SPORTPESA SUPER CUP SPECIAL THREAD: Taarifa za Mechi zote na matokeo yote mpaka Ubingwa

Itv iache ushamba unesheni ubao wa muda. Mnatuuz huku mitaan kama kaz inawashinda iteni backup kaa wazee wa sisi mpira azam
 
Azam naona kagoma kurusha mashindano ya kamari, bora ungewapa hata clouds TV ila IPP hakuna kabisa
 
Uwezo wao ni mdogo, hapo ndo wamekomea. Sijui ni vifaa duni, au watalam wa kibashite, au uwekezaji mdogo katika michezo?
 
Wanatumia kamera tatu na laptop moja so si rahisi
 
Khaa..yanga bhana.this is too much,yani na kombe la sportpesa nalo liwe letu tena.
Tunashkur mpambane,mlete ubingwa mwingne jangwaniii.daima mbele!!!
Hahahaaa bora tutolee huko hasira za FA.
Ila mkuu yale matuta kidogo roho initoke,sikuwa na imani kabisa as Yanga huwa tunafeli always tukifikia stage hiyo.
Shukraan za dhati kwake Dida [emoji122] [emoji119] [emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…