saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
bi Mkora mamako we kengeBi mkora on the wheel!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bi Mkora mamako we kengeBi mkora on the wheel!
imetafata nini ilo dhehebu uku?Duh......[emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania Assembly of God
DaaahHuyu Bettina atakuja kupatwa na janga sna huyu mam kawa jeuri Sana kupitiliza Sasa hujui ndugai aliwai kuwa jeuri na fedhuli lkn CCM ikamdampu Kama toilet paper
Ni vyema.akaonjwa mapema Sana
Kama ni uko T.G.A hakuna kitu uko bora angekuwa uku kwetu angekuwa na akili nzuriAnatuaibisha sana.Sijui kwanini kabla hawajawa watu wakuu sana wanakuwa loyal na role model lakini kuna ngazi wakifika Uchamungu wao unakuwa kama umemezwa.Nawafahamu wa TAG kadhaa waliokuwa role model baada ya kuingia kwenye siasa na kupata nyadhifa wamekuwa watu hatari kuliko wapagani mara nyingine.Kwakweli ni aibu.
Watu waliopaswa kuwa na hofu ya Mungu,wenye hekima,wenye maneno yaliyojaa kweli tupu na dhamira njema ikiwaongoza.Mwenyehaki anatarajiwa awe kioo.Tofauti na wasiomjua Mungu.
Well hatakama mtazamo labda yuko sawa,labda lakini maneno mbona hayana ladha ya mtu anayemjua Mungu.
John siasa inaweza kukupotezea heshima yako watu waliokuwa wanakuamini wakabaki wanashangaa.
Siasa za kutishana hazina tija ni vzr apangue hoja za wanaopinga mkataba wa DP world. NB; Ni upotoshaji kusema watanzania wanapinga uwekezaji!! Watu wanapinga some content zilizopo kweny mkataba!!"Leo (jana) hukumu ya kupinga mkataba wa bandari imetoka lakini kabla e wasiwasi hizi fedha nyingi tunazozitaja tunataka Serikali ituletee"
Utakuwa unapenda sana mipasho.Tulia is right.
Haya si maneno ya kusemwa na spika; yanapaswa yasemwe na serikali."Wao wanasema watahamasisha watu wasilipe kodi wajaribishe waone....
Kuna hoja gani kwa kusema Bandari imeuzwa? au tuambie wewe imeuzwa shilingi ngapi?Wapingaji na wateteaji wote wanahoja, kuwa wasiwasi na mali zako sio kitu mbaya, kuwa na hofu juu ya mali za UMMA sio mbaya, hii Nchi tuna mifano mingi sana ya kupigwa wala sina haja ya kuiweka hapa, Mahakama imetoa uamuzi, tuuheshimu, ila wakati utatuambia huko mbele ya safari, kama kitu kizito kimewaangukia wapingaji au kimeangukia Watanzania wote.
Ijumaa njema wadau wa JF.
Tulia yuko sawa! Au wewe tuambie hapa, Bandari imeuzwa shilingi ngapi? hizo hela kapokea nani na wapi?Njiti anawadhalilisha sana wasomi wa nji hii
Wewe usiependa mipasho tuambie basi Bandari imeuzwa shilingi ngapi?Utakuwa unapenda sana mipasho.
Ubunge na uspika si alipewa enzi za mwendazake? Kwenye uchaguzi wa 2020 alishindwa na Sugu, sema kawekwa kwa mtutu!Hivi kwa hali hiyo inawezekanaje mtu kama huyo akawa spika wa bunge? Tumeona athari za hiyo misimamo yake kuhusu hili suala la bandari kule bungeni.
Sijui kwa nini hatupo serious kama nchi?
Nani aliwambia dini iliwahi mfanyamyu kuwa bora? Huyu mama ana dini lakini si MunguHama Kanisa
Huyu ana tofauti gani na mpagani? Hajawahi kuwa na Mungu. Huyu na yule m TAG mwenziwe Katibu Mkuu Nishati wana tofauti gani? Wote wezi waliobaki na dini si MunguAnatuaibisha sana.Sijui kwanini kabla hawajawa watu wakuu sana wanakuwa loyal na role model lakini kuna ngazi wakifika Uchamungu wao unakuwa kama umemezwa.Nawafahamu wa TAG kadhaa waliokuwa role model baada ya kuingia kwenye siasa na kupata nyadhifa wamekuwa watu hatari kuliko wapagani mara nyingine.Kwakweli ni aibu.
Watu waliopaswa kuwa na hofu ya Mungu,wenye hekima,wenye maneno yaliyojaa kweli tupu na dhamira njema ikiwaongoza.Mwenyehaki anatarajiwa awe kioo.Tofauti na wasiomjua Mungu.
Well hatakama mtazamo labda yuko sawa,labda lakini maneno mbona hayana ladha ya mtu anayemjua Mungu.
John siasa inaweza kukupotezea heshima yako watu waliokuwa wanakuamini wakabaki wanashangaa.
TIME WILL TELL......Kwani Bandari inapelekwa wapi?
Huu ndio ukweli.Wansnchi wazalendo,tumefurahi."Leo (jana) hukumu ya kupinga mkataba wa bandari imetoka lakini kabla haijatoka nilishafanya mikutano kadhaa nikawaambia wana-Mbeya mjini
Kweli tupuRais Samia atambuliwe kama mama wa Taifa, ni mlezi, mpambanaji, mzalendo ,muwezeshaji, mvumilivu ambazo ni sifa za mama bora. Anafaa kuwa MAMA WA TAIFA
Huyu mama nae, na mwanya wake, kuwa mwalimu wa wanasheria hakukufsnyi usiwe mwizi, ni sawa umesoma huo mkataba, jibu hoja zilizopo, Sisi hatuhitaji utuambie kiwango cha elimu yako, jibu hoja!! Yap ndani, ya ccm wapo waliosoma mpaka hazard, mtu kama Kabudi, lakini ni waongo na wezi, Kabudi si alituingiza Chaka kwenye makinikia, na tilioni 400!"Leo (jana) hukumu ya kupinga mkataba wa bandari imetoka lakini kabla haijatoka nilishafanya mikutano kadhaa nikawaambia wana-Mbeya mjini nya huo ufafanuzi.