Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili

Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili

Mtu anayesaidia kufichua uovu, anaambiwa mtovu wa nidhamu. Mmeona tulipofikia? Kuanzia spika and co. wanajiona miungu watu.

Mpina pekee hatoshi kupambana na hawa mahalamia. Wanzania hatubebeki, ilitakiwa tumpe sapoti shujaa wetu.

Kungekuwa na mgombea binafsi wa Uraisi, Mpina ningemfanyia kampeni nchi nzima. Hivi tunashindwa nini kwenda bungeni tukampe kashikashi betina akili imkae sawa.
wananchi wanajua cha kufanya na watafanya muda si punde... ingependeza sana wampe speaker joto ya jiwe kwa style inayo akisi wadhiwa wake... labda watafanya muda si mrefu.
 
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameelekeza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumhoji mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa madai ya utovu wa nidhamu...
Mimi nasema Mpina alikuwa sahihi kuwapa waandishi ile taarifa. Angekaa kimya spika ange funika kombe.
Niseme tuu kwamba Ccm ni michaka cha kulindana. Hata sasa wana tafuta jinsi ya kuonyesha ushahidi wa Mpina hauji toshelezi.
 
Mpina amefanya kosa kubwa sana ni dharau alikuwa na haraka gani kupeleka kwa spika halafu kabla halijaongelewa bungeni unawahi kuhutubia yaani kadharau kiti huyo apigwe bun vikao 20 vya bunge
 
Speaker anaanza kutumia madaraka yake vibaya, halafu trick yao moja wote kujaribu kuwapa hekaheka watu wanaojaribu kufichua uovu.

Kazi ya mmbunge ni kuisimamia serikali yeye speaker anadhani wabunge wapo pale kufanya maigizo.

Nyaraka za Mpina zinakuwaje taarifa zilizotayarishwa na bunge, huyu Betina nae mtu hovyo kweli.
Ukimsikiliza hadi mwisho, ni kama ameuruka huo mtego na kuwarushia Kamati ya Bunge wachafuke mikono wentewe.

Muda wote aliokuwa akifanya uwasilishaji sauti yake ilitawaliwa na kitetemeshi, kitetemeshi hicho kilianza kwa kujificha, lakini kila alipoendelea kilisikika dhahiri.

Hapo kuna pande mbili, upande mmoja Serikali na upande mwingine ni Mpina.

Cha kushangaza Spika akijua hili swala lipo mezani na bunge linashughulikia anasikika kwa sauti yenye kitetemeshi kikali akiishukuru serikali. Hapo tayari Mpina ameshanyingwa.
 
Ukimsikiliza hadi mwisho, ni kama ameuruka huo mtego na kuwarushia Kamati ya Bunge wachafuke mikono wentewe.
Muda wote aliokuwa akifanya uwasilishaji sauti yake ilitawaliwa na kitetemeshi, kitetemeshi hicho kilianza kwa kujificha, lakini kila alipoendelea kilisikika dhahiri...
Hajitambui huyo, hoja za kujibiwa na serikali; anazipeleka kamati ya haki na maadili wachunguze.

Halafu anaishukuru serikali kukaa kimya, wakati kazi ya bunge kuisimamia serikali. Mambo kama hayo wanatakiwa wayatolee majibu, yeye anasema wanabusara kukaa kimya.

Inamaana hapo bungeni wanaenda kupiga soga tu sio kuiweka serikali accountable.
 
Niko nje ya biti kidogo kwani mpina amekosea nini mpaka aburutiwe kwenye kamati ya nidhamu
 
Haya sasa wale wanaonunua sukari kwa kadi za kijani meno nje nje. Wengine Mpina wetu kaburuzwa kamati ya nizamu etiii😭😭😭😭
 
Spika kaagiza kamati kupokea vielelezo vya Mpina, kuvichunguza na kutoa Taarifa yake tarehe 24/06.

Swali, tulitaka Mpina akishatoa vielelezo tu, spika atangaze Hukumu? Au ana wajibika kupitia Taarifa ya pande zote kwanza kwa utaratibu maalumu kama alivyofanya?
 
Ila na sisi raia tuna mihemko! Hivi hatuoni kosa la Mpina kweli kwenye hii kadhia? Alikuwa na haraka gani kutoa zile nyaraka kabla hata Spika hajazipitia? Kwa nini asingewapa muda ili wafanye watakayofanya naye ndiyo atoke hadharani?

Sasa ushahidi wote kameuvuruga, kalikuwa kamemshika kwenye kalio, kangetulia kidogo tu alikuwa anauvaa mkenge, sasa amepata pa kujifichia. Ushahidi ulikuwa mzuri sana na alikuwa amejitahidi kukusanya taarifa sasa amevuruga kila kitu!
 
Mimi nasema Mpina alikuwa sahihi kuwapa waandishi ile taarifa. Ange kaa kimya spika ange funika kombe.
Niseme tuu kwamba Ccm ni michaka cha kulindana. Hata sasa wana tafuta jinsi ya kuonyesha ushahidi wa Mpina hauji toshelezi.
Au pia angemgeuzia Mpina kibao na kusema akileta vielelezo vya uwongo. Mpina akawa mjanja, aliliona hili mapema
 
Back
Top Bottom