Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Simba bila marefarii wa bongo kamwe haishindi kamweHiyo ndio Yanga bwana,tuwasubiri kesho wa matopeni.
Natamani tukutane nao fainali tuwachape [emoji16]
Amerudi porini, nahisi ameenda kuchuana na wanyama wenzie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Simba lazima wachukue hili kombe
Mkuu Yanga ndiye mwakirishi wa uhakika wa michezo ya kimataifaKhaa..yanga bhana.this is too much,yani na kombe la sportpesa nalo liwe letu tena.
Tunashkur mpambane,mlete ubingwa mwingne jangwaniii.daima mbele!!!
Ndiyo maana anapokea mshahara mzuriHahahaaa bora tutolee huko hasira za FA.
Ila mkuu yale matuta kidogo roho initoke,sikuwa na imani kabisa as Yanga huwa tunafeli always tukifikia stage hiyo.
Shukraan za dhati kwake Dida [emoji122] [emoji119] [emoji120]
Labda wakutane sokoni kariakoo maana simba washafungishwa viragoSimba wakutane na Yanga
Sijaona mpira kabisa, nasubiri mechi ya Bingwa Simba SC na Everton
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu huyo alieokota Mwambie hans popo anaitafuta huku*Naskia Penati alopiga Goalkipa wa Simba Daniel Agyei imeokotwa Posta*
Simba kwake poriniSijaona mpira kabisa, nasubiri mechi ya Bingwa Simba SC na Everton
Ni yanga
Bingwa kucheza na everton
Nasikia muda huu wanaandamana kisa wamechezea shamba la bibiMtu mwenye akili timamu hawezi kaa kushabikia timu inayofungwa na kitimu cha daraja la kwanza
Kufungwa ni Kufungwa mjombaSimba yafa kiume Leo.!Yapigwa na timu ya daraja la kwanza kutoka Kenya.Inaitwa Nakuru All Stars
Ndio football hiyo[emoji3][emoji23][emoji16][emoji23][emoji16]
Wanajiandaa kukata rufaaAmerudi porini, nahisi ameenda kuchuana na wanyama wenzie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama kawa mbeleko fcMdebwedo simba
Hawaamini hii kitu...Kila siku tunasema simba hawajui mpira.
simba wamechukuwa kombe la sport Pesa,au wameenda kukata rufaa FIFA?this is simba tunaenda taifa kukata rufaa sisi hatuuwezekani.hhahs @manara yupo wapi?Simba lazima wachukue hili kombe