 200 ni 44,000,000/= (44ml).

Nilipelekwa gerezani kwa hilasiku 104 hapa napo nilikosa mamilioni ya shilingi, nilikosa fursa ya kuwawakilisha Wananchi wangu bungeni Na nje ya Bunge. Ijulikane tu nilifutiwa dhamana ambapo nilikuwa nimetumwa Na Bunge Kwenda Burundi , lakini sikuona Bunge wakinitetea ? Leo Nipo karantini kwa tahadhari huku nikiendelea na shughuli zangu Za uwakilishi shida ipo wapi? Maana gerezani ni total lockdown hamna hata mawasiliano.

Jana tu tulifanya kikao cha Kamati ya mfuko wa jimbo, ili kupitia bakaa ya 12.5ml ya tuliyopeleka kwenye Ujenzi wa Choo shule ya sekondari Tagota .

Tulifanya Teleconference na wajumbe na kufikia maamuzi kuwa Tshs. 2.5ml ziende kwenye manunuzi ya samani Za ofisi ya walimu ikiwemo partition ya ofisi. Maana nilipotembelea mwezi wa tatu . Nilikuta Walimu wote wapo kwenye darasa moja lilowazi hata Mwl Mkuu. Na Kilio kikubwa kilikuwa uboreshwaji wa Hiyo ofisi.

Hivyo hizi hisia hasi Na kuonekana tupo mikoani tunadhurula sio sahihi..!

Nasikitika tu kuwa hata tukiwa bungeni kwa ufinyu wa muda hatupati fursa ya kuchangia. Maana ya saa 4 tu Za kuwasilisha hotuba ya wizara, Kamati ya Bunge, hotuba ya upinzani , Michango ya wabunge, majibu ya mawaziri, hitimisho la Mtoa Hoja.......?[emoji848]

Hapa nakuachia wewe mwananchi uone kama wawakilishi wako tunakutendea haki. Unakuta upande wa Chadema wanapata watu wawili tu au mmoja wizara labda wagawane dakika tano .

Nilitarajia Bunge liende hadi July na Vikao vifanyike hadi Jumamosi. Maana tulipunguza masaa ya kikao kutoka saa nane kwa siku hadi saa 4 kwa siku .

Hivyo tungeweka wizara ya siku moja ya zamani kuwa siku 2, Na Za siku 2 kuwa siku 4. Lkn imekuwa kinyume ya wizara zilizokuwa Za siku 2( saa 16 sasa ni saa 4 siku 1, siku 3 saa 24 sasa Ni saa 4 siku 1 na ya siku 1 saa 8 zamani ni saa 4 siku 1 ya sasa. Bajeti Kuu ya serikali ilikuwa siku 6 saa 48 sasa Ni siku 2 Yaani saa 8[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Nilidhani mngepiga kelele Bunge lisifupishwe ili wawakilishi wenu wajadili draft Za bajeti Za serikali kwa kina kuliko kinachofanyika sasa..’!

Huwa kila siku nashauri humu Tarime Ishi Na Mimi ..! Tuweke itikadi zetu pembeni, ili tuwe Huru kuchambua mambo kwa jicho la tatu. Bila kufanya hivyo tunaliangamiza taifa.

Wana CCM mnauwanja mpana sana kushauri kwenye vikao vyenu. Maana kwa sasa nyie ndo mmpewa ridhaa na wananchi, ya kukusanya kodi Na kupeleka maendeleo. Nawaomba sana mtambue jukumu lenu . Naona Mmekuwa mkikwepa majukumu yenu kwa kuitafutia Chadema ubaya...!

Tushikamane tuijenge Tarime Yetu.!

Mungu awabariki..!

Corona Ipo, Corona inauwa..! Tuchukue tahadhari.![emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji1431]

Esther Matiko (Mb)
Tarime Mjini.
Rudisheni tu hizo posho maneno mengi wakati hujarudisha posho haitasaidia kitu
 
Back
Top Bottom