Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LohYameshaongezeka tayari Mkuu.
Manji karudi na cecafa tunakipiga..mlichonga sanaMnakuwa kama wanaume suruali,mnakimbia vita halafu mnabaki kuripoti vita ya wanaume
Nitarudi baadae mkuuKweli dk ya 57
Gor 2 - simba 0
KaribuNitarudi baadae mkuu
Eti walifikiri watashinda[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nyau bwana ko mlitegemea kushinda, mchezo mbovu tangu mwanzo. na akikaa vibaya atatoka kwa aibu
Vuta subira wamaukweliUnajipa moyo kwa simba hii inayocheza Leo au kunanyingine[emoji23] [emoji23]
Au kwenye lami
Visingizio kibaoooooo! kwani wenzenu wanacheza juu ya bati?
2_0 Gor Mahia wanatoboa makorongoNgapi ngapi huko?
Kuanzia namba 2 mpaka 11 wote wana sifa za mabeki unategemea magoli yatokee wapi?timu za afrika kwanini ni shida sana kufungana mabao mengi kwenye dk 90?
Kwani wako wapi hawaSimba bila Okwi, Boko na Kwasi hamna matumaini makubwa
Anasubiri penati na tumizizi twake .Manula anaona vimulimuli