Spika Tulia na usomi wake wa kiwango cha PhD anataka bunge libariki kitu kama hiki?

Spika Tulia na usomi wake wa kiwango cha PhD anataka bunge libariki kitu kama hiki?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi

IMG-20230608-WA0098.jpg


yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.

Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.

Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!

Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?

Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!

Tunakwenda wapi?
 
Bado niko kwenye utafiti! kuna wasomi waliohujumiwa kiakili na kihisia miaka fulani! Nimefuatilia miaka ya tulia UDSM na South Africa. Nimegundua kuna viazi fulani walizalishwa hawana hisia yoyote ya uzalendo au umakini wa kitaaluma. Wamejazwa ubinafsi kupita kiasi PHD ni makaratasi tu.
 
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785


yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.

Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia Adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani , au wa nje, Tumepigwa pini kuvunja mkataba.

Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi , haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!

Je msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?

Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!


Tunakwenda wapi?
Tulisha waambia ccm ni janga la taifa na viongozi wake hamuelewi tu,tunatakiwa tuwaondoe kwa namna moja au nyingine,kazi kuangalia tu matumbo yao kwa sasa yaani hawaoni madhara ya baadaye kwa watoto wetu na taifa kwa ujumla
 
Daah jamaa wamejichagulia na sehemu ya kutatua matatizo maana SA wana ofisi ipo Durban na Komatiport wana bandari kavu inayopeleka Mizigo Msumbiji wamejaribu kuomba kazi kwa kaburu naona bado wanakaguliwa na baadhi ya kampuni 15 zilizoomba huu unaenda mwaka sasa...huku na Msumbiji ni kama watoto yatima wanajilia tu kwa Mikataba ya hovyo hovyo...
 
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785


yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.

Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia Adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani , au wa nje, Tumepigwa pini kuvunja mkataba.

Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi , haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!

Je msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?

Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!


Tunakwenda wapi?
Tatizo sio spika tatizo anaemteua spika ndio anamamlaka ya kupitisha au kutopitisha mikataba!!
 
Back
Top Bottom