Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.

Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.

Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.

Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.

Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.

Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.
Alidhani wale ni wabunge wakupita bila kupingwa?
 
Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.

Nilitaka kuliandikia uzi hili, lakini imekuwa vyrma kuona nawe umekuwa na fikra kama nilizokuwa nazo...

Nimekuwa nikisikia watu wakimsifia ndugu yangu Tulia, lakini kwa kweli hata yeye akitulia na akajisikiza atagundua hakutuliza akili kuweza kuwakabili wale waliomsukumia maswali ambayo majibu yake yalihitaji facts tu na si vinginevyo...
 
spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau. Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo.Wewe umejuaje kuwa hawakuwa wanamdharau?pia umejuaje kuwa hawakutaka na hawakuwa na mawazo hayo? kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa unavyoona wewe ni sawa na alivyoona spika haikuwa sawa...?
muuliza swali mwenye mihemko sana wa Ukraine ndie pekee alikua kakasirishwa na Dr Tulia kuitembelea Rusia vinginevyo ni upotoshaji 🐒
 
Me nilitaka kusema ivo ivo kwa ule unyama aliyofanya dikteta putin kule Ukrain
yule muuliza swali aliuliza vzr na swali sahih kbs ila nashangaa tulia alipanic na kutokujib swali aliloulizwa
 
Basi atapata tabu sana.


Hata mimi nimefikiria hivyo.
Wazungu wengi - Genius na mtu yeyote mwenye akili kubwa kuhoji mambo ni sehemu ya maisha yake, sasa unapofanya nae kazi au kwenye mazingira yake ujipange kukabiliana na maswali magumu na ujue kujibu kwa usahihi badała ya kufokafoka haisaidii.
 
Akiongea kwa upole mtasema hajiamini na anatetemeka ila akifoka mnasema inferiority.

Hapana,
Kama una hoja ukiongea kwa utulivu ( Calm mind) tena ndio utajiwekea heshima kubwa sana.
Mojawapo ya maturity na kuwa great person ni pamoja na kuwa emotional stability wakati wote.
Emotional instability is a weakness before understanding people.
 
Mleta uzi uko kwenye siku zako? Ungekuwa unajua kiingereza vizuri ungeelewa jinsi muuliza swali alivyouliza swali katika namna ya kukera mno. Eti ulijisikiaje kwenda kushikana mkono na gaidi la vita Putin? Ni swali la kukera sana. Angeulizwa Mbowe angejibu "Bro sumu haionjwi"...
Kwani ni uwongo kwa ule ushenzi anaofanya Putin kule Ukrain anakosaje kuwa gaidi?
 
spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau. Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo.Wewe umejuaje kuwa hawakuwa wanamdharau?pia umejuaje kuwa hawakutaka na hawakuwa na mawazo hayo? kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa unavyoona wewe ni sawa na alivyoona spika haikuwa sawa...?
ALIPASWA KUJIBU AKIWA CALM

KAFELI BIG TIME
 
Back
Top Bottom