Spika Ndugai: Wafanyabiashara wa nchi hii kila siku wanalalamika, mnahitaji kengele gani igongwe?

Akili zinaanza kurudi ,taratibu tutaelewana, haya maneno Ndugai sijui kayaongea KWA kupenda upepo wa mama imeanza kumpitia,
 
Lisu alijipanga kuchafua nchi .

Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.

Ni aibu kubwa kwa taifa letu

Lakini amegaragazwa ,asante PLO
Naona TL kakuchanganya sana. Uzi huu haumhusu Lisu.
 
Duh! Siku hazigandi, leo Ndugai kawa objective kiasi hicho!!!!!
 
sindano ya jpm imeanza kuwatoka polepole.....
 
Alikua wapi kusema haya kipindi cha Jiwe??
Dicteta alikua kashikilia akili zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…