Spika Tulia Ackson: Mdee na wenzake 18 wako bungeni kihalali, aeleza kuhusu kurejea kwa Bunge LIVE!

Total rubbish, wewe ukihukumia kifungo miaka 4 jela ukakata rufaa hutatumikia kifungo chako mpaka rufaa yako isikilizwe?
Wewe ndio hamnazo kabisa. Kisheria si kila rufaa hufanya maamuzi ya awali yabaki. Nikupe mfano: mtu akikushtaki umechukua shamba lake, akashinda, halafu wewe ukakata rufaa, Je anaweza kuja kulima kwenye shamba kwa sababu tu alishinda kesi ya awali? Kijana, husiwe mbumbumbu wa sheria
 
Binafsi naona waachwe waendelee, nao wale mema ya nchi. Maana tukitafuta uhalali wa wabunge mule ndani wanaweza wasifike 50. Wengi ni kazi haramu ya mwendazake! Huu ulimwengu wa tatu ni changamoto sana.


YESU NI BWANA.
Comment yako nimeipenda Sana. Unachosema ni kwamba hata spika mwenyewe ubunge wake una uharamu, hakupita kihalali. Kwahiyo wabunge wengi ni haramu. Why uharamu wa Mdee uwe issue???
 
Bunge zima sidhani kama kuna mbunge halali hata mmoja akiwepo supika mwenyewe
 
Binafsi naona waachwe waendelee, nao wale mema ya nchi. Maana tukitafuta uhalali wa wabunge mule ndani wanaweza wasifike 50. Wengi ni kazi haramu ya mwendazake! Huu ulimwengu wa tatu ni changamoto sana.


YESU NI BWANA.
Amiina baba[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Utakuwa mpuuzi sn, kesi ya shamba ina mazingira yake
 
Mkuu, utawala uliopita, na ukichanganya na mambo ya Ndugai, ilikuwa hakuna kufuata sheria. Ukumbuke kuwa, huyo Ndugai aliikataa barua halali ya Chama kwa kudai haitambui. Kwa sasa, sina shaka mambo yamebadilika!
Barua sizipo masjala?
 
Hata yeye anajua vizuri sn kuwa Halima na genge lake siyo wabunge
 
Wabunge hawa feki ni matokeo ya matumizi mabaya ya madaraka yaliyofanywa na Mwendazake. That man was evil!
Lakini licha ya mtu mmoja kufanya mambo kinyume na sheria,mbona watu wale waliokuwa vigogo katika serikali yake na chama chake Bungeni hata Chief Justice hawakuikosoa au kulaani kitendo hicho.
Mimi nadhani katika miaka 60 ya uhuru tumeshindwa kujitambua kama Taifa.
Hata hii katiba mpya wapo watu wazito wanaodai katiba mpya sio muhimu.Lakini leo Mama SSH akiamua twende na katiba mpya watu hao hao wataweka korasi kubwa bila aibu wakiunga mkono.
Adui no.1 Tanzania ni uwogo uliozaa unafiki.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…