Ewaaaaaaa. Watuletee tu ili tuimalizie Ramadhani yetu vizuri. Hahahaaaa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tagize japo tende za mombasa na nairobi simba watatuletea wakirudi kimya kimya bila kelele
Ewaaaaaaa. Watuletee tu ili tuimalizie Ramadhani yetu vizuri. Hahahaaaa.
Simba kazidiwa Leo anakula tembeleeKweli dk ya 57
Gor 2 - simba 0
Hahahaaaa. Ili tufungwe kama nyie si etii.Mlitamani mfike hapa lakini
Leo simba kala tembeleeVuta subira wamaukweli
Umeonaeee huo ndio ukweli rafiki. Wajipange upya kwa kweli.Timu za Tanzania bado sana,watu wanatimua kocha wakati wana mechi ngumu
Dah!Leo simba kala tembelee
Hahahaa. Acha tu shoga.Simba kazidiwa Leo anakula tembelee
Tena lile la chukuchuku. Hahahaaaa.Leo simba kala tembelee
Kwakweli simba Leo kikosi kibovuHahahaa. Acha tu shoga.
Yaani kesho mjini kimyaaaaaaa.
Kwanza hizo mbili tunashukuru maana hawa jamaa wametuzidi kila idara!Hahahaaaa. Ili tufungwe kama nyie si etii.
Sisi kwa timu yetu palitosha pale.
Namngoja yule msemaji wa simba[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tena la chukuchuku. Hahahaaaa.
Umeonaeee. Toka haya mashindano yaanze walishinda Kimungu Mungu.Kwakweli simba Leo kikosi kibovu
Ndio muache kucheza mpira midomoni[emoji23] [emoji23]Kwanza hizo mbili tunashukuru maana hawa jamaa wametuzidi kila idara!
Uchokozi tu huo,eti mikiaMikia washapigwa mbili huko
Mnavyotusasambua!Tena lile la chukuchuku. Hahahaaaa.
Best nipe updates siko kwenye Tv kabisaKweli dk ya 57
Gor 2 - simba 0
Ni kweli kabisa usemalo Mtani. Gor wako vizuri.Kwanza hizo mbili tunashukuru maana hawa jamaa wametuzidi kila idara!