Spika wa Bunge Dkt. Tulia amenishangaza sana leo!

Spika wa Bunge Dkt. Tulia amenishangaza sana leo!

Chikenpox

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
784
Reaction score
1,246
Leo kwenye uzinduzi wa ujenzi wa uwanja wa Msalato Dodoma akisema eti amesikia kwenye mitandao ya kijamii kwamba rais Samia anaenda China. Hivi kweli spika mzima unasema umesikia kwenye mitandao ya kijamii kweli!

Spika anaongoza muhimili muhimu Sana wa kuhoji safari za rais lakini ndio huyo hajui hata safari za rais kiasi ambacho naye anasikia kwenye mitandao ya kijamii maana yake rais hatambui umuhimu wa mbunge au bunge halijitambui linasimamia nini!

Tunasafari ndefu sana
 
Kila kitu kinaratibiwa kutokea msoga sasa spika atapata wapi taarifa?
Shida siyo msoga shida ni wlimu hizi za hapa na pale na za chupi. Dr mzima hujui hata kazi za bunge na huelewi spika ana nguvu gani? Sasa aliowafundisha wote si nivilaza
 
Kasimu Majaliwa alikuwa sahihi sana kwenye hii kauli ni wapuuzi tu wanao shikiria na kuona hakuwa sahihi. Unajua kauli yake ya raisi yuko mahututi ingeiweka nchi kwenye hali gani

Unajua mchwa wangeiba kiasi gani hasa kwa kufahamu mwamba si muda anakata kamba (kama tu walipiga baada ya kifo vipi wangefahamu mapema )

Kwa mtazamo wangu Majaliwa yuko sahihi sana. Kwenye familia tu mzee akiwa mahututi taarifa haitolewi kiholela iwe raisi, yaani kiwepesi tu uambiwe hali ya raisi iko matatani

Mmerogwa nyie
 
Kasimu Majaliwa alikuwa sahihi sana kwenye hii kauli ni wapuuzi tu wanao shikiria na kuona hakuwa sahihi. Unajua kauli yake ya raisi yuko mahututi ingeiweka nchi kwenye hali gani

Unajua mchwa wangeiba kiasi gani hasa kwa kufahamu mwamba si muda anakata kamba (kama tu walipiga baada ya kifo vipi wangefahamu mapema )

Kwa mtazamo wangu Majaliwa yuko sahihi sana. Kwenye familia tu mzee akiwa mahututi taarifa haitolewi kiholela iwe raisi, yaani kiwepesi tu uambiwe hali ya raisi iko matatani

Mmerogwa nyie
Kipindi anapishwa kuitumikia nchi hii kama PM aliapa atakua mkweli, muwazi na muadilifu. Huoni kama ameenda kinyume na kiapo chake kwa kuudanganya umma?
 
JPM alikuwa anapiga kazi waulize walomfanyia surgery nini kilitokea sababu hata kwenda chumba cha upasuaji ni yeye aliongoza maombi.
Maombi ya kishirikina au maombi gani hayo? Muuaji na maovu mengine yote yale then anaogoza nini??
 
Leo kwenye uzinduzi wa ujenzi wa uwanja wa msalato dodoma akisem eti amesikia kwenye mitandao ya kijamii kwamba rais Samia anaenda China. Hivi kweli spika mzima unasema umesikia kwenye mitandao ya kijamii kweli!!!


Spika anaongoza muhimili muhimu Sana wa kuhoji safari za rais lakini ndo huyo hajui hata safari za rais kiasi ambacho naye anasikia kwenye mitandao ya kijamii maana yake rais hatambui umuhimu wa mbunge au bunge halijitambui linasimamia nini!!

Tunasafari ndefu sana
Huyu dada mimi naona kama amelaaniwa. Anapaswa amuombe msamaha Mh Rais kwa kumdhalilisha hadharani.
 
Kasimu Majaliwa alikuwa sahihi sana kwenye hii kauli ni wapuuzi tu wanao shikiria na kuona hakuwa sahihi. Unajua kauli yake ya raisi yuko mahututi ingeiweka nchi kwenye hali gani

Unajua mchwa wangeiba kiasi gani hasa kwa kufahamu mwamba si muda anakata kamba (kama tu walipiga baada ya kifo vipi wangefahamu mapema )

Kwa mtazamo wangu Majaliwa yuko sahihi sana. Kwenye familia tu mzee akiwa mahututi taarifa haitolewi kiholela iwe raisi, yaani kiwepesi tu uambiwe hali ya raisi iko matatani

Mmerogwa nyie
Naunga mkono 100 kwa 100 % alikuwa sahihi kabisa. !!
 
Leo kwenye uzinduzi wa ujenzi wa uwanja wa msalato dodoma akisem eti amesikia kwenye mitandao ya kijamii kwamba rais Samia anaenda China. Hivi kweli spika mzima unasema umesikia kwenye mitandao ya kijamii kweli!!!


Spika anaongoza muhimili muhimu Sana wa kuhoji safari za rais lakini ndo huyo hajui hata safari za rais kiasi ambacho naye anasikia kwenye mitandao ya kijamii maana yake rais hatambui umuhimu wa mbunge au bunge halijitambui linasimamia nini!!

Tunasafari ndefu sana
Kama hajaarifiwa atajuaje !! Yupo sahihi na huenda hilo ni dongo kwa wahusika ambao ama wamesahau au wamepuuzia kumjulisha. !! Yupo sahihi kabisa !!
 
Back
Top Bottom