Wewe ndio hamnazo kabisa. Kisheria si kila rufaa hufanya maamuzi ya awali yabaki. Nikupe mfano: mtu akikushtaki umechukua shamba lake, akashinda, halafu wewe ukakata rufaa, Je anaweza kuja kulima kwenye shamba kwa sababu tu alishinda kesi ya awali? Kijana, husiwe mbumbumbu wa sheriaTotal rubbish, wewe ukihukumia kifungo miaka 4 jela ukakata rufaa hutatumikia kifungo chako mpaka rufaa yako isikilizwe?
Comment yako nimeipenda Sana. Unachosema ni kwamba hata spika mwenyewe ubunge wake una uharamu, hakupita kihalali. Kwahiyo wabunge wengi ni haramu. Why uharamu wa Mdee uwe issue???Binafsi naona waachwe waendelee, nao wale mema ya nchi. Maana tukitafuta uhalali wa wabunge mule ndani wanaweza wasifike 50. Wengi ni kazi haramu ya mwendazake! Huu ulimwengu wa tatu ni changamoto sana.
YESU NI BWANA.
Amiina baba[emoji120][emoji120][emoji120]Binafsi naona waachwe waendelee, nao wale mema ya nchi. Maana tukitafuta uhalali wa wabunge mule ndani wanaweza wasifike 50. Wengi ni kazi haramu ya mwendazake! Huu ulimwengu wa tatu ni changamoto sana.
YESU NI BWANA.
Utakuwa mpuuzi sn, kesi ya shamba ina mazingira yakeWewe ndio hamnazo kabisa. Kisheria si kila rufaa hufanya maamuzi ya awali yabaki. Nikupe mfano: mtu akikushtaki umechukua shamba lake, akashinda, halafu wewe ukakata rufaa, Je anaweza kuja kulima kwenye shamba kwa sababu tu alishinda kesi ya awali? Kijana, husiwe mbumbumbu wa sheria
Barua sizipo masjala?Mkuu, utawala uliopita, na ukichanganya na mambo ya Ndugai, ilikuwa hakuna kufuata sheria. Ukumbuke kuwa, huyo Ndugai aliikataa barua halali ya Chama kwa kudai haitambui. Kwa sasa, sina shaka mambo yamebadilika!
Hata yeye anajua vizuri sn kuwa Halima na genge lake siyo wabunge..Mnyika alishaandika barua kwa Spika kwamba Chadema imewafuta uanachama Halima na wenzake.
..Sheria inaelekeza kwamba mbunge aliyetokana na chama akifukuzwa ktk chama chake anapoteza sifa ya ubunge.
..Kwa hiyo anayetakiwa kutoa maelezo ya uhalali wa ubunge wa kina Halima ni Spika, na sio Mnyika.
..Spika anatakiwa aeleze sheria inayompa mamlaka ya kuendelea kuwakubali watu wasio na chama bungeni.
..Zaidi, vyombo vya DOLA vilitakiwa kuchunguza Halima na wenzake wamefika vipi bungeni kwani Chadema wanadai hawajawahi kufanya kikao cha kuteua wabunge wa viti maalum.
Lakini licha ya mtu mmoja kufanya mambo kinyume na sheria,mbona watu wale waliokuwa vigogo katika serikali yake na chama chake Bungeni hata Chief Justice hawakuikosoa au kulaani kitendo hicho.Wabunge hawa feki ni matokeo ya matumizi mabaya ya madaraka yaliyofanywa na Mwendazake. That man was evil!
Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari. leo Februari 14, 2022 ameeleza kuwa Mdee na wenzake 18 wako bungeni kihalali:
“Uharamu haupo kwasababu hawezi kuwa haramu halafu akawepo mule ndani. Nchi yetu inaendeshwa Kidemokrasia na Kisheria. Jambo moja tu linalosubiriwa ni watu kumaliza michakato yao inayohusika.
“Jambo moja linalosubiliwa ni kumaliza michakato yao inayohusika ndani ya chama. Katiba yetu inasema mbunge lazima awe mwanachama, kwa hiyo wakimaliza wakaleta taarifa tutachukua hatua.”
Kuhusu mpango wa kurejesha Bunge live, Tulia amejibu: “Hili ni jambo ambalo linazungumzika, wacha tuone sababu zilizolifanya kuondolewa. Tutazungumza na Waziri wa habari kuona nini cha kufanya.”