Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

Soon atakuwa Naibu Rais wa nchi Jirani,walimchomoa
 
Leo ndo nmejua watu wachawiπŸ˜…πŸ˜…
Sasa hata kama kaongea kwa hasira au wamtoe wampe kiti mtu mwingine.. wewe huku Tz unaumia nini? πŸ˜…πŸ˜… hivi ni kwamba hatuna kabisa mambo mengine ya msingi yakuzingatia mpaka tunaombeana balaa waziwazi?
Kama unaona ana hasira peleka maombi wewe mwenye mawazo mapana ukawe Rais kwa niaba yake🀣🀣
Ujinga hautoisha hii nchi
 
Tatizo ni kupanic lakini ameweza kujielezea...sema kahasira ka kinyakyusa kanatuponza...tunahemka haraka sana
Nikikuambia tukutane Magholofani hutaki. Sio lile la uyole ya kati lakini.

Kuna majibu yalihitaji tone ile aliyokuwa nayo kwenye baadhi ya maelezo. IPU haijawawekea vikwazo bunge la Russia wala Ukirene. Ila kuna taratibu za kutembelea maeneo yanayopigana. Mojawapo ikiwa ni muhimu kutembelea pande zote mbili.
 
Uchambuzi murua tumefikiri kwenye angle moja.
Infact unaweza mtizama kama shujaa Kwa namna alivyoshambulia Kwa jazba.
Ila mimi,
Nimeona haya kuwa ule uendeshaji wa bunge kibabe Kwa kutiisha watoa mada anataka kuuendeleza huko.
Nimeona aibu sana Kwa kuendekeza 'opinion' mfano hayo maneno ya 'colonized'
Nimeona aibu mimi namna Dunia inavyotutazama wa Africa tabia tulizonazo Kwa kushika madaraka makubwa.
Nimeona aibu
 
Aisee🀣🀣 watu mna negativity sijawahi ona!
Et wazungu wanajua kuanzisha hoja ni ma- genius humpima mtu kwa uwezo wa kufikiri🀣🀣 yani mmekua wasemaji wao!
Mara kingereza cha tukuyu mara inferiority🀣🀣🀣
Aisee !!! Kwa akili hizi wasiojulikana hawatoisha
 
Seriously Kuna mambo kaongea yanaleta kinyaa eti mniheshimu.. kwani nani pale IPU hamfanyii dignity treatment??
 
With other dignity , the same dignity , kweli Tulia kichwani mweupe ,

Eti alisoma KLF sijui ?!

Kuna jamaa walisoma nae jamaa yeye akiwa combination nyingine akasema hiyo combination walikuwa wakiwaita Kula, Lala na Faulu 🀣🀣🀣
 

Hamna mchawi labda uchawi wake mwenyewe, na hamna mtu anaumia kwa lolote wala kumtakia yoyote balaa, tunaongea kuhusu mwakilishi wa nchi! Na sio ujinga kuhoji km kajibu alichoulizwa au la ujinga ni kusupport ujinga kama huu, ukishakuwa public figure ni lazima uwe scrutinized kila hatua unayopita kama unaumia wewe unaweza kwenye kwnye nyuzi za kulana kwa masikhara ukaacha hii debate kwa wenye ufahamu. Sio lazima uchangie kila thread
 
Ndio ni mnyonge ndio maana akazidi kujifafanua kuwa yeye ni Mwafrika anatoka nchi maskini za chini na hadhani kama anauwezo wa kuongoza IPU.

Kifupi Dr Tulia amewapa majibu waliyokuwa wakifikiri kuhusu uwezo wake.
We umejuaje wanafikiria hivyo unavyofikiria wewe?
 
Me nilitaka kusema ivo ivo kwa ule unyama aliyofanya dikteta putin kule Ukrain
yule muuliza swali aliuliza vzr na swali sahih kbs ila nashangaa tulia alipanic na kutokujib swali aliloulizwa
Kuna sheria inayozuia viongozi wa IPU kutembelea nchi kama Russia? Mbona hawajaanza na kuwazuia wabunge wawakilishi toka Russia wasihudhurie mikutano ya IPU mpaka watakapoacha kuivamia Ukraine? IPU sio UN
 
Sijakuelewa
Main point ya maelezo haya ni nini hasaπŸ˜…πŸ˜…? Et bwana Maseke
 
kwani kukutakia pumziko la amani kuna ubaya wowote gentlemanm? au ni kitu kibaya?

au ni dhana tu imejengeka kama vile alivyowajibu wazungu wenye mihemko Dr.Tulia kwamba wanadhani alikotoka Dr.Tulia bado wako chini ya ukoloni? I was just wishing you a peaceful rest as we are approaching weekend..

For sure IPU imepata kiongozi na ataweka historia ya kipekee sana duniani..

Infact,
Dr.Tulia yupo live muda huu anaendeleza kumwaga madini duniani.

Otherwise tupo pamoja sana gentleman πŸ‘Š
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…