Spika Tulia unamharibia Rais Samia nchi, mambo mabaya yameharibikia mikononi mwako

Spika Tulia unamharibia Rais Samia nchi, mambo mabaya yameharibikia mikononi mwako

Huyu
Nimebaini kuwa adui mkubwa wa Taifa la Tanzania kwa sasa ni Dk.Tulia Ackson ambaye mambo yote machafu yamefia mikononi mwake na taifa likiwa halijua linatokaje kwenye mkwamo huu. Mfano wa mambo yaliyofia mikononi mwa Tulia na Bunge lake.

1. Mkataba wa Bandari Serikali iliupeleka Bungeni tangu mwezi wa Februari 2023 Spika amekaa nao kwa miezi mitano hadi Juni 2023 ndiyo anauleta Bungeni tena kwa dharura na kujadiliwa siku moja na kupitishwa na kusababisha balaa linaloendelea sasa.

2. Ripoti ya CAG amepelekewa tangu mwezi Machi huku ikionyesha ufisadi mkubwa wa matrilioni ya fedha yeye ameikalia anasema hadi Novemba ndiyo itajadiliwa wakati mwenzake Spika Makinda alipopelekewa ripoti ya CAG na kuonyesha ufisadi wa Escrow aliitisha bunge la dharura kujadili hoja ya Escrow hakusubiri bunge la Novemba.

3. Kuna Mbunge aliomba indwe tume kuchunguza suala la bei ya Mafuta tangu Mwaka jana Juni 2022 ili ukweli ufahamike kuhusu biashara nzima ya mafuta, Spika akakataa ushauri huo wa kuunda tume kwa kuwalinda hao wahusika leo nchi inalia kila kona tatizo la mafuta

Ni dhahiri anayeshabikia na kusababisha Serikali kuchafuliwa na kutukanwa kwa kiwango hiki na wananchi wengi kupoteza imani na Serikali yao ni huyu Spika wa Bunge ambaye mambo yote yanayohitaji uamuzi ameyakalia ofisini kwake kwa manufaa binafsi.

Kila jambo Rais analiwahisha Bungeni kwa ajili ya hatua lakini Spika akifika yeye anazunguka na mambo hayo kwa faida anazojua yeye.
Huyu anaonekana pia ni mchawi!
 
Nimebaini kuwa adui mkubwa wa Taifa la Tanzania kwa sasa ni Dk.Tulia Ackson ambaye mambo yote machafu yamefia mikononi mwake na taifa likiwa halijua linatokaje kwenye mkwamo huu. Mfano wa mambo yaliyofia mikononi mwa Tulia na Bunge lake.

1. Mkataba wa Bandari Serikali iliupeleka Bungeni tangu mwezi wa Februari 2023 Spika amekaa nao kwa miezi mitano hadi Juni 2023 ndiyo anauleta Bungeni tena kwa dharura na kujadiliwa siku moja na kupitishwa na kusababisha balaa linaloendelea sasa.

2. Ripoti ya CAG amepelekewa tangu mwezi Machi huku ikionyesha ufisadi mkubwa wa matrilioni ya fedha yeye ameikalia anasema hadi Novemba ndiyo itajadiliwa wakati mwenzake Spika Makinda alipopelekewa ripoti ya CAG na kuonyesha ufisadi wa Escrow aliitisha bunge la dharura kujadili hoja ya Escrow hakusubiri bunge la Novemba.

3. Kuna Mbunge aliomba indwe tume kuchunguza suala la bei ya Mafuta tangu Mwaka jana Juni 2022 ili ukweli ufahamike kuhusu biashara nzima ya mafuta, Spika akakataa ushauri huo wa kuunda tume kwa kuwalinda hao wahusika leo nchi inalia kila kona tatizo la mafuta

Ni dhahiri anayeshabikia na kusababisha Serikali kuchafuliwa na kutukanwa kwa kiwango hiki na wananchi wengi kupoteza imani na Serikali yao ni huyu Spika wa Bunge ambaye mambo yote yanayohitaji uamuzi ameyakalia ofisini kwake kwa manufaa binafsi.

Kila jambo Rais analiwahisha Bungeni kwa ajili ya hatua lakini Spika akifika yeye anazunguka na mambo hayo kwa faida anazojua yeye.
hakuna ukweli ndani ya hilo usemalo
 
Ye hapendi kuishi?
Mnapenda kuyachukulia mambo juu juu
Hebu mkue basi.
Kama anapenda kuishi kwanini akubali majukumu ambayo hayawezi tena kwakuapa huku akijua yeye anamwamini Mungu? Si awaachie ambao watakuwa tayari kufa kwaajili ya nchi Yao?
 
Samia ni Rais mzuri sn kama angesimama yeye kama yeye tatizo karuhusu haya mafisadi yamzidi nguvu ndiyo hapo wanampoteza sn
Ni Rais msikivi, na anatoa nafasi Kwa watu kutumia utaalamu wao kama team na yeye refa, tatizo ni wafungaji magoli Wana butua huko Kila wanapopewa fursa....
 
Nimebaini kuwa adui mkubwa wa Taifa la Tanzania kwa sasa ni Dk.Tulia Ackson ambaye mambo yote machafu yamefia mikononi mwake na taifa likiwa halijua linatokaje kwenye mkwamo huu. Mfano wa mambo yaliyofia mikononi mwa Tulia na Bunge lake.

1. Mkataba wa Bandari Serikali iliupeleka Bungeni tangu mwezi wa Februari 2023 Spika amekaa nao kwa miezi mitano hadi Juni 2023 ndiyo anauleta Bungeni tena kwa dharura na kujadiliwa siku moja na kupitishwa na kusababisha balaa linaloendelea sasa.

2. Ripoti ya CAG amepelekewa tangu mwezi Machi huku ikionyesha ufisadi mkubwa wa matrilioni ya fedha yeye ameikalia anasema hadi Novemba ndiyo itajadiliwa wakati mwenzake Spika Makinda alipopelekewa ripoti ya CAG na kuonyesha ufisadi wa Escrow aliitisha bunge la dharura kujadili hoja ya Escrow hakusubiri bunge la Novemba.

3. Kuna Mbunge aliomba indwe tume kuchunguza suala la bei ya Mafuta tangu Mwaka jana Juni 2022 ili ukweli ufahamike kuhusu biashara nzima ya mafuta, Spika akakataa ushauri huo wa kuunda tume kwa kuwalinda hao wahusika leo nchi inalia kila kona tatizo la mafuta

Ni dhahiri anayeshabikia na kusababisha Serikali kuchafuliwa na kutukanwa kwa kiwango hiki na wananchi wengi kupoteza imani na Serikali yao ni huyu Spika wa Bunge ambaye mambo yote yanayohitaji uamuzi ameyakalia ofisini kwake kwa manufaa binafsi.

Kila jambo Rais analiwahisha Bungeni kwa ajili ya hatua lakini Spika akifika yeye anazunguka na mambo hayo kwa faida anazojua yeye.
Hilo la mafuta kwake ni gumu sana, inasemekana mumewe ndiye boss wa EWURA
 
Nilisoma makala BBC kipindi Tulia amechaguliwa na chama chake kuwa spika. Walisema hana 'spine', ukiachana na akili za darasani huku kwingine ana akili za kushikiwa. Ni mtu wa kunyenyekea mamlaka.

Hatuna bunge, hatuna spika. Kwakifupi nchi iko kwenye autopilot. Tunaelekea wapi ni Mungu tu ndio anajua.

Itachukua miaka 100 kwa wanawake kuja kuaminiwa tena kwenye nafasi nyeti kama rais na makamu wa rais.
Nadhani hata nafasi ya uwaziri hawatoshi waishie tu kwenye ukuu wa mikoa huko na ubunge
 
Back
Top Bottom