Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Kuwepo hapo ukumbini kwa nafasi ya rais peke yake ni heshima kubwa kwa Tanzania nzima. Punguzeni huo wivu wa kike, aliyepewa kapewa.!
Issue sio tu mtu kuongea lakini lakini ni je anaongea hoja gani yenye mantiki gani zidi ya mtoa hoja ?!
Tumpe heshima gani wakati yeye hana heshima? Acha kutetea upumbavu mkuu.Tumpe heshima yake, chuki na wivu kwa umahiri alionao havitusaidii chochote.
Huyo ni Rais wa bunge la dunia IPU, wewe unaandika malalamiko yako kwa ID ya bandia, nani mpumbavu kati ya wewe na yeye?.Tumpe heshima gani wakati yeye hana heshima? Acha kutetea upumbavu mkuu.
We are easy to judge on 5 minute video,we expect someone to be perfect,strong and resilient while we are only humans. Yaani sisi binaadamu ambao sio viongozi turuhusiwe kupanik lakini akipanic kiongozi tunamuona kama robot sio binaadamu.Politely. Hatujui anakutana na mangapi yasiyoonyeshwa kwenye youtube na mitandao mingine.
Akili zetu zenye kutazama kufeli tu siku zote haziwezi kuturuhusu kumhukumu kiongozi kwa haki.We are easy to judge on 5 minute video,we expect someone to be perfect,strong and resilient while we are only humans. Yaani sisi binaadamu ambao sio viongozi turuhusiwe kupanik lakini akipanic kiongozi tunamuona kama robot sio binaadamu.
Anataka kumponda Tulia kwa hotuba ya dakika tano. Anasahau kuwa alipigiwa kura na asilimia kubwa ya watu waliojaa kwenye huo ukumbi, hao wanaompigia makofi ndio wenye kumpa mandate ya kuongoza.Spika wetu yuko vizuri sana. Wazungu walitaka kumpiga changa la macho, aliwajibu vizuri. Issue ya inferioty complex ni mawazo yako. Ila viongozi wetu wajiamini km baba wa Taifa.
Sio wazungu tu, hata wakina MadelekaWazungu wakijuq unahizo mentality watakuwa wanakujaza kila wanapokuona ili upoteze mwelekeo.
Kikubwa ni kujibu hoja na kutoa mwelekeo sio kujitetea na kuhisi watu hawakuheshimu.
Nilimuelewa ila kama na wewe nakuelewamo.
Chawa wengi mpaka kwa Tulia, waache tu.Tumpe heshima gani wakati yeye hana heshima? Acha kutetea upumbavu mkuu.
Mpumbavu ni wewe unayetetea mpimbavu mwenzako.Huyo ni Rais wa bunge la dunia IPU, wewe unaandika malalamiko yako kwa ID ya bandia, nani mpumbavu kati ya wewe na yeye?.
Unalipwa kutetea huo udhaifu mkubwa aliounyesha?Anataka kumponda Tulia kwa hotuba ya dakika tano. Anasahau kuwa alipigiwa kura na asilimia kubwa ya watu waliojaa kwenye huo ukumbi, hao wanaompigia makofi ndio wenye kumpa mandate ya kuongoza.
Sasa kwa akili zetu za kibongo, wote hao hawana akili ila sisi humu jukwaani ndio wenye akili nyingi!.
Kuwepo hapo ukumbini kwa nafasi ya rais peke yake ni heshima kubwa kwa Tanzania nzima. Punguzeni huo wivu wa kike, aliyepewa kapewa.
Mapovu yanakutoka bila sababu za msingi. Unataka kumdharau spika wa bunge la dunia wakati wewe ndiye unayestahili kudharaulika.Mpumbavu ni wewe unayetetea mpimbavu mwenzako.
Dunia nzima inamuunga mkono isipokuwa sisi humu jukwaani ndio tunaouona udhaifu wake!.Unalipwa kutetea huo udhaifu mkubwa aliounyesha?
Spika amejitengenezea mazingira ya kuheshimiwa na hao hao wabunge waliomuona dada mweusi wakaanza kuuliza maswali kwa nia ya kumtoa relini, wamekutana na chuma cha kinyakyusa.Lengo ni zaidi ya hiyo heshima unasemea wewe.
Jibu kwa hoja na sio kujificha kwenye kisingizio cha wivu hayo ni Maneno ya wasio na hoja.
Aliyeuliza maswali alifikiria? Au we umesikia majibu tu bila kujaua maswali yalitaka Nini. Huenda hatuelewaniUkiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.
Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.
Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.
Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.
Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.
Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.
Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Vijana wa Mbowe hao chuki zimewajaa vifuani mwao.Aliyeuliza maswali alifikiria? Au we umesikia majibu tu bila kujaua maswali yalitaka Nini. Huenda hatuelewani
Hebu tuwekee swali Moja hapa lililoulizwa
Anaongea mambo ya ukoloni sijui kutoka Afrika badala ya kujibu alichoulizwa ππππ
Ukichunguza sana alifeli Kwa sababu anakawa anahisi anaulizwa as personal wakati anaulizwa kama Rais wa IPU.
Hili ni tatizo la saikolojia Kwa Wanawake Huwa wanadhani unamshambulia personality yake ππ
Mapovu yanakutoka bila sababu za msingi. Unataka kumdharau spika wa bunge la dunia wakati wewe ndiye unayestahili kudharaulika.