SPIKA TULIA ACKSON: Tujadili vitu vya muhimu Bungeni Ila sio Kuuliza kuhusu Maswala ya vyoo

SPIKA TULIA ACKSON: Tujadili vitu vya muhimu Bungeni Ila sio Kuuliza kuhusu Maswala ya vyoo

Wewe huwa unakula na kunya hapo hapo kama Nzige? Au mwenzangu wewe huwa unakula na vinatoka hapo hapo?

Hujiongezi kabisa ukajua kwamba mgonjwa anaweza kuwa alikula kwake na muda wa kwenda chooni ukafika akiwa hospitali?

Umeniuliza swali la kijinga sana!
hakuna Hospitali isyo na choo na hilo.swala liko.chini Ya Halmashauri Husika..
Kuna halmashauri hakuna shida ya Vyoo kabisa..

Sasa angalia Mkurugenzi ea Halmashauri yako ambaye anashindwa.kuweka mashimo nane kwenye Vyoo vya Hospitali..

Na sio swali la kujadiliwa na Bunge au waziri..

Kiufupi ni Kwamba!

Hili lilikuwa ni swali Kwa wakurugenzi wa halmashauri na sio Waziri au wabunge..
Sera ya ujenzi wa.choo kila zahanati,Kila Hospitali kwa Level ya matundu nane ilishapitishwa Tangu mwaka 2016 kuhusu Utekelezaji Mkurugenzi wa halmashauri husika,Mganga mkuu, Waulizwe na sio waziri au Bunge..
Kwanini tunashindwa kulipa Bumge heshima yake kwa maswali Yanayotakiwa kuulizwa?

Swali linaweza likawa sawa na sahihi lakini Muulizaji kalipeleka swali sehemu isiyo sahihi wala halali
 
Katika mfumo centralized kama huu wetu masuala ya vyoo yataulizwa tu bungeni, vinginevyo wafanye ugatuzi wa madaraka
Wameshafanya na Sera ya Vyoo ilishatungwa na utekelezaji ulishafanyika kwa baadhi ya halmashauri nahisi Kuna baadhi ya halmashauri ndo zina uzembe..
 
Naungana na Spika, hata kama hizo changamoto zipo, bado mbunge anaweza kuziwasilisha kwenye vikao vya madiwani, sio bungeni,

Ingekuwa ushauri wangu, jukumu la ujenzi wa vyoo iwe zahanati au shule, lielekezwe kwenye halmashauri kupitia own source zake
Na ndivyo siku zote hufanyika Hivyo Hilo ssala lipo chini ya Vikao vya madiwani au Vikao vya halmashauri ya Wilaya..

Na Cha ajabu Mbunge naye ni Mjumbe wa Vikao hivyo alishindwaje kumuhoji Mwenyekiti wa halmashauri wake au Mkurugenzi wake?
 
Tuna safari ndefu. Mwenye akili kaelewa. Nchi kama Tanzania mpaka sasa haikutakiwa kuzungumzia vyoo. Ni upuuzi. Hayo mambo ni ya kumaliza huko wizarani wizara ilete Bajet watu wasimamie,
 
Hayo ameyasema leo wazi Ikiwa ni muendelezo wa kile kinacholalamikiwa na Wananchi kwa wabunge kuuliza maswali mepesi Bungeni huku maswali magumu na ya Kimaendeleo wakiyaacha na kuogopa kuyauliza ....

Spika Dkt Tulia ameongea Hayo baada ya waziri Dugange kujibu swali lililokuwa linauliza Upungufu wa Vyoo Kwenye zahanati..

"Wabunge hapa wameuliza kuhusu vyoo na wewe (Naibu Waziri Dugange) kwenye majibu yako ukatoa majibu, nafikiri kwa nchi yetu tulipofikia ni mahali ambapo hatutakiwi kuwa tunazungumza vyoo kwenye zahanati, choo kimoja pale vyoo viwili pale, serikali inafanya kazi sana na kuna mambo mengi sana ya kujibu na Kuyaongelea na hakuna sababu ya kujadili vyoo humu ndani," - Spika wa Bunge, Dkt @TuliaAckson

HIli jibu limefanya niendelee kuona Huenda bunge letu linaweza kurejea kwenye ajenda maalumu za kitaifa kuliko kujadili Vitu ambavyo wananchi wanaona havina msingi
View attachment 2904864
Kwaiyo spika anataka watu wakienda mahospitalini WASINYE?
 
"Wabunge hapa wameuliza kuhusu vyoo na wewe (Naibu Waziri Dugange) kwenye majibu yako ukatoa majibu, nafikiri kwa nchi yetu tulipofikia ni mahali ambapo hatutakiwi kuwa tunazungumza vyoo kwenye zahanati, choo kimoja pale vyoo viwili pale, serikali inafanya kazi sana na kuna mambo mengi sana ya kujibu na Kuyaongelea na hakuna sababu ya kujadili vyoo humu ndani," - Spika wa Bunge, Dkt @TuliaAckson
Huyu mama anaongea kama vile huwa haendi choo,

Kule Chato kuna choo cha shule kimezungushiwa mizigo ya nyasi
 
Ajaribu kukaa kutwa nzima bila kwenda chooni halafu atajua kama choo ni muhimu au la,haya mambo ya kupeana vyeo baada ya kupeana naniliu ndiyo shida yake.
 
Mambo ya muhimu ni kununua Ndege mpya ya viongozi, misafara ya Makonda, kuongeza Kodi, kuwalipa pension wake wa viongozi and other nonsense.

Vyoo, madawati na shule ni kazi ya wahisani hiyo haiwahusu serikali. Miaka 60 baada ya uhuru bado nchi inapewa misaada ya vyoo.
 
Huyu mama anaongea kama vile huwa haendi choo,

Kule Chato kuna choo cha shule kimezungushiwa mizigo ya nyasi
Hapana,
YUko sawa..
Aliye Uliza anaweza akawa sawa na kapeleka hoja Sawa na Kauliza swali lililo sawa ila Tatizo Jukwaa alilopekeka Hoja Yake sio sawa!

Kama angepeleka kwenye Baraza la Madiwani ambapo Yeye (Mbunge) ni Mjumbe Huko lingediskasiwa na kupatiwa ufumbuzi..

Kwa sababu Bunge tayari lilishatunga sera ya afya ya Vyoo na Kuna Sera kujenga Vyoo matundu 8 kwa kila kituo cha taasisi..

Kama angelipeleka Baraza la halmashauri (Madiwani), Wangelichambua na Mkurugenzi kupitia kwa Meya Wangekutatua ..

Ila bunge sio sehemu ya maswla madogo kama hayo..

SHIDA KUBWA SINA UHAKIKA NA WABUNGE WA SASA KAMA WANAULEWA HASA NI HOJA GANI ZIWASILISHWE BUNGENI NA ZIPI ZIPELEKWE HALMASHAURI
 
Hayo ameyasema leo wazi Ikiwa ni muendelezo wa kile kinacholalamikiwa na Wananchi kwa wabunge kuuliza maswali mepesi Bungeni huku maswali magumu na ya Kimaendeleo wakiyaacha na kuogopa kuyauliza ....

Spika Dkt Tulia ameongea Hayo baada ya waziri Dugange kujibu swali lililokuwa linauliza Upungufu wa Vyoo Kwenye zahanati..

"Wabunge hapa wameuliza kuhusu vyoo na wewe (Naibu Waziri Dugange) kwenye majibu yako ukatoa majibu, nafikiri kwa nchi yetu tulipofikia ni mahali ambapo hatutakiwi kuwa tunazungumza vyoo kwenye zahanati, choo kimoja pale vyoo viwili pale, serikali inafanya kazi sana na kuna mambo mengi sana ya kujibu na Kuyaongelea na hakuna sababu ya kujadili vyoo humu ndani," - Spika wa Bunge, Dkt @TuliaAckson

HIli jibu limefanya niendelee kuona Huenda bunge letu linaweza kurejea kwenye ajenda maalumu za kitaifa kuliko kujadili Vitu ambavyo wananchi wanaona havina msingi
View attachment 2904864
VYOO vya kariakoo, mitaa ya Masji quiblaten,kipata, Mtaa wa Nyamwezi pale karibu na duka la Woiso leather , Narungombe kote huko kumejaa kinyesi barabarani, mheshimiwa hizi tukajadilie wapi?
 
VYOO vya kariakoo, mitaa ya Masji quiblaten,kipata, Mtaa wa Nyamwezi pale karibu na duka la Woiso leather , Narungombe kote huko kumejaa kinyesi barabarani, mheshimiwa hizi tukajadilie wapi?
Kila halmashauri ina meya na Kila halmashauri ina Baraza la madiwani mwamuzi wa Kesi za kimitaa au Zilizo kwenye Hizo sehemu Ni Baraza la.madiwani..
Na Mbunge ni mmoja wa wajumbe Huko..
Na litaamuliwa na Mkurugenzi atapewa maelekezo nini cha kufanya
 
Sasa kama viti maalum ufahamu wao ndio upo hivyo, suala la kubadili picha ya Rais kwenye hela ni suala la Bunge au BOT?
🤣🤣🤣
Wanabahati Sana Waziri Mkuu wamemkuta Mpole na ana Majibu mazuri..
Wangemkuta Waziri Kichaa kama Pinda majibu yake sijui yangekuwaje
 
Back
Top Bottom