Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
"Leo (jana) hukumu ya kupinga mkataba wa bandari imetoka lakini kabla haijatoka nilishafanya mikutano kadhaa nikawaambia wana-Mbeya mjini bandari haijauzwa nikawaambia nchi haijauzwa mtu akikuambia bandari imeuzwa mwambie shilingi ngapi?? Akishindwa kukuambia chaliiii!!! maana leo (jana) watu wameangushiwa kitu kizito, sasa wameelewa na wewe mwana-Mbeya mjini unielewe Mbunge wako"....
"Nilisema hivii na nina sema tena huo wanaoita mkataba yanayoitwa makubaliano sio wao pekee yao wanaosoma na sisi wengine tumesoma kama wao, na sisi pia tunaelewa, sasa kuna watu huku 'kitaa' wakajifanya wao ndio mabega makubwa nini! wakaanza kuongea ooh! spika haelewi, bunge halielewi kila mtu haelewi yeye ndio anaelewa sana! Juzi nikajifunza kumbe huyu ni 'hamnazo' yaani kuna watu ni 'hamnazo' yaani wewe unawaza umesoma sheria kuliko mimi? kama ni ile karatasi wote tumesoma sasa wewe ndio unaumiliki wauelewa, unaumiliki wa maarifa? Umeutoa wapi? Tuheshimiane...
"Kabla hujafikia kwenye uwakili unasoma kwanza uwe mwanasheria, mimi nilikuwa mwalimu wa wanasheria na baadae nikawa mwalimu wa mawakili wasomi"
"Hukumu imetoka leo (jana) sasa bado wanapita huko, na nilimuona mwingine eti anawauliza wananchi wanaokubali mkataba wa milele mimi nikawaza nikasema hawa wanaakili kweli? Kuna umilele kwenye hoja ipi ? Sasa mahakama imetoa ufafanuzi mikutano yao ya leo (jana) sijui watakuwa wanaeleza nini?
Nikasikia hao wazee 'wakupuyanga' eti wametangaza ooh tutaandamana ...embu nione mkono wa mtu anayetaka maandamano hapa ? Hakuna... Mbeya mjini tunataka maendeleo na wakija hapa kuhamasisha (maandamano) muwakatae, wakatae kwa sababu atakaye vunjwa mguu ni wewe na sio wao, wakatae kwa sababu wewe unataka Maendeleo umenituma Mbunge wako nikayapiganie na ninayapigania"....
"Wao wanasema watahamasisha watu wasilipe kodi wajaribishe waone.... Mahakama msema haki, mtoa haki kashamaliza, hii ni mahakama kuu bwana wewe nenda unakotaka kwenda, tena hii sio mahakama kuu ya kawaida hii ni mahakama ambayo ni ya kikatiba kwa hiyo ingeweza kuitwa Mahakama ya Katiba au ya Kikatiba ndio imefanya huo ufafanuzi.
Wana-Mbeya mjini niwatoe wasiwasi hizi fedha nyingi tunazozitaja tunataka Serikali ituletee"
"Nilisema hivii na nina sema tena huo wanaoita mkataba yanayoitwa makubaliano sio wao pekee yao wanaosoma na sisi wengine tumesoma kama wao, na sisi pia tunaelewa, sasa kuna watu huku 'kitaa' wakajifanya wao ndio mabega makubwa nini! wakaanza kuongea ooh! spika haelewi, bunge halielewi kila mtu haelewi yeye ndio anaelewa sana! Juzi nikajifunza kumbe huyu ni 'hamnazo' yaani kuna watu ni 'hamnazo' yaani wewe unawaza umesoma sheria kuliko mimi? kama ni ile karatasi wote tumesoma sasa wewe ndio unaumiliki wauelewa, unaumiliki wa maarifa? Umeutoa wapi? Tuheshimiane...
"Kabla hujafikia kwenye uwakili unasoma kwanza uwe mwanasheria, mimi nilikuwa mwalimu wa wanasheria na baadae nikawa mwalimu wa mawakili wasomi"
"Hukumu imetoka leo (jana) sasa bado wanapita huko, na nilimuona mwingine eti anawauliza wananchi wanaokubali mkataba wa milele mimi nikawaza nikasema hawa wanaakili kweli? Kuna umilele kwenye hoja ipi ? Sasa mahakama imetoa ufafanuzi mikutano yao ya leo (jana) sijui watakuwa wanaeleza nini?
Nikasikia hao wazee 'wakupuyanga' eti wametangaza ooh tutaandamana ...embu nione mkono wa mtu anayetaka maandamano hapa ? Hakuna... Mbeya mjini tunataka maendeleo na wakija hapa kuhamasisha (maandamano) muwakatae, wakatae kwa sababu atakaye vunjwa mguu ni wewe na sio wao, wakatae kwa sababu wewe unataka Maendeleo umenituma Mbunge wako nikayapiganie na ninayapigania"....
"Wao wanasema watahamasisha watu wasilipe kodi wajaribishe waone.... Mahakama msema haki, mtoa haki kashamaliza, hii ni mahakama kuu bwana wewe nenda unakotaka kwenda, tena hii sio mahakama kuu ya kawaida hii ni mahakama ambayo ni ya kikatiba kwa hiyo ingeweza kuitwa Mahakama ya Katiba au ya Kikatiba ndio imefanya huo ufafanuzi.
Wana-Mbeya mjini niwatoe wasiwasi hizi fedha nyingi tunazozitaja tunataka Serikali ituletee"