Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

Mkuu mambo ya kudhani anatoka nchi maskini, colonized yametoka wapi? Kwanini anatembea na mentalitu hii?

Watu wengi sana wanaenda Ulaya kufanya kazi na shughuli zingine hatimaye huwa hawafikii malengo kwa sababu kama hizi za Dr Tulia.

Akiona wazungu wamekusanyika wanakula ana hisi wanamtenga kwa sababunyeye ni Mwafrika wakati hawakumzuia. Vitu vidogo kama kula tu vinamtoa kwenye reli.

Yes!
Yaani mtu anaanza kujikataa yeye mwenyewe ndani yake kisaikolojia.
Ukijitambua huhutaji approval toka kwa mtu yeyote na utakuwa Huna hizo emotional outburst za kushangaza watu hivyo.
Everything begin within you.
Self love, self care, self approval etc
 
Hii sentensi hata kwangu niliiona kama haikuhitajika kwenye majibu yake, ila kwingine majibu yaliwafaa tu...
Kwanza humu jukwaani nani aliwahi kumuona mkoloni
Kha, mambo mengine bwana
 
Dunia sasa imeelewa matatizo tunayokumbana nayo ya uongozi wa juu, kuweka Ke.
Marekani isifanye kosa kuimpa nchi Ke.
 
IPU sio kama lile Bunge letu la Dodoma. Huko lazima anyukwe maswali na ajiandae kikao cha pili maana wamekwisha mjua ni mtu wa emotions na lazima wamchokoze huko mbeleni


Ni kweli 😆😆
Kule Watu wana akili kubwa sana na sio kina Msukuma na yule mgogo wenye kujua kusoma na kiandika kama sifa ya kuwa ubunge Tanzania
Vilaza.
Halafu wasomi wengine wabongo ni wanafiki na machawa.
Mfumo wetu wa elimu unahitajika maboresho makubwa sana.
Msomi hajui kuibua hoja , hajui kujenga hoja, hajui kupangua hoja kwa hoja ni huzuni kwa kweli.
Akiulizwa maswali anawaka na kutishia watu.
Hata kwenye ofisi za umma ni hivyo hivyo.
Wakuu wa vitengo na idara ni wadhaifu, hawataki kuulizwa maswali, ukiwamuuliza maswali wanakuchukia, wanakuundia zengwe.
Wanakuona ni threat.

wasomi wengi wamefuzu masomo kwa kudesa vyuoni ndio maana Hawana ile mindset transformation.
Ni Watu wa hewala hewala tu.

Ndio maana tija na ufanisi wa kazi kwenye taasisi za umma sio wa kuridhisha.
Kwanza upatikanaji wa Viongozi ni shida kubwa .
 
Mleta uzi uko kwenye siku zako? Ungekuwa unajua kiingereza vizuri ungeelewa jinsi muuliza swali alivyouliza swali katika namna ya kukera mno. Eti ulijisikiaje kwenda kushikana mkono na gaidi la vita Putin? Ni swali la kukera sana. Angeulizwa Mbowe angejibu "Bro sumu haionjwi"...
Nionyeshe kejeli Kwa spika hapa
 
Siku ilivyokuwa kuanzia dakika ya mwanzo Rais akiwakaribisha wabunge wa kikao cha 149 mwaka 2024

Mkutano wa 149 wa IPU uliofanyika Geneva, Uswisi, tarehe 13-17 Oktoba 2024.

Bunge linaanza kwa Rais Dr. Tulia Ackson akifungua kikao na kusema dunia nzima inatutizama na inatutegemea kuhusu amani dunia na jumuiko letu leo linaneba jukumu zito kuja na azimio kuhusu amani :


View: https://m.youtube.com/watch?v=T5jXc99xYI8

Maswali na majibu : Mashirika yote ya kisheria ya IPU, (Governing Council) Baraza la Uongozi, Kamati za Kudumu, Kamati za Haki za Kibinadamu za Wabunge na Maswali ya Mashariki ya Kati hoja za wabunge kutoka UAE, Kuwait, Ukraine, Russia, Turkey kususia mjumbe wa Israel ....majibu ya Rais Dr. Tulia Ackson... kuhusu mambo mbalimbali yaliyoibuliwa na wabunge n.k n.k

Asante sana Bagamoyo nimepata ujumbe wote kwa ujumla wake.
 
Mleta uzi uko kwenye siku zako? Ungekuwa unajua kiingereza vizuri ungeelewa jinsi muuliza swali alivyouliza swali katika namna ya kukera mno. Eti ulijisikiaje kwenda kushikana mkono na gaidi la vita Putin? Ni swali la kukera sana. Angeulizwa Mbowe angejibu "Bro sumu haionjwi"...
Who mandated you to vist Russia? Hili swali limeulizwa na Mbunge kutoka Lithuania.

Angetakiwa kujibu tu kama alivyojibu Mwakilishi kutoka Iraq and it was enough.

Swala la kusema sijui wame mcrucify inaonesha ana dhana mbaya dhidi ya wauliza maswali.
 
Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.

Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.

Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.

Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.

Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.

Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.

Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Hivi hakuita Ma Askari wa Wabunge la IPU kuja kumtoa huyo Mbunge wa Lithuania alilomuuliza lile swali ?
Je atakuwa na mamlaka ya kumhukumu na kumfungia asishiriki tena vikao vya IPU ? 🤣🤣🤣
 
Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.

Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.

Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.

Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.

Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.

Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.

Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Amezoea huku kwetu na alidhani hata huko kwingine ni hivyo pia, siyo?
 
Back
Top Bottom