Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili

Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili

Uko sahihi unajua SIASA ni mchezo mchafu sana
Siku zote unatafutiwa Upenyo kidogo Kisha unasurubiwa ikiwa unapenda HAKI HAKI inageuzwa kosa
Kama utakuwa umesikiliza Hiyo CLIP kwa umakini na ukaelewa utakubari ni kweli MPINA aliteleza kidogo na kufikisha kwenye kamati ya maadili kuhojiwa Hilo jambo la utovu wa nidhamu SPIKA hajamuonea ametumia muongozo na kanuni za bunge na ameelezea vizuri kabisa kosa la MPINA lipo wapi ni vile tu wengi tuna Chuki na CCM na huyu SPIKA(mm pia ni Moja wapo kati ya nisioipenda CCM BETINA MADELU BIBI TOZO yaan hao siwapendi hata kuwasikia sitaki) ndo mana tunajifanya hatuoni kosa la MPINA
MPINA alitakiwa we na SUBRA kidogo baada kuapatiwa majibu ya ushaidi wake ndo angekutana na waandishi
Kwa ninavyomjua huyu BETINA na roho mbaya yake ndo mana hanenepi lazima ampige na kitu kizito MPINA na pia kutumia mwanya huo kumsafisha yule msomali mjingmjinga BASHE ambaye kabla alikuwa moto kama MPINA ila baada kula teuzi tu akaanza USANII
Kwannani asiyejua kama BASHE anafanya biashara kubwa kwenye sekta ya kilimo
Bwana mdogo BASHE anahisi watanzania wote wajinga siyo Yale anayofanya kwenye SEKTA YA KILIMO hatuyaoni
Uko sahihi mkuu! Mpina ajilaumu mwenyewe na papara zake! Alikuwa amewashika vizuri, sasa kupelekwa kule kwenye kamati ndiyo amejimaliza kabisa hatoboi! Pamoja na raia wengi kusema anefanya vizuri maana tusingejua, sasa swali la kujiuliza, ndiyo tumejua alichoandika tunakifanyia kazi gani? Tuna msaada wowote tunaweza kumpa Mpina? Hii hadithi ndiyo imeishia hapo!
 
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameelekeza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumhoji mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa madai ya utovu wa nidhamu.

Akitangaza uamuzi huo bungeni jijini Dodoma leo Jumanne, Juni 18, 2024 Dk Tulia amesema kuwa Mpina amedharau mamlaka ya Spika na Bunge kwa kufanya vitendo vya utovu wa nidhamu.

Awali, Mpina alipewa wiki moja kuwasilisha ushahidi wake baada ya kulieleza Bunge kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amelidanganya bunge katika sakata la uagizaji wa sukari.

PIA SOMA

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
 
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameelekeza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumhoji mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa madai ya utovu wa nidhamu.

Akitangaza uamuzi huo bungeni jijini Dodoma leo Jumanne, Juni 18, 2024 Dk Tulia amesema kuwa Mpina amedharau mamlaka ya Spika na Bunge kwa kufanya vitendo vya utovu wa nidhamu.

Awali, Mpina alipewa wiki moja kuwasilisha ushahidi wake baada ya kulieleza Bunge kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amelidanganya bunge katika sakata la uagizaji wa sukari.

PIA SOMA

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Bunge ni chombo cha kutunga Sheria, lakini na lenyewe linatii Sheria?
 
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameelekeza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumhoji mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa madai ya utovu wa nidhamu.

Akitangaza uamuzi huo bungeni jijini Dodoma leo Jumanne, Juni 18, 2024 Dk Tulia amesema kuwa Mpina amedharau mamlaka ya Spika na Bunge kwa kufanya vitendo vya utovu wa nidhamu.

Awali, Mpina alipewa wiki moja kuwasilisha ushahidi wake baada ya kulieleza Bunge kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amelidanganya bunge katika sakata la uagizaji wa sukari.

PIA SOMA

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Tukisema anatumika kuzima hoja nzito na ya maslahi kwa nchi ataweza kupinga?
 
Mtu anayesaidia kufichua uovu, anaambiwa mtovu wa nidhamu. Mmeona tulipofikia? Kuanzia spika and co. wanajiona miungu watu.

Mpina pekee hatoshi kupambana na hawa maharamia. Watanzania hatubebeki, ilitakiwa tumpe sapoti shujaa wetu.

Kungekuwa na mgombea binafsi wa Uraisi, Mpina ningemfanyia kampeni nchi nzima. Hivi tunashindwa nini kwenda bungeni tukampe kashikashi spika akili imkae sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Rango ana kibri kwa kuwa ni bufa linalopiga dunia nzima, woiiiiih
 
Wahuni wanatapanya fedha za umma kupitia sukari n.k. wengine wameuza bandari madini na bahari pamoja na mapori eti kusema haya wapo watu wanaakili mgando kueleza umma eti NI kuhatarisha USALAAMA wa nchi.
Watu wanaosema hayo NI wale wanaonufaika na mfumo na nahawataki wasemwe
Tanzania kikundi kinachotafuna nchi kimeshaota mizizi na hakigusiki ukigusa Tu unashambuliwa Kila Kona

Nitawatajia mambo machache kuionesha hayo
  • ushahidi aliotoa mpina vyombo vingi vya habari vipo kimya
  • alipoitwa kwenye kamati Yule anayeitwa kitenge cha kuvaa akaandika habari hizo
Binafsi Mimi naishukru jamii forum inatusaidia kufikisha ujumbe kwenye jamii
Hao aanaoitwa waandishi kwa sasa wanefichwa mfukoni kwenye serikali hii wanebaki kusengenya marehemu ambaye alishaondoka miaka mitatu iliyopita.
 
Hii nchi inabidi ipigwe na ghariaka kama la NUHU, tufe wote, Taifa lianze upya.
 
Hii nchi inabidi ipigwe na ghariaka kama la NUHU, tufe wote, Taifa lianze upya.
Siungi Mkono hoja hii.
===
Napendekeza wanaokiuka sheria za nchi washughulikiwe kwa mujibu wa sheria zetu bila kuonekana haya!
 
Siungi Mkono hoja hii.
===
Napendekeza wanaokiuka sheria za nchi washughulikiwe kwa mujibu wa sheria zetu bila kuonekana haya!
Hakuna wa kumshughulikia mwenzie. Kwa sasa Taifa lina makundi mawili kuna wao na rai.
 
TZ hatuna Bumge bali tuna kikundi cha watu kilichopora uchaguzi na kujipa madaraka.

Mwacheni mpigania haki za wanyonge.
 
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameelekeza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumhoji mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa madai ya utovu wa nidhamu.

Akitangaza uamuzi huo bungeni jijini Dodoma leo Jumanne, Juni 18, 2024 Dk Tulia amesema kuwa Mpina amedharau mamlaka ya Spika na Bunge kwa kufanya vitendo vya utovu wa nidhamu.

Awali, Mpina alipewa wiki moja kuwasilisha ushahidi wake baada ya kulieleza Bunge kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amelidanganya bunge katika sakata la uagizaji wa sukari.

PIA SOMA

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
HUSSEIN BASHE akiwa Naibu Waziri wa Kilimo mwaka 2020 walitunga sheria kulinda viwanda vya sukari nchini,Nleo amekuwa Waziri kamili bila aibu na sijui kwa kuwadharau wabunge na watanzania kapeleka mabadiliko ya sheria bungeni ili kesho waipitishe kuruhusu kampuni za stationery, vikampuni vya uchochoroni, vikampuni vya simu za Aitel kwa Mgongo wa Mlezi wake wa Gesi kupewa vibali vya kuagiza sukari, Wabunge wetu hii sheria muitazame kwa makini msikilizeni Mhe Mkenda akiwa Waziri wa Kilimo
 

Attachments

  • VID-20240624-WA0010.mp4
    19.7 MB
HUSSEIN BASHE akiwa Naibu Waziri wa Kilimo mwaka 2020 walitunga sheria kulinda viwanda vya sukari nchini,Nleo amekuwa Waziri kamili bila aibu na sijui kwa kuwadharau wabunge na watanzania kapeleka mabadiliko ya sheria bungeni ili kesho waipitishe kuruhusu kampuni za stationery, vikampuni vya uchochoroni, vikampuni vya simu za Aitel kwa Mgongo wa Mlezi wake wa Gesi kupewa vibali vya kuagiza sukari, Wabunge wetu hii sheria muitazame kwa makini msikilizeni Mhe Mkenda akiwa Waziri wa Kilimo
Billion 500 ni nyingi Jamaa kaamua kujiuza
 
Back
Top Bottom