Spot the difference between Tanzania 🇹🇿 and the rest of Africa 🌍 including Kenya 🇰🇪

Duh!! Google itakua imepata kazi sana kupata hiyo picha. Ila ata hapo wenye notebooks ni watatu tu! Nina hisi delegation zenu wana bebaga mtu yoyote tu ili mradi kujuana
Huo ni mkutano ulifanyika juzi tu , enda kwa Twitter au FB kwa page ya rais utaiona hapo tu. Wewe ndo umeteseka kwa kutafuta picha ya uhuru ya kitambo na hizo picha za Maria’s wote Africa
 
Huo ni mkutano ulifanyika juzi tu , enda kwa Twitter au FB kwa page ya rais utaiona hapo tu. Wewe ndo umeteseka kwa kutafuta picha ya uhuru ya kitambo na hizo picha za Maria’s wote Africa
Basi msee pumzika.. unapata tabu sana kubeba mzigo usio bebeka
 

KWELI NDO MAANA KWENYE HIYO PICHA HAPO JUU KUNA BENDERA YA MAREKANI NI AMBAO NDO ANAWAPIGA BAO LA MKONO MPAKA KIZAZI KIJACHO NA VINGINE. KENYANS ARE VERY STUPID FOR SURE!
 
Ndio sababu wanaitwa shamba la bibi.
 
To swahili😂😂😂

Also our Prime minister gave his speech in Swahili while in China. It was translated into Chinese😂😂😂
Endeleeni kutukuza kizungu. Mchina ana wachora
Mkongomani mbona hu-promote kiswahili cha Wabongo?
 
Nashangaa msukuma anasema kiswahili ni chao wakati kilifika Kismayu, Somalia kabla ya kanda la ziwa.
 
Hehehe sasa mbona mliambulia uvuvi wa dagaa tu kama mlikua makini na nayo makaratasi.
Uvuvi wa samaki ni deal kubwa sana, insane folks like you cant comprehend.
 
Chinese singing swahili 😂😂😂😂
Somali students learning swahili using Kenyan books


American students singing Kenya’s beautiful national anthem in Swahili- all 3 stanzas




Google translator , Facebook, Android,windows 10... all the Swahili translation done by Kenyans!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…