Elice Elly
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 1,267
- 1,593
Hahahahaha imekabwa na Nani? Mimi binafsi ndo kwanza nimechukua kadi.Chadema imekabwa koo,! Na hapo hata oktoba bado haijafika mbona maji mtaita mma!
Na hivi hamna hela hata za kampeni maana mabwana zenu wapo wanapambana na corona, hahahaha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app