Wachina, Warusi, Cuba, Waarabu, Korea Kaskazini, Venezuela, Iran na Waafrika nao wako huko IPU??Lakini ameshangiliwa sana sana! Yale makofi ni ishara wale wazungu wamekunwa vilivyo na majibu yake.
Alidhani wale ni wabunge wakupita bila kupingwa?Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.
Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.
Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.
Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.
Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.
Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.
Ndiyo shida ya kuwa na viongozi wa jinsia ke. Unapohoji au kutaka maelezo ye anafikiri wanamdharau. Why?
Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.
shirikisho la umoja wa mabunge duniani unakosekanaje uwakilishi wa nchi hizo 🐒Wachina, Warusi, Cuba, Waarabu, Korea Kaskazini, Venezuela, Iran na Waafrika nao wako huko IPU??
!Alijua wauliza maswali ni kina Babu Tale.
Basi atapata tabu sana.Kabisa sababu ya inferiority complex problem.
Wanaanzaga kujiona dini wao wenyewe ndani yao kisha wana-panic ambapo hapastahili.
Nimecheka anasema eti msilete mambo yakikoloni sikuelewa ukoloni umeingiaje
muuliza swali mwenye mihemko sana wa Ukraine ndie pekee alikua kakasirishwa na Dr Tulia kuitembelea Rusia vinginevyo ni upotoshaji 🐒spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau. Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo.Wewe umejuaje kuwa hawakuwa wanamdharau?pia umejuaje kuwa hawakutaka na hawakuwa na mawazo hayo? kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa unavyoona wewe ni sawa na alivyoona spika haikuwa sawa...?
Basi atapata tabu sana.
Angejibu kwa hoja
wale hawajatishika isipokuwa mshangao na hawatakuja chagua mjinga wanamna yake Toka afrika....na alimjibu kwa kumlipua kama alivyo uliza kwa ufasaha na kimamlaka kweli kweli, hadi wabunge wengine wakatishika na kuingiwa baridi kabisa 🤣
Nimezungumzia majority.Wachina, Warusi, Cuba, Waarabu, Korea Kaskazini, Venezuela, Iran na Waafrika nao wako huko IPU??
Akiongea kwa upole mtasema hajiamini na anatetemeka ila akifoka mnasema inferiority.
Kwani ni uwongo kwa ule ushenzi anaofanya Putin kule Ukrain anakosaje kuwa gaidi?Mleta uzi uko kwenye siku zako? Ungekuwa unajua kiingereza vizuri ungeelewa jinsi muuliza swali alivyouliza swali katika namna ya kukera mno. Eti ulijisikiaje kwenda kushikana mkono na gaidi la vita Putin? Ni swali la kukera sana. Angeulizwa Mbowe angejibu "Bro sumu haionjwi"...
ALIPASWA KUJIBU AKIWA CALMspika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau. Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo.Wewe umejuaje kuwa hawakuwa wanamdharau?pia umejuaje kuwa hawakutaka na hawakuwa na mawazo hayo? kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa unavyoona wewe ni sawa na alivyoona spika haikuwa sawa...?