Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyo siyo Spika ni laana tupu kwa taifaLeo kwenye uzinduzi wa ujenzi wa uwanja wa Msalato Dodoma akisema eti amesikia kwenye mitandao ya kijamii kwamba rais Samia anaenda China. Hivi kweli spika mzima unasema umesikia kwenye mitandao ya kijamii kweli!
Spika anaongoza muhimili muhimu Sana wa kuhoji safari za rais lakini ndio huyo hajui hata safari za rais kiasi ambacho naye anasikia kwenye mitandao ya kijamii maana yake rais hatambui umuhimu wa mbunge au bunge halijitambui linasimamia nini!
Tunasafari ndefu sana
Ndiyo ukweli tupuRIP Samwel Sitta,😪
waliokuja nyuma yako ni maigizo matupu
Akikujibu naomba unitagi pleaseMimi sijakaaga ikulu ivi mlokaa kumbe Rais kila akitaka kusafiri lazma amwambie spika??
Mkuu wewe umesomea wapi??Shida siyo Msoga shida ni elimu hizi za hapa na pale na za chupi. Dr mzima hujui hata kazi za bunge na huelewi spika ana nguvu gani? Sasa aliowafundisha wote si ni vilaza
Wananchi ndo waajiri wa Rais inatakiwa tupate taharifa zote hatua kwa hatua za afya yake si sahihi kuficha ficha afya yake.Siamini kuwa hata wewe mkuu una unga mkono UONGO, huyu pm alitakiwa awe amejiuzuru muda mwingi tu,huwezi kuongopea taifa, dhambi ya uongo ni kubwa mno
Kiongozi unaamini kwamba wewe mwananchi ni mwajiri wa viongozi hasa Rais kwenye nchi yetu hii.Wananchi ndo waajiri wa Rais inatakiwa tupate taharifa zote hatua kwa hatua za afya yake si sahihi kuficha ficha afya yake.
Wenye vyeti feki hivi karibuni mtalipwa hivyo punguza munkari kamanda.Maombi ya kishirikina au maombi gano hayo? Muuaji na maovu mengine yote yale then anaogoza nini??
Mkuu Anza kufikiri nje a box,why kila kitu watanzania wana roll over?,na push back kuwafanya hawa politicians wetu wawe accountable kwa voters wao?,PM yes alitakiwa to resign kwa kutuongopea maana he took our national in confidence kuwa president yupo na siha njema na anaendelea na majukumu yake wakati SIO kweli, was at ICU bed vigorously fighting for his life, UONGO ni dhambi na sumu mbaya sanaKiongozi unaamini kwamba wewe mwananchi ni mwajiri wa viongozi hasa Rais kwenye nchi yetu hii.
Hukusikia kwamba hata usipompigia kura fulani ndie atakaeunda serikali?
Na kama unaamini Kila kitu kumuhusu Rais unapaswa kujua eti kwasababu wewe ni mwajiri wake unajidanganya sana tena sanaaa.
Unataka kunambia kwamba taarifa za kiafya za rais na Kila anapotibiwa inabidi ziwe ni za umma kabisa??
Acha ushamba.Kasimu Majaliwa alikuwa sahihi sana kwenye hii kauli ni wapuuzi tu wanao shikiria na kuona hakuwa sahihi. Unajua kauli yake ya raisi yuko mahututi ingeiweka nchi kwenye hali gani
Unajua mchwa wangeiba kiasi gani hasa kwa kufahamu mwamba si muda anakata kamba (kama tu walipiga baada ya kifo vipi wangefahamu mapema )
Kwa mtazamo wangu Majaliwa yuko sahihi sana. Kwenye familia tu mzee akiwa mahututi taarifa haitolewi kiholela iwe raisi, yaani kiwepesi tu uambiwe hali ya raisi iko matatani
Mmerogwa nyie
Hiyo siyo Siri.Mkuu haukusikia wakati anaapa kuwa "hatatoa siri za Serikali " Hilo wewe haulifahamu?
Hivi angekaa tu kimya angedhurika?SAWA.
"Mambo kama hayo kuwa kawaida duniani...", lakini si angeweza kusema jambo lolote, badala ya kusema uongo uliomwondolea heshima kama huo alioutunga hapo?
Kama alijuwa, basi hakutumia akili yake vizuri kulisemea jambo lile.
Ndio akasemee msikitini? Hizo siasa zenu haziogopi hata nyumba za ibada?Kasimu Majaliwa alikuwa sahihi sana kwenye hii kauli ni wapuuzi tu wanao shikiria na kuona hakuwa sahihi. Unajua kauli yake ya raisi yuko mahututi ingeiweka nchi kwenye hali gani
Unajua mchwa wangeiba kiasi gani hasa kwa kufahamu mwamba si muda anakata kamba (kama tu walipiga baada ya kifo vipi wangefahamu mapema )
Kwa mtazamo wangu Majaliwa yuko sahihi sana. Kwenye familia tu mzee akiwa mahututi taarifa haitolewi kiholela iwe raisi, yaani kiwepesi tu uambiwe hali ya raisi iko matatani
Mmerogwa nyie
Mimi sina cheti chochote, acha kujificha kwenye ujingaWenye vyeti feki hivi karibuni mtalipwa hivyo punguza munkari kamanda.
ulikuwa na umri ganiAcha ushamba.
Nyerere alipougua tuliambiwa kila hatua,na ni takwa la kikatiba pia wananchi kujua afya ya Rais wao.