TONY MTAKAYOTE
Senior Member
- Jan 24, 2013
- 150
- 69
Hilo lipo wazi, elimu yetu haimwandai mtu kuwa mzalendo au mwenye kutumia taaluma yake.Bado niko kwenye utafiti! kuna wasomi waliohujumiwa kiakili na kihisia miaka fulani! Nimefuatilia miaka ya tulia UDSM na South Africa. Nimegundua kuna viazi fulani walizalishwa hawana hisia yoyote ya uzalendo au umakini wa kitaaluma. Wamejazwa ubinafsi kupita kiasi PHD ni makaratasi tu.
Elimu yetu inaandaa watu wakufanyishwa kazi na watu wengine (kuajiriwa).