Spika Tulia na usomi wake wa kiwango cha PhD anataka bunge libariki kitu kama hiki?

Spika Tulia na usomi wake wa kiwango cha PhD anataka bunge libariki kitu kama hiki?

Hizo ndio taratibu za kutatua migogoro
Kwanza ni diplomatic channel. Ukipitia article 3 (2) utaona hiyo committe inatakiwa kuundwa na wataalamu wa Tanzania na Wamwekezaji. Wao ndio wanapanga namna ya ku execute hiyo miradi. Ndio maana inashauriwa kama kutatokea mgogoro ambao wanaweza yamaliza wapewe kipaumbele kwanza ya kukaa na kujadili; pamoja na njia nyingine za diplomasia ya kiserikali.

Ikishindikana wakaenda ‘arbitration’ kinachopimwa huko ni breach; sasa kama ni serious condition breach unaweza vunja mkataba.

Mkuu umeanza vizuri lkn mwishoni unaweka pumba bila ushahidi, Article 20 inayohusu arbitration imewekwa hapo juu na [mention]Missile of the Nation [/mention] , zimetajwa taratibu za kuundwa kwa hiyo arbitration committee na namuna ya kuondoa tatizo amicabily(Kwa majadiliano/Mazungumzo) . Lkn kwenye hiyo hiyo article hakuna clause yeyote inayoonesha Termination of Contract/Aggreament no matter what happened.

Na hii imekorezwa na hii article kama inavyoonekana hapa chini
IMG_4268.jpg



No way unaweza kuterminate, arbitration committee ambayo huundwa na member toka both parties za aggreament , Usuluhishi hurejea mkataba huo huo katika kutatua.

Unasema kama committee ikijiridhisha ukiukwaji basi mkataba utavunjwa, onyesha ni wapi hii aggrement ime declare termination ?
 
Mimi ningependa kuona kipengele cha kodi,vipi Tax watalipa au ndo free ,pia maslahi ya wafanyakazi. Maana nimesoma mahali UK walipunguza wafanyakazi.
Kodi imetajwa, lakini hakuna mahali neno share limetajwa. Kwa hiyo maana yake ni kwamba tunawaachia mzigo wa bandari, wanapiga biashara sisi tunaambulia vikodi tu na siyo kupata gawiwo la faida watakayoitengeneza milele (maana ni mkataba wa milele huu, hauna time limit)
 
Siyo lazima kuwa mwanasheria kujua sheria. Elimu ya sheria tujitahidini wote tuijue, itatusaidia sana kwenye kujenga taifa letu. Siyo ngumu. Naombeni mtupe mwongozo tuanze module za sheria hapahapa jamii forum kwanza baada ya hapo tuingie mtaani kutoa elimu. Taratibu tu mwisho tutafika.
Ujuaji hautusaidii chochote.
 
kwani wewe hujaona huo mkataba mbona umewekwa humu ndani.pitia ili uweze kutoa comments zako bila kudandia vya wengine.
Haujawekwa wazi na mamlaka, vipi kama huu unaosambazwa ni fake ukiwa ni kazi ya uchochezi wa mitandaoni?.
 
Mkuu umeanza vizuri lkn mwishoni unaweka pumba bila ushahidi, Article 20 inayohusu arbitration imewekwa hapo juu na [mention]Missile of the Nation [/mention] , zimetajwa taratibu za kuundwa kwa hiyo arbitration committee na namuna ya kuondoa tatizo amicabily(Kwa majadiliano/Mazungumzo) . Lkn kwenye hiyo hiyo article hakuna clause yeyote inayoonesha Termination of Contract/Aggreament no matter what happened.

Na hii imekorezwa na hii article kama inavyoonekana hapa chini
View attachment 2650082


No way unaweza kuterminate, arbitration committee ambayo huundwa na member toka both parties za aggreament , Usuluhishi hurejea mkataba huo huo katika kutatua.

Unasema kama committee ikijiridhisha ukiukwaji basi mkataba utavunjwa, onyesha ni wapi hii aggrement ime declare termination ?
Kuna namna mbili za kuvunja mikataba muda wake unapoisha. Au kutokana na migogoro ya mkataba.

Hakuna mkataba utakaosema kukitokea mgogoro utavunjwa, hiko kipengele huwa hakipo. Kitu ambacho kitawekwa kwenye mkataba ni namna ya kutatua migogoro.

Na source ya migogoro ni breach ya terms zilizopo kwenye mkataba. Baadhi ya hizo breach uwezi vunjia mkataba bali unaweza dai fidia; na kuna breach zingine unaweza vunja mkataba (na kudai fidia pia) depending on deprivation kwa madai ya claimant.

Arbitration wao wanachofanya wana assess merit ya madai na kuamua based on claims. Members wa arbitration huwa ni field experts wa industry husika na mnawachagua kwa pamoja wahusika. Kama kuna conditional breach ata wao wanaweza vunja mkataba.
 
Unamlaumu spika badala ya kulaumu Rais? Na CCM? Wewe ni mgeni hapa Tanganyika? Mambo mangap rais analazimisha yapite pale bungeni?
 
Hivi Dk Tulia ana PhD? mie najua ana Masters, sasa mbna haitwi Prof??
 
Hizo ndio taratibu za kutatua migogoro
Kwanza ni diplomatic channel. Ukipitia article 3 (2) utaona hiyo committe inatakiwa kuundwa na wataalamu wa Tanzania na Wamwekezaji. Wao ndio wanapanga namna ya ku execute hiyo miradi. Ndio maana inashauriwa kama kutatokea mgogoro ambao wanaweza yamaliza wapewe kipaumbele kwanza ya kukaa na kujadili; pamoja na njia nyingine za diplomasia ya kiserikali.

Ikishindikana wakaenda ‘arbitration’ kinachopimwa huko ni breach; sasa kama ni serious condition breach unaweza vunja mkataba.
Waandike hayo maneno pale ieleweke kwamba mmoja akikiuka makubaliano mkataba unavunjwa sio kukaa silence kuitegemea busara za msuluhishi.
 
Kuna namna mbili za kuvunja mikataba muda wake unapoisha. Au kutokana na migogoro ya mkataba.

Hakuna mkataba utakaosema kukitokea mgogoro utavunjwa, hiko kipengele huwa hakipo. Kitu ambacho kitawekwa kwenye mkataba ni namna ya kutatua migogoro.

Na source ya migogoro ni breach ya terms zilizopo kwenye mkataba. Baadhi ya hizo breach uwezi vunjia mkataba bali unaweza dai fidia; na kuna breach zingine unaweza vunja mkataba (na kudai fidia pia) depending on deprivation kwa madai ya claimant.

Arbitration wao wanachofanya wana assess merit ya madai na kuamua based on claims. Members wa arbitration huwa ni field experts wa industry husika na mnawachagua kwa pamoja wahusika. Kama kuna conditional breach ata wao wanaweza vunja mkataba.

Labda kama unajadili Mikataba tofauti na Huu, Huu uliopo mezani hausadifu juu ya Kuvunja Mkataba , Over.
 
Tumepigwa kwa Fei,tukataletwa kwa Yanga kwenda Ikulu mixer vituko vya Morrison, tukaja mabehewa ya gorofa, mkeka wa DED ukabiduliwa then katikati ya haya matukio ndio wakapenyeza ya Bandari, kudadeki hapo ndipo ujue kuna mashivo walichora mchoro, haya wale wa Burundi mjiandae.
Bungeni kila kukicha mnaletewa wageni waalikwa wasanii,zuchu sijui mandonga mara mondi [emoji1]

Ova
 
Bungeni kila kukicha mnaletewa wageni waalikwa wasanii,zuchu sijui mandonga mara mondi [emoji1]

Ova
Na leo Fei kasaini Azam,sema naona still bado watu haijawatoa kwenye kudiscuss bandari.
 
Labda kama unajadili Mikataba tofauti na Huu, Huu uliopo mezani hausadifu juu ya Kuvunja Mkataba , Over.
Uamuzi wa kuvunja mkataba unatokana na ukubwa wa breach ya term za mkataba.

Ndio maana wanaenda arbitration wao ndio wataamua depending na madai ya claimant.

Ni hivi sio kusoma tu huo mkataba, inabidi pia kutumia uelewa wa contract law on what the law implies kupitia hayo maelezo ukitaka kuvunja mkataba.
 
Waandike hayo maneno pale ieleweke kwamba mmoja akikiuka makubaliano mkataba unavunjwa sio kukaa silence kuitegemea busara za msuluhishi.
Uitaji kuandika kwa sababu kwa kanuni za mikataba conditional breach; ni automatic inavunja mkataba. Sasa nani anaamua arbitration.
 
Leta vipengele vingi ili tuupime kuliko kuchagua kipengele kinachomgombanisha Tulia na wananchi.

Hujausaidia umma kwa kuja na habari robo.
Vipengele vingi vizuri vinamaana gani endapo hichi kimoja kinaweza ruhusu nchi kuingizwa matatizoni ,? Kila kilichopo ktk mkataba kinamaana sawa nakingine ndomana ya mkataba ,lakini hapa lililo kuu kwetu muhimu nikwanini tubinafsishe bandari? Licha ya yote yatokanayo na band air VIPI kuhusu usalama?
 
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi

View attachment 2649785

yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.

Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.

Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!

Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?

Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!

Tunakwenda wapi?
Mule hamna Spika,mmesahau mgomo wa Kariakoo,anapewa taarifa ya kufungwa maduka,yeye anasema hana taarifa!
 
HIZI NI ORODHA YA KESI ZA KAMPUNI YA DP WORLD KUTOKANA NA MIGOGORO YA BANDARI

Here is a list of the latest 20 cases versus DP World in international arbitration court:

1. DP World v. Kenya (2022). The International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) is currently hearing a case brought by DP World against Kenya. DP World is seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Kenya.

2. DP World v. Ethiopia (2022). The ICSID is also currently hearing a case brought by DP World against Ethiopia. DP World is seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Ethiopia.
3. DP World v. Djibouti (2021). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Djibouti. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Djibouti.

4. DP World v. Pakistan (2020). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Pakistan. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Pakistan.

5. DP World v. India (2019). The ICSID dismissed a case brought by DP World against India. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by India.
6. DP World v. Argentina (2018). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Argentina. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Argentina.

7. DP World v. Chile (2017). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Chile. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Chile.
8. DP World v. Uruguay (2016). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Uruguay. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Uruguay.

9. DP World v. Peru (2015). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Peru. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Peru.
10. DP World v. Brazil (2014). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Brazil. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Brazil.

It is important to note that these are just a few of the many cases that DP World has been involved in. DP World is a major player in the global port industry, and it has been involved in a number of disputes with governments around the world. These disputes have often been complex and have involved significant financial stakes.

The cases listed above are still ongoing, and it is not yet clear how they will be resolved. However, they provide a glimpse into the challenges that DP World faces as it operates in a number of different countries.
 
Huko kwenye usuluhishi ni mbali sana. Bado huo mkataba haujawekwa wazi rasmi.
Mpaka sasa hakuna mkataba rasmi, hiyo agreement ni bunge kuhalalisha serikali mbili kuweza kuingia mikataba iliyokusudiwa ambayo imetajwa kwenye appendix 1.

Sasa kila investment pale itakuwa na makubaliano yake that’s what I believe au wanaweza weka yote kwenye kapu moja; huko sasa ndio kuna kushinda au kupigwa maana ndio consideration terms zilipo, wanapata nini in return, muda wa kuvuna na mambo mengine ya msingi ambayo tukikosea ndio tutalia.

Sasa kwa kumsikiliza mkurugenzi ambae hajui unaweza shitakiwa kwa kujitoa kwenye MoU, siwezi kumuweka kwenye team ya hayo majadiliano. This is why inabidi waache siasa na kuweka national interest personal nadhani Kakoko ni muhimu kuwa sehemu ya team ya majadiliano ukimsikiliza ana abc za finance na mahitaji ya bandari kama terms zitakuwa mbaya waende nchi nyingine sio lazima. Ila kama terms ni nzuri ni uwekezaji wenye tija.

👋 kwetu muda wa shughuli zingine, till later.
 
Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi

View attachment 2649785

yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.

Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.

Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.

Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!

Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?

Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!

Tunakwenda wapi?
Amesoam lakini hajaelimika, yeye anapewa maelekezo na mfalme alishasema
 
Daah jamaa wamejichagulia na sehemu ya kutatua matatizo maana SA wana ofisi ipo Durban na Komatiport wana bandari kavu inayopeleka Mizigo Msumbiji wamejaribu kuomba kazi kwa kaburu naona bado wanakaguliwa na baadhi ya kampuni 15 zilizoomba huu unaenda mwaka sasa...huku na Msumbiji ni kama watoto yatima wanajilia tu kwa Mikataba ya hovyo hovyo...
Nchi inamalizwa na rushwa bahati mbaya akina JK ni wahusika wakuu hakuna namna
 
Back
Top Bottom