Spika Tulia: Walimu waliosimamishwa kisa "honey" warejeshwe

Spika Tulia: Walimu waliosimamishwa kisa "honey" warejeshwe

Walimu waliokuwa wamesimamishwa kazi kutokana na wanafunzi wa shule yao kucheza nyimbo ya haniiii ya msanii wa miondoko ya bongo flava zuchu warudishwa kazini hii ni kutokana na spika wa bunge kusema warejeshwe kazini na kupewa fursa ya kuhojiwa maana nyimbo waliokuwa wanacheza na wanafunzi haijafungiwa na basata
Mkuu nijuavyo hawakufukuzwa bali walivuliwa cheo cha ukuu wa shule.

Nchi hii ina habari mseto kama dawa za malaria
 
Ac ha Uongo hakuna mwalimu aliyesimamishwa kazi,.waliondolewa madaraka...ukuu wa Shule ! Jambo huna taarifa nalo Kwa Nini unakuwa na kimbelembele Cha kuanzisha Uzi!
Nipe tofauti ya kusimamishwa kazi na kuondolewa madaraka ???? Usinipangie cha kuandika hapa sawa wewe sio mmiliki wa Jamiiforums
 
Nipe tofauti ya kusimamishwa kazi na kuondolewa madaraka ???? Usinipangie cha kuandika hapa sawa wewe sio mmiliki wa Jamiiforums
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaa haichekeshi ila nimecheka.
 
Nipe tofauti ya kusimamishwa kazi na kuondolewa madaraka ???? Usinipangie cha kuandika hapa sawa wewe sio mmiliki wa Jamiiforums
To be fired vs to be demoted! Two different things, kiufupi walikuwa wamemuondoa kwenye kupata posho ya madaraka ila basic salary yake iko palepale
 
Big up kwa wote tulosimama na kuwatetea walimu wetu, kwa kutumia jicho la tatu na sio mihemko wasafi ni wakati wao kutembelea hiyo shule walau kusaidia chochote maana kupitia hawa walimu wamegundua kuwekeza kwao kwa zuchu kumelipa
 
Nipe tofauti ya kusimamishwa kazi na kuondolewa madaraka ???? Usinipangie cha kuandika hapa sawa wewe sio mmiliki wa Jamiiforums
Mkuu hebu ficha ujinga basi ...hivi ni kweli misamiati ya kawaida kama hiyo unashindwa kutofautisha! Nafikiri umeelewa kupitia kwenye michango ya wadau! Jukwaa hili ni la Umma ,,huwezi kuleta pumba tukakuacha tu!
 
Ac ha Uongo hakuna mwalimu aliyesimamishwa kazi,.waliondolewa madaraka...ukuu wa Shule ! Jambo huna taarifa nalo Kwa Nini unakuwa na kimbelembele Cha kuanzisha Uzi!
....Ungemuelewesha TU badala ya kumtaka aache UONGO....wakati Nia yake natumaini haikuwa kutuambia UONGO Bali labda alichanganya TU madesa !! [emoji846][emoji846]
 
Badala ya kupiga kelele mama wa watu aliyefungwa miaka 22 kwa kukutwa na vipande sijui 10 vya swala akiuza ili watoto wake wapate uji mnahangaika na walimu wanaohamasisha ngono kwa vitoto shuleni, malabuku wa head (in Malisa's voice)
 
Huyo waziri wa elimu hajielewi
Huyo dada ndo hajielewi. Anasema eti hajasikilizwa! Mtu akionekana amefanya kosa kwanza husimamishwa, then baada ya uchunguzi anaitwa mbele ya jopo ajetetee. Sasa yeye mtu kasimamishwa anasema arejeshwe hata mamlaka haijamuita
 
1.Walimu walionewa kwa hatua ile iliyochukuliwa.

2.Ila hiyo haiondoi ukweli kuwa miziki ya sasa ni ya hovyo sana kimaadili.

3.Mamlaka zije na agizo maalumu kuhusu miziki inayofaa kupigwa mashuleni, na Prof.Mkenda asibezwe kwa nia yake ya kulinda maadili.
Maagizo yapo. Tatizo la sisi watanzania ni vigeugeu. Waziri angekaa kimya, nyie nyie mngesema hatua hazijachukuliwa, serikali dhaifu. Wakichukua hatua mnasema kaonewa
 
Back
Top Bottom