Spika Tulia na usomi wake wa kiwango cha PhD anataka bunge libariki kitu kama hiki?

Spika Tulia na usomi wake wa kiwango cha PhD anataka bunge libariki kitu kama hiki?

Yaani uingie mikataba na kampuni/shirika ya nje halafu usuluhishi utumie Sheria zako tu!?..akili za wapi hizo!!..wekezeni hela zenu basi!!
Kwani wawekezaji wanaokuja hapa huwa tunatumia Sheria za wapi? Kuwa shirika la nje haimaanishi ndio utumie sheria za nje

Unasema weka hela? Wapo waliokubali ku-comply na hili, Hawa dp world kama wameshindwa kukubali hili tafsiri yake wana nia ovu
 
Kwa kilichomkuta Ndugai unadhani atapingana na serikali kwa lolote?
 
Kwani wawekezaji wanaokuja hapa huwa tunatumia Sheria za wapi? Kuwa shirika la nje haimaanishi ndio utumie sheria za nje

Unasema weka hela? Wapo waliokubali ku-comply na hili, Hawa dp world kama wameshindwa kukubali hili tafsiri yake wana nia ovu
Nani aliye-comply na Hilo!?..yaani u-risk hela zako kuwekeza akitokea rais mwehu Kama yule akuambie uondoke bila kufuata mkataba basi usiende mahakama ya usuluhishi kimataifa!?..mkuu ulishawahi fanya walau biashara yoyote ukaonja jakamoyo la kuwekeza!?
 
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi

View attachment 2649785

yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.

Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.

Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!

Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?

Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!

Tunakwenda wapi?
Wakishalamba asali akili inapotea. Hawana hata haya kuwaletea uchafu kama huu wananchi eti watoe mawazo yao.
 
Dp world anakuja na wafanyakazi kutoka Dubai au watatumika hawa Hawa watanzania? Naomba kujua hili
Ataajiri wachache wa hapa kwetu. Tukumbuke hawa wanakuwa na digital port, bandari ya kisasa sana na yenye utendaji wa wafanyakazi wachache lakini tija inakuwa kubwa.
 
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi

View attachment 2649785

yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.

Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.

Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!

Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?

Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!

Tunakwenda wapi?
Kumbuka Eva alimsaliti Adam kule Eden,hizi haki sawa zitatuuua.
 
Key word hapo ni “Notwithstanding” hiyo ni legal jargon inapotumika katika sentensi za mikataba; inamaanisha ili kuvunja mkataba zitatumika taratibu walizojiwekea. Taratibu ambazo zipo kwenye article 20

View attachment 2649836
Sisi tumeona hao wawekezaji wanataka kutufanya kitu mbaya. Waende kuwaambia watanzania hawataki.
 
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi

View attachment 2649785

yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.

Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.

Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!

Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?

Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!

Tunakwenda wapi?
Ili kuwekakumbukumbu sawa Spika Tulia aliwahi kuwa bodi member wa TPA.
Sasa anataka TPA ipewe mwarabu.

Ili kuweka kumbukumbu sawa Awamu ya pili babu yule aliuza eneo lote la LOLIONDO kwa Waarabu.

Awamu hii inarudi tena kwa waarabu wale wale!!!
Ili kuwekakumbukumbu sawa Spika Tulia aliwahi kuwa bodi member wa TPA.
Sasa anataka TPA ipewe mwarabu.

Ili kuweka kumbukumbu sawa Awamu ya pili babu yule aliuza eneo lote la LOLIONDO kwa Waarabu.

Awamu hii inarudi tena kwa waarabu wale wale!!!
 
Nani aliye-comply na Hilo!?..yaani u-risk hela zako kuwekeza akitokea rais mwehu Kama yule akuambie uondoke bila kufuata mkataba basi usiende mahakama ya usuluhishi kimataifa!?..mkuu ulishawahi fanya walau biashara yoyote ukaonja jakamoyo la kuwekeza!?
Hujui sababu ya bunge kutakiwa kufanya ratification?
Unahisi kwa nini mkataba huu tu ndio umerudi bungeni kwa ajili ya ratification na sio mikataba mingine? Au unahisi Hawa ndio wawekezaji pekee tuliowapata baada ya ile sheria?
 
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi

View attachment 2649785

yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.

Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.

Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!

Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?

Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!

Tunakwenda wapi?
PhD haina maana ndan ya strategies za CCM mzee 😂🤣🤣🤣🤣
 
Ataajiri wachache wa hapa kwetu. Tukumbuke hawa wanakuwa na digital port, bandari ya kisasa sana na yenye utendaji wa wafanyakazi wachache lakini tija inakuwa kubwa.
Hao wachache unaowasema ni hao hao watanzania uliosema ni wezi, wazembe na wala rushwa? Yeye atafanyaje kazi na watanzania ambao wewe umesema hawafai?
 
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi

View attachment 2649785

yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.

Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.

Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!

Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?

Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!

Tunakwenda wapi?
Huo mkataba uko wapi?
 
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi

View attachment 2649785

yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.

Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.

Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!

Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?

Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!

Tunakwenda wapi?
NB; PhD haina thamani mbele ya mikakat ya CCM!!
 
Hao wachache unaowasema ni hao hao watanzania uliosema ni wezi, wazembe na wala rushwa? Yeye atafanyaje kazi na watanzania ambao wewe umesema hawafai?
Tija haiji kwa kuendekeza siasa za kujuana eti umuajiri mtoto wa mjomba au wa shangazi. Hiyo ni kampuni inayoendesha bandari za Southampton na London na USA wapo pia.

Huko ameajiri watu gani wanaoweza kuleta tija?. Cha muhimu ni tija ya bandari suala la ajira ni baadae sana, kwanza mpaka aingie mkataba wa uendeshaji ndio tunaweza kuangalia nani na nani wanaomfaa kazini.
 
Sisi tumeona hao wawekezaji wanataka kutufanya kitu mbaya. Waende kuwaambia watanzania hawataki.
Unatakiwa useme ubaya ulipo on merit, kama upo kwanini tuingie mkataba wa ovyo.

Lakini mpaka sasa sijaona huo ubaya, labda uelezee kwa upande wako; sio kwa kutumia hoja potofu za wengine.

Personal baada ya kumsikiliza huyo mkurugenzi wa TPA kama wana akili timamu wakati wanapoanza majadiliano ya HGA wanamuhitaji Kakoko katika hiyo team ya majadiliano.

Huyu mkurugenzi wa sasa awe kama pambo tu hamna kitu pale hivi hawa watu wa ovyo huwa wanawatoa wapi. Unaweza kwenda kwenye interview ujajipanga unakuja na majibu mepesi halafu eti mwanasheria.
 
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi

View attachment 2649785

yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.

Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.

Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!

Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?

Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!

Tunakwenda wapi?
Hivi huu mkataba umeandaliwa na Muwekezaji au umeandaliwa na Serikali ya Tanzania?
 
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi

View attachment 2649785

yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.

Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.

Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!

Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?

Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!

Tunakwenda wapi?
PhD ya mwafrika isikuchanganye wewe, usomi wa mwafrika upo connected na utumbo wake.

Tulia hana IQ yoyote kwa muonekano tu wa nje.
 
Back
Top Bottom